Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business?

Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business?

Logistics business inalipa sana hasa kwa mikoa yenye Bandari (Dar, Tanga & Mtwara), nchi jirani karibuni zote zisizo na bahari zinatumia bandari zetu, ambapo kufikisha shehena katika nchi zao hutumika Local registered. trucks. Hivyo logistics business kwa nchi yetu ni biashara kubwa na inaingiza fedha nyingi za kigeni.

Kwa huduma ya Clearing & Forwarding (Local & Transit) kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).
 
Wengi wanakuwa na bizness zao nyingine so wananunua malory kwa ajiili yao na wengine,

Kwenye mabus mara nying ni kutafuta fame pia,

All in all ni biashara nzuri ukituliza kichwa na kidudu

ukituliza kichwa na kidudu
 
Safari cargo
Raphael logistics
Mainline Carriers
Meru
Intelpetrol
Transcargo
Alistair
Am-Pm
Overland
Orion transport
Isumba transport
Rj motichand
Samsa logistics
Vigu investment
World oil
Manyanya truck
Bravo
Blue Coast
Blue Circle
Bil
Baraka za wazee
Simera
Ssb
Swift
Super star forwarder
Specialized Haulier
Ruvuma Coal
Transfuel (Asas)
A A shehozah
Afroil
Nfs petroleum
Olympic
Infinity Oil
Omar Awadh
Athawal Transport Ltd (ATT tbr)
Lodhia tritank
Usangu
K transportation
Prime fuel
Pmm estate
GBP (gulf bulk Petroleum)

Just a few to mention
Delina group ya Davis Mosha
 
Back
Top Bottom