Bapalidako
Member
- Aug 6, 2024
- 79
- 166
Naamini hawa Viongozi wa CHADEMA ni waumini, tena asilimia kubwa ni wakristo kwa nini Viongozi wa Dini wamekaa kimya au wanaona walichofanyiwa walistairi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congonis very different na tz, ninachojus huwa wanachukua muda kuongea, ila wataongeaKule kongo walisababisha mamilioni ya watu kuuwawa
Nadhani kosa wanalo hao Viingozi wa CHADEMA pamoja na Wapinzani wengine. Hivi ni kwa nini hao Wapinzani nao wasijiandalie "mechanism" ya wao kuweza kujitetea na kujihami na hizo dhuluma au hujuma ambazo wamekuwa wakifanyiwa na Jeshi la Polisi au Watawala waliopo???Wanasubiri nini kufanya hivyo???Naamini hawa Viongozi wa CHADEMA ni waumini, tena asilimia kubwa ni wakristo kwa nini Viongozi wa Dini wamekaa kimya au wanaona walichofanyiwa walistairi?
Hakuna viongozi wa dini kuna wajasilia dini. Ni takataka tupu zinakula kwa mgongo wa Mungu who does not exist anyway!Naamini hawa Viongozi wa CHADEMA ni waumini, tena asilimia kubwa ni wakristo kwa nini Viongozi wa Dini wamekaa kimya au wanaona walichofanyiwa walistairi?
Ni kweli kabisa. Haiwezekani kila mwaka kulia lia tu, walitakiwa wawe wameshaandaa utaratibu binafsi wa kujilinda. Miaka yote utasikia mara tumehujumiwa uchaguzi, lakini hakuna hatua kali wanazochukua ili kukomesha kabisa ujinga wanaofanyiwa.Nadhani kosa wanalo hao Viingozi wa CHADEMA pamoja na Wapinzani wengine. Hivi ni kwa nini hao Wapinzani nao wasijiandalie "mechanism" ya wao kuweza kujitetea na kujihami na hizo dhuluma au hujuma ambazo wamekuwa wakifanyiwa na Jeshi la Polisi au Watawala waliopo???Wanasubiri nini kufanya hivyo???
Noma sana hizi dini ni kwa ajili ya kukusanyacSadaka tuNaamini hawa Viongozi wa CHADEMA ni waumini, tena asilimia kubwa ni wakristo kwa nini Viongozi wa Dini wamekaa kimya au wanaona walichofanyiwa walistairi?