Kwanini Vitabu vya zamani vina maudhui ya kitoto sana?

Kwanini Vitabu vya zamani vina maudhui ya kitoto sana?

Nirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!

Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?

Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
Kwani na wewe ni mtoto? Vile viliandikwa kwa ajili ya watoto Mkuu. Ni sawa na mtu mzima kuangalia vikaragosi vya Tom na Jerry. Sasa sisi wahenga huwa tunavisifia kwa sababu vinatukumbusha utotoni.
 
Ni wazi sio mdau wa fasihi hivyo sio makosa yako umeshindwa kuchambua maudhui
Nirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!

Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?

Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
Wac
 
Nirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!

Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?

Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
Mkuu,

Achana na hivyo, mimi nimerudia kusoma vitabu vya Willy Gamba nikaviona vimepwaya sana. Viko so predictable and formulaic, so implausible.

Ile ilikuwa ni enzi ya kabla ya internet, kabla ya TV, kabla ya watu wengi kujua Kiingereza na kusoma vitabu vingi zaidi.

Na vike vitabu ni fables zikizotafsiriwa, vilikusudiwa kwa watoto na watu wa simple societies.

Sasa hivi hata ukimsoma Shaaban Robert utaona kaandika kama mtu wa karne nyingi zilizopita, wakati hata miaka 100 haijafika.

Dunia yetu ilikuwa so slow, na kwa upande mwingine mpaka leo iko that slow vijijini huko.
 
Back
Top Bottom