Kwanini Vibanio vya nguo vinapotea hata ukivihifadhi kwa umakini mkubwa?

Kwanini Vibanio vya nguo vinapotea hata ukivihifadhi kwa umakini mkubwa?

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Wakuu,

Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo.

Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6 ukihesabu utakuta vimepungua hata kama unavihifadhi kwa umakini mkubwa.

Mpaka sasa utafiti umeshindwa kubaini vinapokwenda.Hata madobi wanalalamika sana kuhusu hili.

Naomba anaejua anisaidie
 
Wakuu,

Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo.

Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6 ukihesabu utakuta vimepungua hata kama unavihifadhi kwa umaskini mkubwa.

Mpaka sasa utafiti umeshindwa kubaini vinapokwenda.Hata madobi wanalalamika sana kuhusu hili.

Naomba anaejua anisaidie
 
Asante kwa kufikiria sana
Mgunduzi nakuombea ufike mbali
 
Wakuu,

Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo.

Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6 ukihesabu utakuta vimepungua hata kama unavihifadhi kwa umaskini mkubwa.

Mpaka sasa utafiti umeshindwa kubaini vinapokwenda.Hata madobi wanalalamika sana kuhusu hili.

Naomba anaejua anisaidie
Unashangaa vibanio vingi vinakatika na kuharibika. Ila unatakiwa ushangae vijiko hata ununue mia moja baada ya muda mfupi utakuta vipo saba.
 
kwa ubora wa vibanio kwani unatakiwa utumie kwa muda gani?
 
Vingi vinapasuka (vingi si imara) kama anayefua hayupo makini anaweza kila kibanio kikiweka sehemu yake kwahiyo kuvikusanya vyote inakuwa shida.

Kuibwa wakati vikiwa kwenye kamba.
 
Nadhani ni kwa sababu vibanio vinashinda kwenye jua hivyo vinawahi kuchakaa, kingine ukiangalia vizuri chini ya kamba unayoanikia utavikuta baadhi vilivyodondoka na kufukiwa na mchanga.
 
Wakuu,

Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo.

Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6 ukihesabu utakuta vimepungua hata kama unavihifadhi kwa umakini mkubwa.

Mpaka sasa utafiti umeshindwa kubaini vinapokwenda.Hata madobi wanalalamika sana kuhusu hili.

Naomba anaejua anisaidie
Kwenye nyumba za kupanga mpaka wanaandika majina kwenye vibanio lakini bado vyapotea, nimeona mahali mpaka vijiko na safuria zimeandikwa majina ili visijichanganye na vya majirani,
 
Hata alibino zamani mlikua mnatuambia hawafi, bali wanapotea.
 
Mimi tatizo langu ni Sox hata nikinunua pair 10 baada ya mwezi ntajikuta na pair moja tu au mbili, nyingine zimebaki mojamoja tu.
 
Back
Top Bottom