Kwanini Viongozi wanamilikisha Kodi za wananchi na mikopo ya nchi Kwa Rais,

Kwanini Viongozi wanamilikisha Kodi za wananchi na mikopo ya nchi Kwa Rais,

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Je mliosomea Sheria mtusaidie, ni Sheria Gani ya nchi inayosema Fedha zinazokusanywa na serikali Kwa niaba ya wananchi ni za Rais, Je kipengele Gani kinachosema Fedha tunazoangaikia kufanya kazi Kila siku na kuilipa Kodi serikali zitakuwa ni Rais.

Haiingii akilini ,kitu pesa yangu nalipia Kodi Kwa ajili ya ustawi wa nchi yangu kumbe serikali inaenda kummilikisha raisi. Namna hii nani atalipa Kodi, kumbe basi msiite Kodi iteni michango ya Rais.

Kuanzia Sasa Kodi na mikopo inayokuja nchini ibadili jina muite michango na mikopo ya raisi. Haiwezekani sisi tutoe Kodi mseme ni Fedha za Rais. Hii Sijawahi kuona katika nchi yoyote dunia hii .
Hata mabeberu Marekani hawana staili hii ya kuwa Fedha za Kodi ni za wananchi

Haya mambo ndo yanaleta ufisadi kwasababu mnasema mtu ni Fedha zake, akiamua kuzichukua akawapa ndugu zake mtamlaumu , hii nchi mbadili Sheria na muandike wazi kuwa hii nchi ni ya Rais na sisi ni wapangaji, pia Fedha zote za hazina na zinazoingia hazina ni Fedha za Rais. Sisi ni vijakazi kutumika na kumchangia Rais, machozi yananitoka
 
Mambo haya haya ya kuita kodi za wananchi pesa za Rais ndo maana ata wafanyabishara wa nchi hii wanakwepa kulipa kodi kwa sababu hakuna siku wala saa kiongozi au viongozi wa nchi wakasimama na kushukuru wananchi Kama vile wafanyakazi,, wafanyabishara,,wakulima kwa uzalendo wao wa kulipa kodi nchi kwa ajili ya maendeleo,, cha kushangaza kila kiongozi akisimama majukwaani,, Bungeni wanampongeza mtu mmoja tu kwamba wanamshukuru Rais kutoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya maendeleo je, nafasi ya wananchi walipa KODI iko Wapi!! Unajua walipa KODI wa nchi wanachukia Sana kauli hizi!!! Ifike wakati wananchi wapongezwe kwa uzalendo wao wa kulipa KODI,,, Sidhani Kama Kuna mtu atakwepa kulipa KODI wakati anathaminiwa!!!!!
 
Pesa zetu wenyewe zinaitwa za rais na rais anachekelea tu.
 
Haya mambo Haya ni njaa na uchu wa madaraka kwa CCM na chief Hangaya. Sasa nasema kodi ni mali ya wananchi si mali ya Rais
 
Je mliosomea Sheria mtusaidie, ni Sheria Gani ya nchi inayosema Fedha zinazokusanywa na serikali Kwa niaba ya wananchi ni za Rais, Je kipengele Gani kinachosema Fedha tunazoangaikia kufanya kazi Kila siku na kuilipa Kodi serikali zitakuwa ni Rais.

Haiingii akilini ,kitu pesa yangu nalipia Kodi Kwa ajili ya ustawi wa nchi yangu kumbe serikali inaenda kummilikisha raisi. Namna hii nani atalipa Kodi, kumbe basi msiite Kodi iteni michango ya Rais.

Kuanzia Sasa Kodi na mikopo inayokuja nchini ibadili jina muite michango na mikopo ya raisi. Haiwezekani sisi tutoe Kodi mseme ni Fedha za Rais. Hii Sijawahi kuona katika nchi yoyote dunia hii .
Hata mabeberu Marekani hawana staili hii ya kuwa Fedha za Kodi ni za wananchi

Haya mambo ndo yanaleta ufisadi kwasababu mnasema mtu ni Fedha zake, akiamua kuzichukua akawapa ndugu zake mtamlaumu , hii nchi mbadili Sheria na muandike wazi kuwa hii nchi ni ya Rais na sisi ni wapangaji, pia Fedha zote za hazina na zinazoingia hazina ni Fedha za Rais. Sisi ni vijakazi kutumika na kumchangia Rais, machozi yananitoka
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Je mliosomea Sheria mtusaidie, ni Sheria Gani ya nchi inayosema Fedha zinazokusanywa na serikali Kwa niaba ya wananchi ni za Rais, Je kipengele Gani kinachosema Fedha tunazoangaikia kufanya kazi Kila siku na kuilipa Kodi serikali zitakuwa ni Rais.

Haiingii akilini ,kitu pesa yangu nalipia Kodi Kwa ajili ya ustawi wa nchi yangu kumbe serikali inaenda kummilikisha raisi. Namna hii nani atalipa Kodi, kumbe basi msiite Kodi iteni michango ya Rais.

Kuanzia Sasa Kodi na mikopo inayokuja nchini ibadili jina muite michango na mikopo ya raisi. Haiwezekani sisi tutoe Kodi mseme ni Fedha za Rais. Hii Sijawahi kuona katika nchi yoyote dunia hii .
Hata mabeberu Marekani hawana staili hii ya kuwa Fedha za Kodi ni za wananchi

Haya mambo ndo yanaleta ufisadi kwasababu mnasema mtu ni Fedha zake, akiamua kuzichukua akawapa ndugu zake mtamlaumu , hii nchi mbadili Sheria na muandike wazi kuwa hii nchi ni ya Rais na sisi ni wapangaji, pia Fedha zote za hazina na zinazoingia hazina ni Fedha za Rais. Sisi ni vijakazi kutumika na kumchangia Rais, machozi yananitoka
Ni kwa sababu Wananchi wenyewe wamezubaa
 
Back
Top Bottom