Sokoine alipata ajali akiwa kwenye foleni?Motorcade ya rais inapataje ajali wakati barabara inasafishwa
Mie sijasoma sana lakini nachojua ni kwamba nchi hii haijawahi na kiwa na rais anaitwa sokoineSokoine alipata ajali akiwa kwenye foleni?
mbona maDC, RC, Wakurugenzi huwa naona wanakaa mbele
Una ufala mwingi sana wewe boyaWanaogopa wakijamba dereva asisikie
je akipigwa bomu? itazuiasio kukaa nyuma tu
Anatakiwa akae siti ya nyuma upande wa kushoto...
Hiyo ndio sehem yenye usalama mkubwa wakat wa ajali pia ni ngumu kupigwa risasi...
OVER
Rudi kwenye mada soma vizuriMie sijasoma sana lakini nachojua ni kwamba nchi hii haijawahi na kiwa na rais anaitwa sokoine