Pre GE2025 Kwanini vijana wengi hawapendi kushiriki chaguzi hasa kupiga kura?

Pre GE2025 Kwanini vijana wengi hawapendi kushiriki chaguzi hasa kupiga kura?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Asante kwa ushaur
 
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Wakileta tume iliyo huru na katiba iliyo ya wote nitapiga kura. Kwa sasa acha nisipoteze muda wangu
 
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Kwa sababu uchaguzi si huru na haki? Kura zao haziheshimiki?
 
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Comments reserved
 
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Kwa kijana mwenye akili timamu huwezi poteza muda kwenda kupanga foleni eti kupiga kupiga kura Ili Hali unajua fika matokeo yanapikwa na Sasa wanasema hadharani.
 
Jibu lako utalipata kwenye clip ya aliyekua mkuu wa wilaya ya Longido mixer na Ile ya Bumunda lilipokua BKB.
 
Uchaguzi haufanyiki kwa kupiga kura, kuna mambo huwa yanafanywa porini na watu ambao wapo veri tafu, hao ndio wanaamua matokeo ya uchaguzi 😏
 
Wakuu ni kweli vijana wengi wanatamani kuona maendeleo kwenye hii nchi yetu ila linapokuja suala la kupiga kura wengi hawapigi kura.

Nauliza wewe kama kijana upo tayari kupiga kura au haupo tayari kupiga? Kama haupo tayari ni kwa nini?
 
Heloo wana JF

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Tanzania na vioja vyake kwa muda mrefu. Ni kweli pasi na shaka kuwa vijana wengi hujitokeza kwenye kampeni lakini kwenye kupiga kura wengi hawaendi kabisa.

Hii inathiri upatikanaji wa matokeo tarajiwa sababu wanatarajia mshindi ambae hawajampigia kura.

Inawezekana vipi mtu ashinde bila kupigiwa kura?

Je kupiga kura ni jukumu la watu wa rika la kati na wazed tu?

Vijana kwanini hawapendi kupiga kura?

Ushauri wangu kwa vijana
Ikiwa tunataka viongozi fulani washinde basi tujitokeze siku za kupiga kura ili washinde wale tunaowataka kuliko kutokupiga kura na kutarajia mgombea fulani ashinde, atashindaje bila kura yako?
Tutapiga kura kuichagua CHADEMA tu basi.
 
Back
Top Bottom