Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hili sasa ni janga la kitaifa hapa nchini
Kuna jamaa yetu mmoja ambaye ni jirani yetu kabisa mimi namuona kama ndugu tu
Ana mazoea akija akikuta simu yangu anacheki music na video sasa jana nilimuomba card reader niitumie kidogo akanielekeza ilipo nikaenda nikaichukua sasa kufika getto kuchek card reader kumbe ina memory card nikachukua memory card ile nikaweka kwenye simu la haula! Nilichokutana nacho sikuamini!
Jamaa amejaza video za mashoga na picha za wanaume tu
Sikuamini ila nikajifanya sijaelewa chochote nikasema ngoja nimrejeshee memory yake niendelee tu na card reader
Ilikua ni kumpima tu atafanya nini nilivyompa memory nikamwambia niliikuta kwenye card reader alishtuka sana nilivyompa
Nikacheki akaunti yake ya facebook kweli asilimia kubwa ya rafiki zake ni mashoga na pia amejiunga magroup mengi ya mashoga na jamaa anajifanya mlokole balaa
Dunia inaelekea pabaya sana nimegundua watu wengi sana wanajihusisha na ushoga ila ni kwa siri ikiwemo waume za watu, vijana wadogo mpaka makada na viongozi wakuu
Kuna haja kubwa sana ya kujitahidi watoto wetu wa kiume wasitumbukie katika usodoma na gomora
Tatizo ninini wakati wanawake wamejaa?
 
MKUU WEWE ULIOMBA CARD READER AU ULIKWENDA KUCHUNGUZA MEMORY YA MWENZIO?
mkuu nilivyokuta memory nilitest kwenye radio ina play nyimbo flan hivi za zilipendwa nikaona ngoja niiweke kwenye simu ili niziweke na kwangu
 
MKUU WEWE ULIOMBA CARD READER AU ULIKWENDA KUCHUNGUZA MEMORY YA MWENZIO?
mkuu nilivyokuta memory nilitest kwenye radio ina play nyimbo flan hivi za zilipendwa nikaona ngoja niiweke kwenye simu ili niziweke na kwangu ndo nikakutana na hayo mavideo
 
Utandawazi na capitalism

Angalia nchi za kijamaa na communism hakuna upuuzi huo
 
Tatizo kubwa ni kuiga iga
Tatizo kubwa ni Tamaa
Tatizo kubwa Mitandao

Ulevi wa kupindukia ni hataree sana!
 
Utandawazi na capitalism

Angalia nchi za kijamaa na communism hakuna upuuzi huo
Upo ila hauonekani kwa sababu hawaruhusu kujadili hayo masuala achilia mbali kuonekana hadharani. Hata kule kwenye adhabu ya kuchinja ushoga UPO.
 
Hili sasa ni janga la kitaifa hapa nchini
Kuna jamaa yetu mmoja ambaye ni jirani yetu kabisa mimi namuona kama ndugu tu
Ana mazoea akija akikuta simu yangu anacheki music na video sasa jana nilimuomba card reader niitumie kidogo akanielekeza ilipo nikaenda nikaichukua sasa kufika getto kuchek card reader kumbe ina memory card nikachukua memory card ile nikaweka kwenye simu la haula! Nilichokutana nacho sikuamini!
Jamaa amejaza video za mashoga na picha za wanaume tu
Sikuamini ila nikajifanya sijaelewa chochote nikasema ngoja nimrejeshee memory yake niendelee tu na card reader
Ilikua ni kumpima tu atafanya nini nilivyompa memory nikamwambia niliikuta kwenye card reader alishtuka sana nilivyompa
Nikacheki akaunti yake ya facebook kweli asilimia kubwa ya rafiki zake ni mashoga na pia amejiunga magroup mengi ya mashoga na jamaa anajifanya mlokole balaa
Dunia inaelekea pabaya sana nimegundua watu wengi sana wanajihusisha na ushoga ila ni kwa siri ikiwemo waume za watu, vijana wadogo mpaka makada na viongozi wakuu
Kuna haja kubwa sana ya kujitahidi watoto wetu wa kiume wasitumbukie katika usodoma na gomora
Tatizo ninini wakati wanawake wamejaa?
David Cameroon
 
Mchawi mkubwa ni malezi yaliyoingiliwa na utandawazi!!

Ushaona "vimama" vya siku hizi vinavyowapoadoa watoto wa kiume ili tu waonekane "wazuri" then wanavalishwa nguo za kufanana na mama mtu kuanzia viatu kisha wanapiga picha za mapozi ya hatari sana!! Mwisho wa siku wanaringishiana kule wanaita sijui Insta....!!!
 
Back
Top Bottom