Kwanini vijana wengine kutoka Mazingira magumu huibuka na kufanikiwa?

bahati impate mwenye hivyo nilivyoorodhesha hapo ndo atafaulu lkn bahati naipa asilimia 10 tu!.
 
Kuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.

Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
Uwezekano wa masikini kufanikiwa ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kishua..
 
Michael Jordan?
China?
Ukraine?
Facebook?
Donald Trump?
Halima Mdee?
Tiktok?
Fei Toto?
 
Wewe unafikiri bila wizi utatoboa
 
Mkuu, sasa mtoto wa kishua afanikiwe ili aende wapi tena?

Yaani mantiki yako ni sawa na kuuliza iwapo mtoto wa Elon Musk ameshawahi kupanda ndege.
Kati ya mtoto wa Elon Musk na mtoto wa uswazi ni nani yupo kwenye position kubwa ya kupata mtaji wa biashara kuanzia 5,000,000??
 
Uwezekano wa kufanikiwa hauangalii mtu ni maskini au tajiri. Uwezekano wa kufanikiwa unategemea na utayari wa mtu na bidii ya mtu.
Hivi ndivyo wanasiasa na motivational speakers wanavyowadanganya. Endelea kukariri tu mkuu. Maisha yanataka connections kubwa kubwa my dear brother..
 
Kati ya mtoto wa Elon Musk na mtoto wa uswazi ni nani yupo kwenye position kubwa ya kupata mtaji wa biashara kuanzia 5,000,000??
Kupata mtaji wa million 5 sio kufanikiwa. Kufanikiwa ni uwezo wako wa kuzizalisha zile million 5.
 
Takwimu zinaonyesha asilimia kubwa ya watoto wa maskini huwa maskini, na asilimia kubwa ya watoto wa matajiri huwa matajiri. Moto wa kimasikini kufanikiwa ni mpaka ahustle kupita uwezo wa kawaida, au kwa wachache apate bahati.
 
Kuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.

Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
Kuna fate halaf kuna character ya mtu, motive and drive. Wengi hawatoboi but wale wachache wana kitu extra ambacho wengine hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…