Kwanini Vijana wengi wanafanikiwa wakija Dar es Salaam kuliko mikoani?

Kwanini Vijana wengi wanafanikiwa wakija Dar es Salaam kuliko mikoani?

Sina uhakika na ulichokiongea maana wanaotoka dar ni wachache ukilinganisha na wanakuja. Mimi nikisafiri kutoka dar kwenda mkoani huwa nakata tiketi pale pale stand asubuhi siku ya safari na sijawahi kukosa basi ila nikitoka mkoa kuja dar nalazimika kukata tiketi siku mbili kabla ya safari kwa sababu ukikata siku moja kabla unakuta mabasi yote yamejaa
Kwamba sensa imedanganya Kwa hiyo tupate stori za Mabasi?
Screenshot_20231031-061536_1.jpg

Kwamba ukija kununua au kuuza mambo ni tip for tat?
 
Ukiwa kwenu huwezi kutembeza Alkasus
Kuna kazi ukiwa kwenu huwezi kuzifanya ila jiji kubwa lenye hekaheka unapiga kila kazi na unajifunza mengi
Ndio maana unakuta tajiri anakuambia nilianza na kubrash viatu
 
Leta facts Yako inayopingana na matokeo ya sensa View attachment 2998577

Pili kwamba wewe unatamani.kuishi Dar au unaishi Dar ? Mimi kote nimeishi na nasisitiza siwezi nasipensi.kuishi Dar labda nilazimishwe na kazi na naweza kuhama
Nimeishi kote piaa
Nipo mkoaa
Dsm sio sehemu yakuishi kwa mimi binafsi kama ni kijana unajitafuta , hilo nakubali
Ila uniambie dsm watu wanaikimbia ? Kuliko wanaoingia?
No bro
 
Nimeishi kote piaa
Nipo mkoaa
Dsm sio sehemu yakuishi kwa mimi binafsi kama ni kijana unajitafuta , hilo nakubali
Ila uniambie dsm watu wanaikimbia ? Kuliko wanaoingia?
No bro
Sikwambii nakupa takwimu kwani wewe hujui kusoma? Hao unaona wengi ni Kwa vile ni magari ya Nchi nzima yanaenda lakini wengi wanaenda Kwa biashara na kugeuza.

Dar ilikuwa zamani wakati Mkoani hakuna kitu,Leo taa za Barabarani ziko Hadi Tarime huko ,shobo na Dar hakuna tena
 
Sikwambii nakupa takwimu kwani wewe hujui kusoma? Hao unaona wengi ni Kwa vile ni magari ya Nchi nzima yanaenda lakini wengi wanaenda Kwa biashara na kugeuza.

Dar ilikuwa zamani wakati Mkoani hakuna kitu,Leo taa za Barabarani ziko Hadi Tarime huko ,shobo na Dar hakuna tena
Wewe ndio hujui kusoma
Unatuma statistics ambazo wewe mwenyewe hujazielewa
 
Kwamba sensa imedanganya Kwa hiyo tupate stori za Mabasi? View attachment 2998576
Kwamba ukija kununua au kuuza mambo ni tip for tat?
Mkuu nimesema kwamba dar kuna population kubwa ambayo imejikusanya. Ukitoka kuanzia mbagala mpaka city center ukaenda mpaka tegeta, mbezi, n.k unakutana na makazi ya watu tofauti na uko mikoani population yao imetawanyika sana sehemu inayoitwa mjini ni eneo dogo ukisogea mbele unakutana na mapoli tu mapak ukute makazi ya watu ni mwendo mrefu
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Ukiwa dsm zingatia
1,money saving.
2,staarehe achana nazo.👈💥💥💥.
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Alafu tunaomba muwe na heshima acheni ujinga kabisa. Mnaringishia watu mmejenga Dar lakini mvua ikinyesha mnapokezana na watoto kuchota maji ndani usiku kucha Choo nacho kinatapikia kinyesi huko huko
Nyie tulieni Dar mnajisitiri hamjengi
 
Mkuu nimesema kwamba dar kuna population kubwa ambayo imejikusanya. Ukitoka kuanzia mbagala mpaka city center ukaenda mpaka tegeta, mbezi, n.k unakutana na makazi ya watu tofauti na uko mikoani population yao imetawanyika sana sehemu inayoitwa mjini ni eneo dogo ukisogea mbele unakutana na mapoli tu mapak ukute makazi ya watu ni mwendo mrefu

nadhani hii pia inaweza kuwa sababu ya msingi
 
Back
Top Bottom