Kwanini vijiji vingi vya usukumani havina wezi kama kwingineko?

Kwanini vijiji vingi vya usukumani havina wezi kama kwingineko?

Nimewahi kuishi usukumani,kule kuna ulinzi shirikishi aidha mgeni yeyote akija lazima areport kwa mwenyekiti wakijij na pia bado wanaheshimu mila na desturi (wazee wanaheshima bado mbele ya jamii).kuna jamaa mmoja akihisiwa kutunza wezi aiseeee nilishuhudia kwa macho yangu akicharazwa viboko hadi akajinyea mbele ya umati wawatu na akatozwa faini ya ng'ombe wawili palepale akatubu mbele ya halaiki yawatu kua hatarudia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]omba usiangukie kwa sungu sungu wale jamaa ni hatari wale wanaweza kukutandika fimbo mbele ya watoto wako na mkeo.Huku pwani watu hawaheshimiani bwana unakuta mzee anasalimiwa hajibu anaona unamzeesha wakati ni mzee anataka ya ujana.Mm mara ya kwanza nilishangaa vijana wanamjambisha mzee na mzee nae anashtuka nikajisemea hiiii ingekua home mmjambishe mzee namna hii naona mnageuka kua gaza fasta.
 
Polisi walijichanganya wakamuweka ndani bi kizee mmoja. Vijana wake hawa walipotinga kituo cha polisi ilibidi wamwachie ajuza wa watu bila maswali. Halafu unategemea kweli mtu ukaibe kitu cha mwingine katika mazingira kama haya? 😁🖐

IMG-20240323-WA0078.jpg
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Asili ya Ulinzi wa Sungu Sungu ni wao! Na pia mila zao zina hamasisha watu wake kuwq watu wa amani.Kwenye jamaa ya Wafugaji jamaa zetu toka kule Makao makuu ndo wasumbufu sana.
 
Nimeishi Mwanza hawa jamaa bado wanasheria za kimira ukipita misungwi kwimba mtu mkorofi kwene jamii anachapwa na wazee fimbo.

Pia wana mfumo wa ulinzi shirikishi nilikua naona kwimba ikifika jion vijana na malungu wakk mktaani kulinda
mwaka gani hiyo mkuu na kwimba sehemu gani
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Ulishaona wezi wanaibiana?
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Mawazo yangu:Sehemu yoyote ambayo wana vyakula vya kutosha(hakuna njaa)tabia ya wizi na udokozi hakuna.Labda,kwa ndugu zangu Abhakurya kuhusu wizi wa ng'ombe upo damuni.Wanaamini kila ng'ombe aliyepo duniani ni wao Wakurya na hapaswi mtu yeyote kuwamiliki.
HALAFU,Wasukuma/wasugunsu wanaamini sana katika uchawi/ulozi.Kila baada ya nyumba tatu kuna mganga/mchawi.
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Wasukuma ni kabila la watu waliobarikiwa sana
 
Nilizama chimbo Moja huko katavi wilaya ya mlele huko ndani ndani wanapaita Irunde
Bwanawee kule wanaishi wasukuma wengi kuliko wakoningo ambao ndo wenyeni
Sasa kule ikitokea mwizi akakamatwa adhabu yake niviboko,kuripa faini pamoja nakufukuzwa kijijini usije kurudi Tena!
 
Back
Top Bottom