trojan92
Member
- May 18, 2024
- 91
- 276
Heloo wana JF
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.
Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.
Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?
Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?
Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?
Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.
Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.
Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?
Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?
Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?
Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?