Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wanakula asali na maziwa tu! Mtu anaekula apple namna hio anamkumbukaje kapukuUongozi Tanzania😁😁😁
View attachment 2039270
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakula asali na maziwa tu! Mtu anaekula apple namna hio anamkumbukaje kapukuUongozi Tanzania😁😁😁
View attachment 2039270
Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taalumaKwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Nani mlikunywa nao ugimbiUkisikia uchawi ndio huu.Sasa wewe umeshasema viongozi ulitaka waishi Manzese?.Kwa taarifa yako wakifukuzwa,kustaafu au kufa familia zao tunakuwa nazo mtaani tunakunywa ugimbi.Nyerere alishtuka kiongozi pekee Africa alihama ikulu kahamia nyumba yake waache
Yule dr alikuwa na degree nyingi mno sasa ni marehemu kikubwa hapa point yangu nafasi zao zinahitaji wapate hizo facility tusiwachungulie uongozi sio jambo rahisi ni mzigo wanatakiwa kukaa sehemu za utulivuNani mlikunywa nao ugimbi
Sasa mshahara wao wantumia kwenye nini?
Nchi zote haziko hivyo, tuchukulie Ujerumani ambao kwa Pato wanatupita kwa kila kitu, mbunge analipwa 10,012.89 Euro kwa mwezi na Kanzela analipwa 351,552 Euro kwa mwaka ambayo ni sawa na29,296€ kwa mwezi. Hawa wote wanalipa nyumba kwa Pesa Zao, gari wanayotupia wanapewa leasing, maana yake wanakatwa kila mwezi kwenye mishahara yaoNchi nyingi ipo hivyo,
Relax.
Kwa namna hii ndo maana viongozi wengi hawataki kutoka madalakaniUnakaaga bank tu hadi muda wa kulipa ada😂
Sio rahisi😂 yani wataendelea kurithishana viti mpaka tupate akiliKwa namna hii ndo maana viongozi wengi hawataki kutoka madalakani
Na wewe kipofu unaeoneshwa njia unataka ule sawa na anayekuongoza?Lakini kuongoza ni kuonyesha njia...
Ada za kusoma watoto nje ya nchi, kujenga mahekalu, kuwa miradi mikubwa, kuhonga nk.Sasa mshahara wao wantumia kwenye nini?
Kumbuka alichofanya Kingwangala alipokuwa Waziri wa Afya, alifika ofisini alfajiri na kuwazuia getini wale wote waliofika baada ya saa 1:30Kwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Stahiki za viongozi.Sema hivi hao viongozi ni wengi Sana kiasi kwamba imegeuka ni mzigo kwa walipa Kodi.Kwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why double standards?
Ofisi inapewaje nyumba ya kuishi au gari?Mkuu; Hayo uliyotaja Inapewa OFISI sio mtu. Huyo mtu akiondoka (kwa Uhamisho, Kustaafu, Kifo n.k.) Vinabaki Ofisini na kazi inaendelea.
Wanatamba navyo tu lakini sio vyao.
Aisee Kuna watu Wana Maisha mtelemkoAda za kusoma watoto nje ya nchi, kujenga mahekalu, kuwa miradi mikubwa, kuhonga nk.