Kwanini viongozi wa CHADEMA wako karibu mataifa yanayounga mkono uonevu?

Kwanini viongozi wa CHADEMA wako karibu mataifa yanayounga mkono uonevu?

Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au kwa kiingereza, agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Sugu. Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kupeleka wanachadema Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Use your brain WTF!!
Pumbafu unatumia hadi picha za watu unachafua watu kwa upuuzi wa ubongo wako ulosinyaa!!
A real man will not do such a sht!!! You must be a Diddy ambassador...
 
Jambo lolote likifanywa na ccm ni jema kwa wana ccm,hata liwe la kipuuzi!
 
Sugu trained as CIA agent so long hata serkali inajua ndio chanzo cha utajiri wake na kujiamini ndio maana jmp aliwashuglikia wakamshuglikia

USSR
 
Ukaribu wa Sugu na balozi wa Marekani ni wa kiwango cha "infomer" au agent wa taifa hilo. Kila chadema wakipanga tukio, huwa linatanguliwa na balozi wa Marekani na Sugu kukutana. Possibly Sugu pia ni carrier anayelink chadema na ubalozi huo.

Wengine wanasema kwamba akiwa anatoka katika ubalozi huo, huwa anatoka na ka mkoba au kiroba, labda ni cha hela, na kwa sasa hivi, labda za kufadhili (vurugu? ) wakati wa uchaguzi wa mitaa.

Tuliona maandamano haramu ya mbeya, yalitanguliwa na balozi kulala kwenye majengo ya Hoteli ya Sugu(Desderia-Mbeya). Sasa sijui alipeleka hela ambazo zilitumika kukodi Costa za kuwapeleka wanachadema wa nchi nzima mkoa ni Mbeya na kuwalipa posho za safari. Wazee wa kitengo "wakausoma" Mchezo, wakawachekecha. Na vigogo wa CDM "wakaziminya" Hela zilizobaki.

Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.

Hivi taifa hilo linalofadhili mauaji dunia nzima ndio lilienda kupiga yowe na kumsalimia Sugu "aliyepapaswa" tu na polisi wakati wakimsihi asivuruge amani. Hivi kwa kiwango cha mauaji yanayofanywa na Marekani, urafiki wao na chadema unatokana na nini?.ndio hii chadema kweli? Chadema wanpata wapi moral authority kukemea mauaji wakati mchana na usiku wanakula na kunywa na muuaji wa mamia ya mamilioni ya wanadamu


Ungana na Mkubwa uwe mkubwa,unataka uungane na Palestina uumie
 
Use your brain WTF!!
Pumbafu unatumia hadi picha za watu unachafua watu kwa upuuzi wa ubongo wako ulosinyaa!!
A real man will not do such a sht!!! You must be a Diddy ambassador...
Diddy anatoka kwa balozi, mbona unaingilia uhuru wa maoni?
 
Sugu trained as CIA agent so long hata serkali inajua ndio chanzo cha utajiri wake na kujiamini ndio maana jmp aliwashuglikia wakamshuglikia

USSR
I verily believe
 
Chadema walitarajiwa waunge mkono mataifa kama Palestine na Lebanon. Kinyume chake, chama hicho kiko mezani kinakula na chinja chinja wa dunia. Taifa linalouza mabomu ya kilo 800 kuua watoto wachanga huko Lebanon na Gaza.
Kwani kuna siku serikali ya CCM imeilaani Israeli yenyewe, na USA kutoa silaha kwa Israel katika kuwaua Wapalestina? Au Germany? Na vipi mauaji yanayofanywa na Urusi huko Ukraine, Morocco dhidi ya Sahara Maghalibi, Museveni dhidi ya wapinzani nk?

Vitu kama hivi Nyerere hakumung'unya maneno. Alisema waziwazi tunalaani, bila kujali kama vilifanywa na watu aliowaona ni rafiki zake. CCM wana ubavu wa kumwambia Museveni anakiuka haki za wapinzani? Na wataanzia wapi ikiwa CCM wenyewe nao wanakiuka?

Bata akifanya ni sawa, ila kuku akifanya ni tatizo, sivyo?
 
Back
Top Bottom