Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,077
- 1,208
WANAUME MNAKAA NA KUPOTEZA MUDA KUJADILI ANGUKO NA MAFANIKIO YA WANAUME WENZENU. AIBU SANA.
HATA JAMES DELICIOUS ALIANZA HIVI HIVI, MWISHO WA SIKU ANAPAKULIWA NA KULIWA KISAMVU.
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza team madale waje
Mada na michango tofauti.
Kuhusu deals ni swala la muda.
Hata harmonise deal la kwanza lile la insurance company alilipata akiwa WCB
Sana pamoja na kubanwa wcb bado mwanamke anambana,bibie anapenda maisha ya maigizo balaa kazi hana kutwa photoshoot za gharama,kupanga nyumba za kodi ndefu kwa mwezi. Ray ana kipaji
Wanaminywaje na boss wao kwani wasanii ndio wanawafuata sponsors au sponsors wanawafuata wasanii?Tatizo hawajiongezi wanategemea kila kitu wapate kutoka wcb... Wameshapata fame wautumie kufanya maisha sio kutegemea mziki tu maana kwenye mziki wanaminywa na boss wao
Ngojea nikuulize kwani diamond anawafuata sponsors au sponsors ndo wanamfuata msanii?Wale kazi yao pale WCB ni kuandaliwa show na kugawana hela,kuhusu matangazo hata ya dawa za panya hawapati
Sent using Jamii Forums mobile app
Msanii ana Menejiment Yupo chini ya Wanyonyaji Sponsor anatajiwa dau kubwa Ili wanyonyaji WCB nao wapate cha juu, sponsor anaona huu usenge analala mbeleWanaminywaje na boss wao kwani wasanii ndio wanawafuata sponsors au sponsors wanawafuata wasanii?
Ni hatari sana Wajanja Wanastuka Wanajitoa Mapema, na Ndo kilichomkuta Rich Mavoko alinyanganywa kila kitu..Mimi ninachowahurumia kama huyo Rayvanny kila kitu siyo chake.
Kuanzia Jina: Rayvanny, YouTube Channels, iTunes, Deezer, Tidal Accounts, Nyimbo zote na Audio alizo rekodi akiwa na WCB mpaka mashabiki ni Mali Ya Wasafi.
Siku wakimtimua ( Maana yule nguvu ya kutoka sidhani kama anayo ) anaenda kuanza upya kama KIFARANGA YATIMA.
Na Hii ni kwa wasanii wote wa WCB kama Mbosso na Lava Lava
Ingawa umeongea kishabiki ngoja nikupe elimu kwanza diamond hawafuati sponsors wanamfuata yeye na sponsor wanakuaga na vigezo vyao vya kumchagua msanii wakutangaza bidhaa zao kwa maana hiyo huwezi ukasema diamond anawabania wasanii wake wakati hayo makampuni yanakuja kwaajili ya mondi na si msanii mwingine Kama kile kinywaji Cha ufaransa,pepsi, Coca-Cola,niceone,tomato sauce,Gms mall Kuna wakati mpaka diamond anatangaza utalii wa south Africa.Ukitaka kujua Hilo mbona ujiulizi pamoja na Alikiba kuwa na jina kubwa mbona na yeye apati sponsors na huyu yupo nje ya WCB? Mbona mtu Kama Jux,ben pol,Roma,Ney wa mitego hawapati nao sponsors na Hawa wananyonywa?wewe ulitakiwa kuwaambia Rayvanny, Mboso na Lavalava wajiongeze kwa kutumia brand zao zilizojengwa na WCB kufanya biashara Kama majina wanao kuliko kuwatumia lawama WCB for nothing mbona wote ( Rayvanny na Lavalava) wanna studio zao za mziki wanashindwa vipi kuenda extra mile.Licha ya kufanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii, lakini dili nyingi tunaona zikienda kwa Baba yao pekee.
Vijana wanakwama wapi kwani.
Tembo Mnyama kila siku dili mpyaaa.
Hongera Harmonize kwa jicho la fursa. Uliona mbali sanaa.
Japo wengi walikuponda kwa maamuzi yako ya kujitoa wasafi, lakini sasa wameanza kukuelewa.
Piga pesaa dogo. Mbadala wa Diamond ni wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhMtu kama ray hadi huruma yaan juzi tu kodi ya nyumba imemshinda.
Sasa wewe ulitakajeMimi ninachowahurumia kama huyo Rayvanny kila kitu siyo chake.
Kuanzia Jina: Rayvanny, YouTube Channels, iTunes, Deezer, Tidal Accounts, Nyimbo zote na Audio alizo rekodi akiwa na WCB mpaka mashabiki ni Mali Ya Wasafi.
Siku wakimtimua ( Maana yule nguvu ya kutoka sidhani kama anayo ) anaenda kuanza upya kama KIFARANGA YATIMA.
Na Hii ni kwa wasanii wote wa WCB kama Mbosso na Lava Lava
Alikiba alikuwa baalozi wa tembo chini ya tanapa sasa hivi yupo na asasIngawa umeongea kishabiki ngoja nikupe elimu kwanza diamond hawafuati sponsors wanamfuata yeye na sponsor wanakuaga na vigezo vyao vya kumchagua msanii wakutangaza bidhaa zao kwa maana hiyo huwezi ukasema diamond anawabania wasanii wake wakati hayo makampuni yanakuja kwaajili ya mondi na si msanii mwingine Kama kile kinywaji Cha ufaransa,pepsi, Coca-Cola,niceone,tomato sauce,Gms mall Kuna wakati mpaka diamond anatangaza utalii wa south Africa.Ukitaka kujua Hilo mbona ujiulizi pamoja na Alikiba kuwa na jina kubwa mbona na yeye apati sponsors na huyu yupo nje ya WCB? Mbona mtu Kama Jux,ben pol,Roma,Ney wa mitego hawapati nao sponsors na Hawa wananyonywa?wewe ulitakiwa kuwaambia Rayvanny, Mboso na Lavalava wajiongeze kwa kutumia brand zao zilizojengwa na WCB kufanya biashara Kama majina wanao kuliko kuwatumia lawama WCB for nothing mbona wote ( Rayvanny na Lavalava) wanna studio zao za mziki wanashindwa vipi kuenda extra mile.