Kwanini Vichwa Panzi wanaaminiwa sana na kuheshimiwa ila watu wenye akili na hawazitumii wanadharauliwa?

Kwanini Vichwa Panzi wanaaminiwa sana na kuheshimiwa ila watu wenye akili na hawazitumii wanadharauliwa?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2022
Posts
4,114
Reaction score
6,449
Wenye akili ambao hawazitumii akili zao km watu wengine walivyotarajiwa.
Wanaitwa Washamba.
Wanadharauliwa.
Wanaonekana hawafai kwenye jamii wanayoishi.
Hawasikilizwi hata kwenye kikao cha familia. Wakitaka kuchangia popote kwenye kikao wanaambiwa subiri amalize yule pale kichwa panzi mmoja wewe mwenye akili utatusumbua subiri ikiwezekana usichangie kabisa.

Vichwa Panzi wengi wasiojua vitu vingi sana ila wana ujanja ujanja mwiiingi kimuonekano wa mavazi na kujiweka ndio wanaitwa wajanja mno, hii nimeona hata nilipokua nasoma. Ila kichwani ni bila bila hawana kitu wanabebwa na exposure.

Mfano;

Kuna Mzee mmoja alifanya kazi kwenye kampuni fulani ya Malori iliyomilikiwa na Mr. X akafanya kazi km injinia asie na Cheti maana hakusoma Chuo ila alijifunza mtaani kwenye gereji bubu hizi, hakusoma hata VETA.

Basi kuna kipindi Gari km 15 zote zikawa na shida haziwaki zimezima hazitembei, ikabidi kampuni ilete mafundi wa ndani wakajiribu bila bila hakuna alieweza kuziamsha, kampuni ikaagiza fundi toka Ulaya akaja nae akahangaika nazo ila Chuma zikawa zimemdindia hazitaki.

Kampuni ikawa imenyoosha mikono juu kwamba km fundi msomi km huyu kutoka Ulaya ameshindwa kabisa kufufua haya magari basi hizi Gari hazifai tena na yule injinia toka nje akasema kweeli Gari hizi hazifai tena ni Screpa sasa, yule fundi asie na Cheti aliposikia vile akawapinga wakampuuza kwamba utatuambia nini wewe huyu mwenzio ni msomi wa magari mwenye PhD ya ufundi wa Magari kutoka Ulaya ameshindwa kuyaamsha haya Magari wewe utaweza?

Akaiomba kampuni impe magari yote 15 ayatengeneze na wampe siku 7 yaan wiki 1 magari yote yatakua yameamka km yametoka kiwandani, wakamshangaa sana basi wakakubari kwa shingo upande maana walifikiri hakuna atakachoweza kukifanya kwenye yale Magari yakaweza kufufuka. Akawaambia vifaa anavyohitaji wakampatia vyote. Akaanza kazi ndani ya siku 7 akawa amemaliza kutengeneza Gari zote 15 zinawaka na zinapiga kazi bila Chenga.

Kampuni ikashangaa sana kwamba huyu mboni vyeti hana na ameweza kutengeneza Gari zililokufa akazifufua na hakutokea Ulaya na hana hata PhD ya ufundi wa Magari hajaenda VETA wala wapi ila ni wa hapa hapa Bongo, pasina shaka huyu mtu atakua ni Mchawi. Kampuni ikaamua kumfukuza kazi badala ya kumpa kazi.

Kwanini watu wengi wenye akili na wanaoonekana wana akili huishia kupuuzwa mawazo yao, kudharauliwa, kutengwa, kutosikilizwa, kutokuzingatiwa, kutoheshimiwa, nk mara nyingi kuliko watu wasio na akili yaan Vichwa Panzi?

Kalamu imeisha wino....
Nakaribisha hoja zenu wakuu.
 
maarifa yanaweza kupatikana kupitia mfumo rasmi na usio rasmi vile vile ila katika ulimwengu wetu huu maarifa rasmi yanaheshimika kulinganisha na maarifa yasiyo kwenye urasmi.

note:
huo mfano wa huyo mzee ni chai ambayo haijawahi nywewa mahali popote.
 
pasina shaka huyu mtu atakua ni Mchawi. Kampuni ikaamua kumfukuza kazi badala ya kumpa kazi.
Sidhani kama walihisi ni mchawi, nahisi walitafakari huyo mzee labda alifanya sabotage kwenye hizo gari, niseme ni kama alitengeneza ubovu kwa makusudi kwa kuchomoa vifaa flani..
 
Wenye akili ambao hawazitumii akili zao km watu wengine walivyotarajiwa.
Wanaitwa Washamba.
Wanadharauliwa.
Wanaonekana hawafai kwenye jamii wanayoishi.
Hawasikilizwi hata kwenye kikao cha familia. Wakitaka kuchangia popote kwenye kikao wanaambiwa subiri amalize yule pale kichwa panzi mmoja wewe mwenye akili utatusumbua subiri ikiwezekana usichangie kabisa.

Vichwa Panzi wengi wasiojua vitu vingi sana ila wana ujanja ujanja mwiiingi kimuonekano wa mavazi na kujiweka ndio wanaitwa wajanja mno, hii nimeona hata nilipokua nasoma. Ila kichwani ni bila bila hawana kitu wanabebwa na exposure.

Mfano;

Kuna Mzee mmoja alifanya kazi kwenye kampuni fulani ya Malori iliyomilikiwa na Mr. X akafanya kazi km injinia asie na Cheti maana hakusoma Chuo ila alijifunza mtaani kwenye gereji bubu hizi, hakusoma hata VETA.

Basi kuna kipindi Gari km 15 zote zikawa na shida haziwaki zimezima hazitembei, ikabidi kampuni ilete mafundi wa ndani wakajiribu bila bila hakuna alieweza kuziamsha, kampuni ikaagiza fundi toka Ulaya akaja nae akahangaika nazo ila Chuma zikawa zimemdindia hazitaki.

Kampuni ikawa imenyoosha mikono juu kwamba km fundi msomi km huyu kutoka Ulaya ameshindwa kabisa kufufua haya magari basi hizi Gari hazifai tena na yule injinia toka nje akasema kweeli Gari hizi hazifai tena ni Screpa sasa, yule fundi asie na Cheti aliposikia vile akawapinga wakampuuza kwamba utatuambia nini wewe huyu mwenzio ni msomi wa magari mwenye PhD ya ufundi wa Magari kutoka Ulaya ameshindwa kuyaamsha haya Magari wewe utaweza?

Akaiomba kampuni impe magari yote 15 ayatengeneze na wampe siku 7 yaan wiki 1 magari yote yatakua yameamka km yametoka kiwandani, wakamshangaa sana basi wakakubari kwa shingo upande maana walifikiri hakuna atakachoweza kukifanya kwenye yale Magari yakaweza kufufuka. Akawaambia vifaa anavyohitaji wakampatia vyote. Akaanza kazi ndani ya siku 7 akawa amemaliza kutengeneza Gari zote 15 zinawaka na zinapiga kazi bila Chenga.

Kampuni ikashangaa sana kwamba huyu mboni vyeti hana na ameweza kutengeneza Gari zililokufa akazifufua na hakutokea Ulaya na hana hata PhD ya ufundi wa Magari hajaenda VETA wala wapi ila ni wa hapa hapa Bongo, pasina shaka huyu mtu atakua ni Mchawi. Kampuni ikaamua kumfukuza kazi badala ya kumpa kazi.

Kwanini watu wengi wenye akili na wanaoonekana wana akili huishia kupuuzwa mawazo yao, kudharauliwa, kutengwa, kutosikilizwa, kutokuzingatiwa, kutoheshimiwa, nk mara nyingi kuliko watu wasio na akili yaan Vichwa Panzi?

Kalamu imeisha wino....
Nakaribisha hoja zenu wakuu.
"PhD ya ufundi wa magari"

Hii ndio naisikia leo.
 
Sidhani kama walihisi ni mchawi, nahisi walitafakari huyo mzee labda alifanya sabotage kwenye hizo gari, niseme ni kama alitengeneza ubovu kwa makusudi kwa kuchomoa vifaa flani..
Hapana mkuu, yeye kilichomponza ni kuonyesha ana akili za kutengeneza Gari hata km hana Cheti, shida ndio ilipoanzia hapo akafutwa kazi
 
Hapana mkuu, yeye kilichomponza ni kuonyesha ana akili za kutengeneza Gari hata km hana Cheti, shida ndio ilipoanzia hapo akafutwa kazi
Mimi sija judge skills za mzee huyo engineer, ila kwa ulichosema walihisi ni mchawi ndio maana wakaamfukuza kazi ndicho nimepinga, nikasema inawezekana kampuni ilihisi mzee amefanya uharibifu kwa kupanga... au alifukuzwa kazi kwa sababu uliyosema.. lakini nimepinga kwenye uchawi.
 
Basi kuna kipindi Gari km 15 zote zikawa na shida haziwaki zimezima hazitembei, ikabidi kampuni ilete mafundi wa ndani wakajiribu bila bila hakuna alieweza kuziamsha, kampuni ikaagiza fundi toka Ulaya akaja nae akahangaika nazo ila Chuma zikawa zimemdindia hazitaki.

Kampuni ikawa imenyoosha mikono juu kwamba km fundi msomi km huyu kutoka Ulaya ameshindwa kabisa kufufua haya magari basi hizi Gari hazifai tena na yule injinia toka nje akasema kweeli Gari hizi hazifai tena ni Screpa sasa, yule fundi asie na Cheti aliposikia vile akawapinga wakampuuza kwamba utatuambia nini wewe huyu mwenzio ni msomi wa magari mwenye PhD ya ufundi wa Magari kutoka Ulaya ameshindwa kuyaamsha haya Magari wewe utawez

1741214425983.png
 
Mimi sija judge skills za mzee huyo engineer, ila kwa ulichosema walihisi ni mchawi ndio maana wakaamfukuza kazi ndicho nimepinga, nikasema inawezekana kampuni ilihisi mzee amefanya uharibifu kwa kupanga... au alifukuzwa kazi kwa sababu uliyosema.. lakini nimepinga kwenye uchawi.
Yeye mwenyewe alisema walimwambia wanamwachisha kazi kwa sababu hio, sasa hivi Mzee ni Marehemu.
 
Yeye mwenyewe alisema walimwambia wanamwachisha kazi kwa sababu hio, sasa hivi Mzee ni Marehemu.
Sasa hio kampuni uongozi wake ni wajinga na hawana akili, toka lini uchawi ukawa suluhisho kwenye masuala ya kisomi, engineering na sayansi? mbona hao wachawi hawajatengeneza gari kama range rovers, tesla n.k? engineering bado ina mapengo mengi sana ya wataalamu, kuna gari zina shida mafundi hao wachawi wapo wapi watengeneze? hio kampuni ilikuwa ni ya wajinga na wapumbavu.

Kwa mfano uliotoa naweza kusema mjinga huwa hamuelewi mwenye akili, mjinga wataelewana na mjinga mwenzake...
 
Wenye akili ambao hawazitumii akili zao km watu wengine walivyotarajiwa.
Wanaitwa Washamba.
Wanadharauliwa.
Wanaonekana hawafai kwenye jamii wanayoishi.
Hawasikilizwi hata kwenye kikao cha familia. Wakitaka kuchangia popote kwenye kikao wanaambiwa subiri amalize yule pale kichwa panzi mmoja wewe mwenye akili utatusumbua subiri ikiwezekana usichangie kabisa.

Vichwa Panzi wengi wasiojua vitu vingi sana ila wana ujanja ujanja mwiiingi kimuonekano wa mavazi na kujiweka ndio wanaitwa wajanja mno, hii nimeona hata nilipokua nasoma. Ila kichwani ni bila bila hawana kitu wanabebwa na exposure.

Mfano;

Kuna Mzee mmoja alifanya kazi kwenye kampuni fulani ya Malori iliyomilikiwa na Mr. X akafanya kazi km injinia asie na Cheti maana hakusoma Chuo ila alijifunza mtaani kwenye gereji bubu hizi, hakusoma hata VETA.

Basi kuna kipindi Gari km 15 zote zikawa na shida haziwaki zimezima hazitembei, ikabidi kampuni ilete mafundi wa ndani wakajiribu bila bila hakuna alieweza kuziamsha, kampuni ikaagiza fundi toka Ulaya akaja nae akahangaika nazo ila Chuma zikawa zimemdindia hazitaki.

Kampuni ikawa imenyoosha mikono juu kwamba km fundi msomi km huyu kutoka Ulaya ameshindwa kabisa kufufua haya magari basi hizi Gari hazifai tena na yule injinia toka nje akasema kweeli Gari hizi hazifai tena ni Screpa sasa, yule fundi asie na Cheti aliposikia vile akawapinga wakampuuza kwamba utatuambia nini wewe huyu mwenzio ni msomi wa magari mwenye PhD ya ufundi wa Magari kutoka Ulaya ameshindwa kuyaamsha haya Magari wewe utaweza?

Akaiomba kampuni impe magari yote 15 ayatengeneze na wampe siku 7 yaan wiki 1 magari yote yatakua yameamka km yametoka kiwandani, wakamshangaa sana basi wakakubari kwa shingo upande maana walifikiri hakuna atakachoweza kukifanya kwenye yale Magari yakaweza kufufuka. Akawaambia vifaa anavyohitaji wakampatia vyote. Akaanza kazi ndani ya siku 7 akawa amemaliza kutengeneza Gari zote 15 zinawaka na zinapiga kazi bila Chenga.

Kampuni ikashangaa sana kwamba huyu mboni vyeti hana na ameweza kutengeneza Gari zililokufa akazifufua na hakutokea Ulaya na hana hata PhD ya ufundi wa Magari hajaenda VETA wala wapi ila ni wa hapa hapa Bongo, pasina shaka huyu mtu atakua ni Mchawi. Kampuni ikaamua kumfukuza kazi badala ya kumpa kazi.

Kwanini watu wengi wenye akili na wanaoonekana wana akili huishia kupuuzwa mawazo yao, kudharauliwa, kutengwa, kutosikilizwa, kutokuzingatiwa, kutoheshimiwa, nk mara nyingi kuliko watu wasio na akili yaan Vichwa Panzi?

Kalamu imeisha wino....
Nakaribisha hoja zenu wakuu.
Mfano Steve Nyerere, hivi serikali haioni haibu kweli kumtumia mtu kama yule?
 
Wenye akili ambao hawazitumii akili zao km watu wengine walivyotarajiwa.
Wanaitwa Washamba.
Wanadharauliwa.
Wanaonekana hawafai kwenye jamii wanayoishi.
Hawasikilizwi hata kwenye kikao cha familia. Wakitaka kuchangia popote kwenye kikao wanaambiwa subiri amalize yule pale kichwa panzi mmoja wewe mwenye akili utatusumbua subiri ikiwezekana usichangie kabisa.

Vichwa Panzi wengi wasiojua vitu vingi sana ila wana ujanja ujanja mwiiingi kimuonekano wa mavazi na kujiweka ndio wanaitwa wajanja mno, hii nimeona hata nilipokua nasoma. Ila kichwani ni bila bila hawana kitu wanabebwa na exposure.

Mfano;

Kuna Mzee mmoja alifanya kazi kwenye kampuni fulani ya Malori iliyomilikiwa na Mr. X akafanya kazi km injinia asie na Cheti maana hakusoma Chuo ila alijifunza mtaani kwenye gereji bubu hizi, hakusoma hata VETA.

Basi kuna kipindi Gari km 15 zote zikawa na shida haziwaki zimezima hazitembei, ikabidi kampuni ilete mafundi wa ndani wakajiribu bila bila hakuna alieweza kuziamsha, kampuni ikaagiza fundi toka Ulaya akaja nae akahangaika nazo ila Chuma zikawa zimemdindia hazitaki.

Kampuni ikawa imenyoosha mikono juu kwamba km fundi msomi km huyu kutoka Ulaya ameshindwa kabisa kufufua haya magari basi hizi Gari hazifai tena na yule injinia toka nje akasema kweeli Gari hizi hazifai tena ni Screpa sasa, yule fundi asie na Cheti aliposikia vile akawapinga wakampuuza kwamba utatuambia nini wewe huyu mwenzio ni msomi wa magari mwenye PhD ya ufundi wa Magari kutoka Ulaya ameshindwa kuyaamsha haya Magari wewe utaweza?

Akaiomba kampuni impe magari yote 15 ayatengeneze na wampe siku 7 yaan wiki 1 magari yote yatakua yameamka km yametoka kiwandani, wakamshangaa sana basi wakakubari kwa shingo upande maana walifikiri hakuna atakachoweza kukifanya kwenye yale Magari yakaweza kufufuka. Akawaambia vifaa anavyohitaji wakampatia vyote. Akaanza kazi ndani ya siku 7 akawa amemaliza kutengeneza Gari zote 15 zinawaka na zinapiga kazi bila Chenga.

Kampuni ikashangaa sana kwamba huyu mboni vyeti hana na ameweza kutengeneza Gari zililokufa akazifufua na hakutokea Ulaya na hana hata PhD ya ufundi wa Magari hajaenda VETA wala wapi ila ni wa hapa hapa Bongo, pasina shaka huyu mtu atakua ni Mchawi. Kampuni ikaamua kumfukuza kazi badala ya kumpa kazi.

Kwanini watu wengi wenye akili na wanaoonekana wana akili huishia kupuuzwa mawazo yao, kudharauliwa, kutengwa, kutosikilizwa, kutokuzingatiwa, kutoheshimiwa, nk mara nyingi kuliko watu wasio na akili yaan Vichwa Panzi?

Kalamu imeisha wino....
Nakaribisha hoja zenu wakuu.
downloadfile.gif
 
Sabotage ambayo hata mzungu hakuona?

Kampuni kama ilijiuliza hilo swali, lazima wawaze uchawi tu

Wapuuzi
Ukiwa fundi hata kwa basic knowledge level ya ufundi unaweza kuivuruga gari hata engineer mbobevu ikamshinda.
ECU ya gari tu ina board kama simu au computer, mtu akichezesha vinjia vidogo au aki disconnect njia tatu za IC unafikiri hio gari itaondoka hapo? ECU inafanya mambo ya msingi kwenye engine kama fuel injection na ignition timing... ataitwa mbabe wa magari atazunguka sana anaona kila kitu kipo sawa, kumbe vinyaya vitatu kwenye ECU vipo disconnected... machines ni complex..
ecu.jpg
 
Ukiwa fundi hata kwa basic knowledge level ya ufundi unaweza kuivuruga gari hata engineer mbobevu ikamshinda.
ECU ya gari tu ina board kama simu au computer, mtu akichezesha vinjia vidogo au aki disconnect njia tatu za IC unafikiri hio gari itaondoka hapo? ECU inafanya mambo ya msingi kwenye engine kama fuel injection na ignition timing... ataitwa mbabe wa magari atazunguka sana anaona kila kitu kipo sawa, kumbe vinyaya vitatu kwenye ECU vipo disconnected... machines ni complex..
ecu.jpg
Ni kweli mkuu ila wao hawakuona hilo point yao ilikua Mzee ni Mchawi wamwachishe kazi
 
Mtu mwenye akili hawezi kkukubaliana na mfano wako maana ni wa uongo.

Pill hauwezi kuwa na akili nyingi ukapuuzwa trust me.
 
Mada yako ina mashiko. Ila mfano wako kidogo una ukakasi.

Iko hivi. Ili usikilizwe kwenye jamii kuna vitu inabidi uwe navyo. Kwanza ni kujiamini. Kama hauonyeshi kuamini kile unachojua au unachofanya watu wengine hawawezi kukuamini. Mbili ni uwezo wa kuongea na kujenga hoja. Tatu ni ufahamu, uelewa, ujuzi wako juu ya jambo husika.

Watu wanaojua kidogo au tuite shallow mara nyingi wanajiamini na ni waongeaji wazuri. Hawa ndo hukimbilia kwenye siasa na kuonekana kwenye majukwaa mbalimbali. Pia watu wa kundi hili hujua ni kitu gani wakiongee katika mazingira gani ili wawafurahishe watu.

Watu wenye uelewa mkubwa wa mambo tuseme hao wenye akili mara nyingi si waongeaji wazuri, huona mbali na hujenga hoja nzito ambazo watu wengi hawawezi kuwaelewa kwa haraka. Hivyo watu huwaona kama wanaongea vitu visivyowezekana. Watu wa kundi hili hawapwndi umaarufu, wala kufurahisha watu. Wabaongea ukweli hata kama ni mchungu.
 
Back
Top Bottom