BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Utamuibia nani kila familia ina mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wale ni balaa japo sio wote.
Hii sio kweli.hakuna wavivu, hakuna wanaochagua kazi, hakuna wasio na kazi, ni watu wa bidii, kazi kazi. wanashindana kufanikiwa kila moja kwa jasho lake...
darcity Accumen Mo na akina adriz ni kushinda tu vibarazani wakipinga porojo na umbea. Mikono yao lainiiii. Wakati utajiri hupo shambani.Jamaa wale ni balaa japo sio wote.
Wanapenda storistori sana. Vijana wa huko wamesaidiwa na ubunifu wa mchina kuleta bodaboda wakapata ajira. Ila wengi hata ukiingia nao makubaliano walime watakuchenga hadi kichwa kiume. Wakati wadagama wenyewe saa tisa usiku unawakuta shambani wameanza kazi.
Mwalusembe Mkuranga.Taja kwanza vijiji vyenye wakabaji
ok sawa mkuuHii sio kweli.
Ukweli ni kwamba kwa msukuma mali sio kitu, wala hana tamaa hizo..... kuiba labda chakula ikiwa kuna njaa.
Sasa ng'ombe zinaweza kuibiana?Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.
Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.
Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.
Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.
Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.
Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.
Nini chanzo cha hii kitu
Wizi na uchawi haukaii pamoja,ibgfa wakurogeNimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.
Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.
Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.
Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.
Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.
Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.
Nini chanzo cha hii kitu
Wizi na uchawi haukaii pamoja,iba wakurogeNimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.
Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.
Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.
Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.
Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.
Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.
Nini chanzo cha hii kitu
UsukumaniNimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.
Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.
Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.
Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.
Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.
Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.
Nini chanzo cha hii kitu
Hmna wezi kwetu , akikamatwa mwizi basi anatokea bara ....Hta ukidondosha kitu unapata
😀 😀Jamaa wale ni balaa japo sio wote.
Wanapenda storistori sana. Vijana wa huko wamesaidiwa na ubunifu wa mchina kuleta bodaboda wakapata ajira. Ila wengi hata ukiingia nao makubaliano walime watakuchenga hadi kichwa kiume. Wakati wadagama wenyewe saa tisa usiku unawakuta shambani wameanza kazi.
Mmasai mwizi Ni lowasa tu!Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.
Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.
Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.
Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.
Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.
Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.
Nini chanzo cha hii kitu
Sawaa ila muwe mnaoga na nyie banaSisi ni watu wa kazi kazi sio wauza sura ..mm tu nilipo kua darasa la tatu nilikua napewa eneo na mzee nilime pamba na nikivuna pesa ni yangu.Nyumbani kukuta mtu kamaliza la saba anaoa na kuendesha familia yake vizuri ni swala la kawaida sana.SHUKRANI SANA KWA WAZEE WETU KUTUPA AKILI YA KUPENDA KAZI HASA KILIMO NA UFUGAJI[emoji1423]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UMEKAA DODOMA huko ndo kuna chama cha wasio oga tanzaniaSawaa ila muwe mnaoga na nyie bana
Nasikia wanaamini ngombe wote duniani ni wao. Mwingine akiwanazo amewaibia wao. Mimea yote hadi mazao ni majani tu. Hapo lazima warudishe ng'ombe zao zinazopatikana kwa makabila mengine.Mmasai mwizi Ni lowasa tu!