Kwanini viongozi wa CHADEMA wako karibu mataifa yanayounga mkono uonevu?

Kwanini viongozi wa CHADEMA wako karibu mataifa yanayounga mkono uonevu?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Wengine wanasema kwamba akiwa anatoka katika ubalozi huo, huwa anatoka na ka mkoba au kiroba, labda ni cha hela, na kwa sasa hivi, labda za kufadhili (vurugu? ) wakati wa uchaguzi wa mitaa.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Hoteli ya Sugu(Desderia-Mbeya). Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kuwapeleka wanachadema wa nchi nzima mkoa ni Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha. Na vigogo wa CDM "wakaziminya" Hela zilizobaki.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Screenshot_20241019-100004.jpg
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Wewe mbona uko karibu na waliomuua Ally Kibao?
 
Sugu ni alama ya nguvu na mamlaka. Huwezi kuwa na urafiki na balozi kama wewe ni dhaifu.

Sugu ni next level achana naye kabisa.
Hata Saddam Hussein na Osama Bin Laden walikuwa kipenzi cha Marekani
 
Ubalozi wa marekani wapo hapa nchini kwa sababu wameruhusiwa na serikali inayoongozwa na chama cha.
Marekani ndiyo alifanikisha kumuua Patrice Lumumba
 
Wewe mbona uko karibu na waliomuua Ally Kibao?
Marekani ndio ilifanikisha mauaji ya Patrice Lumumba, achana na kibao ambaye mlikuwa mnagombea wanawake huko kwenye chama chenu
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Duniani mkono mtupu haulambwi, hata Yanga na Simba zinajiegemeza kwa matajiri
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


ni tamaa tu za kuwa vibaraka wa mabwenyenye..

hata hivyo,
muda muafaka itajulikana tu ni siasa tu au kuna mambo ya ziada hutendeka baina ya hawa wangwana katika faragha zao. Sifahamu itakua fedheha au faraja 🐒
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.


Vibaraka hutengenezwa ili watumike kama wenyewe wanavyowaita "ASSETS"
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu



Mbona serikali inakula, kunywa na kuogelea kwenye misaada yao
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Tu-deal na Polisi, CCM na uongozi mzima wanavyoua, kuteka na kupoteza rain hata kama wanamekiuka sheria na taratibu kwani hukumu hutolewa na mahakama, charity begins at home.
Mambo ya Middle East yatukoseshe usingizi wakati home ground kunanuka damu na mi-CCM inachekelea tu, tu-deal wa wauaji wa ndani ya TZ kabla ya kuleta unafiki wa kujifanya tuna uchungu na watu wasiotuhusu kivile huku tukikosa kuwa na uchungu na Watanzania wenzetu regardless their political affiliations.
 
Tu-deal na Polisi, CCM na uongozi mzima wanavyoua, kuteka na kupoteza rain hata kama wanamekiuka sheria na taratibu kwani hukumu hutolewa na mahakama, charity begins at home.
Mambo ya Middle East yatukoseshe usingizi wakati home ground kunanuka damu na mi-CCM inachekelea tu, tu-deal wa wauaji wa ndani ya TZ kabla ya kuleta unafiki wa kujifanya tuna uchungu na watu wasiotuhusu kivile huku tukikosa kuwa na uchungu na Watanzania wenzetu regardless their political affiliations.
Nchi iko salama, tunahoji kwa nini chadema wanakula na kulala kwa nchi ambayo inafanya dunia ni chujio la damu, jalala la vichwa na miili ya wajane na watoto waliokatwa katwa na mabomu yao
 
Back
Top Bottom