Kwanini viongozi wa chadema hawajudhurii mashindano ya Qur'an?

Kwanini viongozi wa chadema hawajudhurii mashindano ya Qur'an?

Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma

Mkuu kwani Lisu na Heche ni chama cha siasa???

Hata hivyo kuhudhuria kwenye jambo lolote huendana na mualiko.

Mkuu una uhakika kuwa, huwa wakialikwa huwa hawaendi???
 
To you and your level of intellect it may not be special but think of social interaction
Samia has been to churches and it's gatherings several times for your information and she is a Muslim and Mbowe has previously been to Islamic functions like Iftar.
Just tell me briefly the importance of that competition, ok! Am not a muslim. And why Chadema and Lissu had to attend!
 
Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
Mashindano ya kukariri Aya!! Sasa si ni sawa tu na kwenda kushiriki mashindano ya Kwaya ya Matakatifu Cecilia?
 
Nilitaka nipost kukuuliza hivi allah ameshindwa kuihifadhi hiyo quran mpaka nyie binadamu mshindane kuihifadhi? Halafu nikukaribishe tule kitimoto.

Au basi nimeghairi kupost maana huna majibu,hii kitimoto naila peke angu.
Yakiandaliwa mashindano ya Kitimoto nitakwenda make najua walau nitashiba!! Hayo mashindano ya lugha ya DP World siyataki
 
Nilitaka nipost kukuuliza hivi allah ameshindwa kuihifadhi hiyo quran mpaka nyie binadamu mshindane kuihifadhi? Halafu nikukaribishe tule kitimoto.

Au basi nimeghairi kupost maana huna majibu,hii kitimoto naila peke angu.
Hii Haina mafuta kabisa inapaswa kuwa na ka ugali kidogo salad pamoja na parachichi
 
Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
Sasa kwani lazima wao wahudhurie?
Wao kama nani?
 
Back
Top Bottom