Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

Wanaume tunazidi kupungua inasikitisha. Wakati tunaambiwa Duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume lkn bado wanaume nao wanaongeza idadi ya wanawake
 
Kulea mtoto wa kiume katika kipindi hiki ni sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano.

Namshukuru Mungu kwa alionipa na nawaombea sana wale wenye watoto wa kiume.
 
Kumbe hii ndio ID yako... Tunapishana humu jf kumbe no majiran .... Usisahau kunirudishia memory yangu
 
Kulea mtoto wa kiume katika kipindi hiki ni sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano.

Namshukuru Mungu kwa alionipa na nawaombea sana wale wenye watoto wa kiume.
yaani sikujua yule jamaa ni punga
 
Hebu nitajie acc. yake fesibuku na Mimi nijionee Mkuu
 
Hebu nitajie acc. yake fesibuku na Mimi nijionee Mkuu
 
Hebu nitajie acc. yake fesibuku na Mimi nijionee Mkuu
 
Hebu nitajie acc. yake fesibuku na Mimi nijionee Mkuu
 
Nikionaga mada kama hizi huwa mwili wangu unasisimka sana kwa sababu mtu kama huyo kwa tabia alizo nazo na ndio kuwe na vitoto vya kiume ambavyo vimemzoea mara mjomba mjomba lazima mwisho wa siku avifanyie vitendo ambavyo sivyo kama sio kuwafunza tabia za kipumb**u.

Kumkalia kimya sio dawa bro kwa sababu anazidi kukomaa mana hata na wewe mwenyewe uko hatarini kuombwa mchezo kwa sababu kashaanza dalili mana kukuwekea hizo picha zake humo alidhamiria na sidhani kama hakujua.

Ukishindwa kaa naye mbali aisee
 
Cku hizi kuna baadhi ya taasisi kama NGOs huanzishwa kwa nia ya kuhamasisha na kushawishi vijana wa kike na wa kiume kufanya mapenz ya jinsia moja. Mara nying hushawishiwa kwa kupewa vitu mbali mbali ili kuwavuta kwa wepes.
 
mkuu ni kweli kwa hili lazima nimuulize kiroho safi tu
 
Cku hizi kuna baadhi ya taasisi kama NGOs huanzishwa kwa nia ya kuhamasisha na kushawishi vijana wa kike na wa kiume kufanya mapenz ya jinsia moja. Mara nying hushawishiwa kwa kupewa vitu mbali mbali ili kuwavuta kwa wepes.
hizi Ngo's ni za kuangalia mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…