Kwanini viongozi wengi wanapowekwa rumande/gerezani au kuitwa kwenye kamati ya masdili hupenda kubeba vitabu?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hivi huko gerezani au mahabusu kuna V.I.P?
Ili mtu aweze kusoma kitabu ni lazima akae sehemu ambayo ni comfortable,

Kwanini viongozi wetu wanapopata majanga hupenda kubeba vitabu mfano wanapoelekea mahakamani au kwenye kamati ya maadili ,

Mwenye majibu atusaidie
 
Kuna mchiz wangu niliendaga mtembelea mahabusu, kitu alichokua anasisitiza ni kuletewa vitabu. Vitabu vinanguvu kubwa mno ambayo wazungu walishaigundua toka mwanzo ila sisi hadi tuwe kwenye hali kama hiyo ndo tunagundua. Africans tutabaki kuwa Africans
 
Vitabu vinabeba contents nyingi, na tofauti tofauti! Vingine ni kwa ajili kumpa mtu matumaini na faraja anapopitia wakati mgumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…