Youth Worker Tanzania
Member
- Nov 2, 2020
- 68
- 90
Kwa nini wasomi wengi hawapo tayari kujitolea?
Jamii ina imani kubwa na vijana wetu ambao wanafika ngazi za juu za kitaaluma, kiasi wakaaminika kupewa nafasi katika maeneo mbalimbali.
Lakini ni ngumu kwao waliopewa dhamana hiyo, kuwa tayari kuwakusanya hata baadhi tu ya wale wanaowazunguka ,Ili kuwasaidia japo kwa uchache tu wa maarifa yatakayokuwa na manufaa.
Ni swali ambalo kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza. Kipi kinachangia vijana kutojitolea, na badala yake wamekuwa wakilia juu ya ajira ambazo kiuhalisia ni chache kuliko idadi ya wahitimu wenyewe mtaani?
Mfano hata kuamua kuielimisha jamii kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii kama Facebook, TWITTER , Youtube na mfano wake.
Jamii ina imani kubwa na vijana wetu ambao wanafika ngazi za juu za kitaaluma, kiasi wakaaminika kupewa nafasi katika maeneo mbalimbali.
Lakini ni ngumu kwao waliopewa dhamana hiyo, kuwa tayari kuwakusanya hata baadhi tu ya wale wanaowazunguka ,Ili kuwasaidia japo kwa uchache tu wa maarifa yatakayokuwa na manufaa.
Ni swali ambalo kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza. Kipi kinachangia vijana kutojitolea, na badala yake wamekuwa wakilia juu ya ajira ambazo kiuhalisia ni chache kuliko idadi ya wahitimu wenyewe mtaani?
Mfano hata kuamua kuielimisha jamii kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii kama Facebook, TWITTER , Youtube na mfano wake.