bahati impate mwenye hivyo nilivyoorodhesha hapo ndo atafaulu lkn bahati naipa asilimia 10 tu!.Ingawa ni kweli akili, ujasiri, na kujituma ni muhimu, je, huoni kuwa wakati mwingine bahati pia inaweza kuwa kichocheo cha kufanikisha mipango?
Kuna wale ambao, licha ya juhudi na mipango yao, wanahitaji fursa fulani au mabadiliko ya hali ambayo yanaweza kuonekana kama bahati.
Pia, si kwamba tunapuuza umuhimu wa akili na juhudi, bali tunakubali kuwa wakati mwingine kuna mambo yasiyotegemewa yanayoweza kusaidia kufanikisha malengo.
Uwezekano wa masikini kufanikiwa ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kishua..Kuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.
Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
Wewe unafikiri bila wizi utatoboa📌Wagumu hawana FAKE STANDARDS,pia hawana habari ya KURUDISHA MPIRA KWA KIPA,unakomaa na maisha mwanzo mwisho kwasababu unajua ukimess up kule kijijini kwenu MSOTO wake ni bora ufe👋so hawa wasongombikaji(WAGUMU) huwa wanapambania KOMBE kufa na kupona,nyuma mwiko mbele kwa mbele kitafahamika tu!!!
Wamjini/wakishua wao wanatest maji kwa ugoko akiona namna gani hapa huyo anarudi kwa WAZAZI anazeekea hapo kama yule babu wa TIKTOK.
Hi spirit ya kujua ukizingua kuna pa kuegemea inafanya hawa wakishua wanakuwa less AGGRESSIVE na mapambano ya kimafanikio.Zaidi zaidi wakishua wanategemea wizi na dili hawana muda wa kuumiza kichwa!!!
Mkuu, sasa mtoto wa kishua afanikiwe ili aende wapi tena?Uwezekano wa masikini kufanikiwa ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kishua..
Uwezekano wa kufanikiwa hauangalii mtu ni maskini au tajiri. Uwezekano wa kufanikiwa unategemea na utayari wa mtu na bidii ya mtu.Uwezekano wa masikini kufanikiwa ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kishua..
Kati ya mtoto wa Elon Musk na mtoto wa uswazi ni nani yupo kwenye position kubwa ya kupata mtaji wa biashara kuanzia 5,000,000??Mkuu, sasa mtoto wa kishua afanikiwe ili aende wapi tena?
Yaani mantiki yako ni sawa na kuuliza iwapo mtoto wa Elon Musk ameshawahi kupanda ndege.
Hivi ndivyo wanasiasa na motivational speakers wanavyowadanganya. Endelea kukariri tu mkuu. Maisha yanataka connections kubwa kubwa my dear brother..Uwezekano wa kufanikiwa hauangalii mtu ni maskini au tajiri. Uwezekano wa kufanikiwa unategemea na utayari wa mtu na bidii ya mtu.
Kupata mtaji wa million 5 sio kufanikiwa. Kufanikiwa ni uwezo wako wa kuzizalisha zile million 5.Kati ya mtoto wa Elon Musk na mtoto wa uswazi ni nani yupo kwenye position kubwa ya kupata mtaji wa biashara kuanzia 5,000,000??
Kwani wakina Bakhresa, Lugumi na Mengi walipewa connections na nani?Hivi ndivyo wanasiasa na motivational speakers wanavyowadanganya. Endelea kukariri tu mkuu. Maisha yanataka connections kubwa kubwa my dear brother..
Kufanikiwa Jambo gani? Muwe specific.Uwezekano wa masikini kufanikiwa ni mdogo sana ukilinganisha na watoto wa kishua..
Kitu cha maan sana umeongea.Luck comes with risks.
Njia pekee ya kutumia bahati vizuri ni kufanya maamuzi magumu.
Yeah, usipojilipua utajiona bahati zinakupita.Kujilipua.. as there is nothing to lose
Sahih, wengi wamepata bahati bt walishindwa kuzitumia kwa kukosa akili, kujituma, nidham na nk...akili, ujasiri, kujituma.
Wanaondika bahati hata uwe na bahati vipi kama uwe huna akili you will never make it!.
Kuna fate halaf kuna character ya mtu, motive and drive. Wengi hawatoboi but wale wachache wana kitu extra ambacho wengine hawanaKuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.
Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
Kama kipaji , n.kKuna fate halaf kuna character ya mtu, motive and drive. Wengi hawatoboi but wale wachache wana kitu extra ambacho wengine hawana