Yaani ukiwasikia mapumba ambao huja hapa kutuambia eti Kenya imemilikiwa na wazungu utadhani kwamba wao wako very independent. Kwanini viongozi nchini kwenyu wamejitokeza kuwatetea hawa mashoga ya kufi.rana? Hehehe. Jana ni Wizara ya mambo ya nje, leo Waziri wa ndani. Yaani kila mtu anababaika tu eti mzungu ametoa barua.
Ila baada ya kusoma article fulani ndio nikajua sababu. Tanzania receives the largest AID per-capita in the whole of sub-saharan Africa. Yaani msaada unaoingia TZ per person ni mwingi kushinda wa taifa lolote lile Africa.
Anyway, hili si la kuwakejeli ndugu zetu, ila ni kuwakumbusha tu msiwe mnaishi kwa bubble eti nyinyi mumejitawala. Viongozi wenyu ni watumwa wa kuonewa huruma. Hata Kenya, Ruto na Raila walipowatusi mashoga, hakuna aliyejitokeza kuwapinga. Ila huko kwenyu? Daah
Ila baada ya kusoma article fulani ndio nikajua sababu. Tanzania receives the largest AID per-capita in the whole of sub-saharan Africa. Yaani msaada unaoingia TZ per person ni mwingi kushinda wa taifa lolote lile Africa.
Anyway, hili si la kuwakejeli ndugu zetu, ila ni kuwakumbusha tu msiwe mnaishi kwa bubble eti nyinyi mumejitawala. Viongozi wenyu ni watumwa wa kuonewa huruma. Hata Kenya, Ruto na Raila walipowatusi mashoga, hakuna aliyejitokeza kuwapinga. Ila huko kwenyu? Daah