Kwanini viongozi wa Afrika wakiwa na mkutano Afrika hutuma wawakilishi, ila wakiwa na mkutano Ulaya na America huende wenyewe?

Kwanini viongozi wa Afrika wakiwa na mkutano Afrika hutuma wawakilishi, ila wakiwa na mkutano Ulaya na America huende wenyewe?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Viongozi wa Afrika ni wagumu sana kutembeleana wenyewe kwa wenyewe. Most of time matukio au mikutano inayolenga kuwakutanisha pamoja hapa Afrika utakuwa wapo marais wachache sana, badala yake wengi utuma wawakilishi.

Wakialikwa ULaya au America na baadhi ya nchi za Asia, ni mara chache uone wawakilishi. Wanakwenda in-person tena sometimes kablA hata ya siku ya kikao.

Je, hizi zinaweza kuwa sababu za vikao vyao vingi kukosa utekelezaji wa maazimio wanayoweka? Au wanaamini huku Afrika hakuna maeneo mazuri ya kutembelea baada ya mkutano?
 
Na hii ndo inasabisha umoja wa kiafrica kama AU,ECOWAS,SADC kuwa butu kama mbwa koko.hatujawahi kuwa serious.
 
Kwasababu wanakuwa bado wako Africa na Africa yote inafanana tu.

Shopping utafanya wapi?, Wazungu utakutana nao wapi sasa, nk
 
Back
Top Bottom