Kwanini vijana wengi siku hizi wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja?Mchawi ni nani?

Ww umewaona wapi
 
inauma sana hizi ngo zinaachwa tu
 
imenisononesha sana hii mkuu
 
sasa ni wivu ndo umekufanya uje kumuanika huku au......kuwa wa kiume......angalia njia sahihi ya kumsaidia atoke huko na sio kelele za kishoga shoga hapa......watakutamani na wewe....
 
Kuna tatizo kubwa sana,waathirika wengi ni generation ya 90's, wanarubuniwa sana haswa kwa sababu wanapenda maisha fulani ambayo kuyapata ni ngumu kwa hio kuna watu wana take advantage kuwafanyia huo mchezo.Tatizo ni kubwa kuliko mnavyodhani ni kubwa mno.
 
n
Yan cku hiz ukizaa mtt wakiume kichwa kinakuuma mpk akue salama ndo unapumua wkt zaman wtt wakike ndo walikua wakichungwa

ntakubamizaaa weweeee....!!!!!..yaani umekosa kabisa maneno ya kutolea mifano....???
 
 
HUO NDIYO USENGE UNAOFANYWA NA WAMAMA WENGI, MTOTO WA KIUME ANASHINDWA HATA KUTAMBULIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…