Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

Serikal za mataifa ya Africa ziliambiwa ziruhusu ndoa za jinsia moja bali nyengine zilikataa ikiwemo nchi yetu ya Tanzania. Sasa huwa wenzetu hawakati tamaa, bali hutafuta njia mbadala ya kufanikisha malengo yao ikiwemo njia ya kushawish vijana kwa siri kwa kuwalaghai kifedha wakijua watu wengi wa kileo wanapenda saana maisha money
 
Hakuna jipya chini ya jua m/mungu pekee ndo wakuamua kizazi hiki akiteketeze kama sodoma na gomora , au atuhurumie kwa neema yake.
 
Inasikitisha sana...


Zamani ilikuwa kulea mtoto wa kike ni kazi sana kwa ajili ya mimba za utotoni...


Siku hizi imekuwa kinyume... Kulea mtoto wa kiume ni shida kwa sababu ya kupotoka kwa madili na kutumbukia kwenye ushoga...


Cc: mahondaw
 
Wakati wakianzisha taasis hizo au NGOs huweka lengo zuri la kusaidia jamii, mfano kutoa elimu kuhusu ishu za HIV. Baada ya kupata usajili kisheria wanafanya mambo mengine ambayo wameyalenga ikiwemo kuharibu jamii. hivi juzi tu Zanzibar wamekamatwa vijana 20 kwenye ukumbi ya hotel flani wakipeana semina za mapenz ya jinsia moja kupitia kitaasis flan.
 
Tatizo vijana wengi wanapenda kupata pesa za mteremko.

Hilo limechangiwa na wengi wao kutokuwa na elimu na hali ngumu ya kiuchumi.

Pia wenye pesa wameingiliwa na roho za kishetani na kuanza kuwarubuni watoto wa kiume wenye njaa kali na kuwapa pesa na magari ya kutembelea ili wafanye nao michezo hiyo michafu.

Inasikitisha sana lakini ndio ivo tena hali sio nzuri.
 
Kucheza na tope kunataka moyo jamani..yaani unakula jicho kabisa huku pumbu za mwanaume mwezio zinaning'inia? Aisee..Astaghafirulah!
 
Mkuu.....

Pole kwa matatizo yaliyokupata pia ningependa kukushauri anza kumfuatilia nyendo zake kama ni shoga au ana jihusisha na ubahasha, wenyewe wanaita ( top au bottom ) endapo utajua ukweli nakushauri uongee naye na kumshauri apunguze hiyo tabia taratibu na mwishowe ataacha kabisa, ila inasikitisha mno kwa kijana wa kiume kushiriki mapenzi ya jinsia moja hata vijana wa kike pia, ushiriki wa kufanya mapenzi kwa kinyume na maumbile pia si sawa kuna ulazima hatua ichukuliwe, ni vigumu mtu aliye kwisha anza kushiriki mapenzi ya jinsia moja ila ni kumshawishi ili aweze kupunguza taratibu na hatimaye aache kabisa michezo hiyo hatarishi.
 
Nikionaga mada kama hizi huwa mwili wangu unasisimka sana kwa sababu mtu kama huyo kwa tabia alizo nazo na ndio kuwe na vitoto vya kiume ambavyo vimemzoea mara mjomba mjomba lazima mwisho wa siku avifanyie vitendo ambavyo sivyo kama sio kuwafunza tabia za kipumb**u.

Kumkalia kimya sio dawa bro kwa sababu anazidi kukomaa mana hata na wewe mwenyewe uko hatarini kuombwa mchezo kwa sababu kashaanza dalili mana kukuwekea hizo picha zake humo alidhamiria na sidhani kama hakujua.

Ukishindwa kaa naye mbali aisee
kama yy ndio anawafanyia mashoga huo mchezo alafu upande wa pili anajifanya mlokole daaa!!!!
 
Back
Top Bottom