Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
But kuna wale hard workers, yaan wana drive inside ya kuwatoa hapo. Hiyo inawasukuma everyday hatimae wanafanikiwaKama kipaji , n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But kuna wale hard workers, yaan wana drive inside ya kuwatoa hapo. Hiyo inawasukuma everyday hatimae wanafanikiwaKama kipaji , n.k
Kweli , kabisaBut kuna wale hard workers, yaan wana drive inside ya kuwatoa hapo. Hiyo inawasukuma everyday hatimae wanafanikiwa
Hujui wewe. Wewe endelea tu kuamini kuwa fulani alikuwaga shoe shiner kabla ya kuwa billionaire. They'll tell you the truth..Kwani wakina Bakhresa, Lugumi na Mengi walipewa connections na nani?
Hapo sababu ni mazingira rafiki vs mazingira duni.Takwimu zinaonyesha asilimia kubwa ya watoto wa maskini huwa maskini, na asilimia kubwa ya watoto wa matajiri huwa matajiri. Moto wa kimasikini kufanikiwa ni mpaka ahustle kupita uwezo wa kawaida, au kwa wachache apate bahati.
Kwani kipaji na talanta vina tofauti gan? Hayo maneno yana maana moja em wacha ujuaji wa lughaBaraka za MUNGU
Mungu ana nafasi kubwa katika mafanikio ya mtu, hasa kwa wale wanaomtegemea ili wafanikiwe.
Bidii na kujituma
Mafanikio ya wengi walio kwenye hali duni yanaletwa na bidii kwa kiasi kikubwa.
Mindset Nzuri
Wanaofanikiwa huwa wameweka malengo ya kufanikiwa na akili yao inawaza kufanikiwa ndio maana wanafanikiwa.
Good Timing
Ili kutoka katika hali ngumu vijana waliofanikiwa walijua kufanya jambo sahihi katika wakati sahihi wa kufanya hilo jambo.
Bahati na ngekewa binafsi
Japo wote tunahustle wakati mwingine wanaofanikiwa ni wale wenye bahati, aisee asikwambie mtu kuna watu wana bahati!
Kipaji na talanta
Vijana waliofanikiwa wapo wenye talent zao katika mambo walioyochagua kuyafanya. Wanatumia sauti zao, miguu yao, akili zao ipasavyo. Mifano ni mingi kina Nasibu Abdul,Samatta,Mwakinyo
sawa mkuu nimeachaKwani kipaji na talanta vina tofauti gan? Hayo maneno yana maana moja em wacha ujuaji wa lugha
Sio kuacha tu inabidi utie akilini. Na unapaswa kujua visawe vya lughasawa mkuu nimeacha
Sio kuacha tu inabidi utie akilini. Na unapaswa kujua visawe vya lugha
Nakubaliana na wewe, Detective J kwamba kuna "character," "motive," na "drive" ambazo zinawatofautisha wale wanaofanikiwa na wengi.Kuna fate halaf kuna character ya mtu, motive and drive. Wengi hawatoboi but wale wachache wana kitu extra ambacho wengine hawana
Umetoa mfano mzuri unaoonyesha nguvu ya kujitegemea hata katika umri mdogo.Mtoto ana miaka Tisa, lakini tayari anajitafutia Nguo, anatafuta mboga, akiachwa na wadogo zake hamna kinachoharibika.
Sembuse kufauli Maisha??.
Drive inatengenezwa na experience mostly, mazingira anayokutana nayo mtu, lets say familia fukara, lakini familia hiyo hiyo ina ndugu ambao walipambana kutoka hapoNakubaliana na wewe, Detective J kwamba kuna "character," "motive," na "drive" ambazo zinawatofautisha wale wanaofanikiwa na wengi.
Lakini je, unafikiri mambo haya huzaliwa nayo mtu au yanaweza kujengwa kwa muda kupitia mazingira na mafunzo?
Pia, umeongelea kuhusu wale "hard workers" wenye drive ya ndani. Je, unadhani mazingira magumu huwa na nafasi kubwa ya kuunda hii "drive" ya ndani? Au kuna mambo mengine?