Lakini kuongoza ni kuonyesha njia...Ushasema ni viongozi
Kaka hata wewe ungekuwa kiongozi lazma ungejipendelea.Lakini kuongoza ni kuonyesha njia...
Kupigia papuchi za barSasa mshahara wao wantumia kwenye nini?
sababu ni viongoziKwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Kudadekii wanakula tu national cake.Kupigia papuchi za bar
Mkuu; Hayo uliyotaja Inapewa OFISI sio mtu. Huyo mtu akiondoka (kwa Uhamisho, Kustaafu, Kifo n.k.) Vinabaki Ofisini na kazi inaendelea.Kwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Kwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Unakaaga bank tu hadi muda wa kulipa ada😂Sasa mshahara wao wantumia kwenye nini?