Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
🤣 🤣 🤣 🔊Endeleeni kuwaita waislamu wajinga,mkikosa kura zao na mkashindwa,mtajidanganya kwa ujinga wenu,na kusema mumeibiwa,kura.
Just tell me briefly the importance of that competition, ok! Am not a muslim. And why Chadema and Lissu had to attend!To you and your level of intellect it may not be special but think of social interaction
Samia has been to churches and it's gatherings several times for your information and she is a Muslim and Mbowe has previously been to Islamic functions like Iftar.
Akili mgandoKutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
Mdee anasema yeye bado ni mwenyekiti BAWACHA, na barua atamuandikia msajiliAkili mgando
Mashindano ya kukariri Aya!! Sasa si ni sawa tu na kwenda kushiriki mashindano ya Kwaya ya Matakatifu Cecilia?Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
Yakiandaliwa mashindano ya Kitimoto nitakwenda make najua walau nitashiba!! Hayo mashindano ya lugha ya DP World siyatakiNilitaka nipost kukuuliza hivi allah ameshindwa kuihifadhi hiyo quran mpaka nyie binadamu mshindane kuihifadhi? Halafu nikukaribishe tule kitimoto.
Au basi nimeghairi kupost maana huna majibu,hii kitimoto naila peke angu.
Hii Haina mafuta kabisa inapaswa kuwa na ka ugali kidogo salad pamoja na parachichiNilitaka nipost kukuuliza hivi allah ameshindwa kuihifadhi hiyo quran mpaka nyie binadamu mshindane kuihifadhi? Halafu nikukaribishe tule kitimoto.
Au basi nimeghairi kupost maana huna majibu,hii kitimoto naila peke angu.
Sasa kwani lazima wao wahudhurie?Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma
Walialikwa waka kataa?Kutwa naona makanisani. Sijawahi kuwaona wakishiriki uwanja wa taifa ktk mashindano au sherehe za waislam. Sio lissu, sio Heche tofauti na ccm, act na chauma