mgendege
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 322
- 388
Pole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu.
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg.
Cement ndo usiseme elfu kumi na nane na kuendelea. Sabuni mche family 1,200tsh na huku hela ni Kilimo mahindi, karanga, maharage.
Bei za mazao ziko chini hazipandi mfano mahindi debe 7,300 toka mwaka Jana ndo yamepanda sasa msimu wa kupanda Bei ya mbolea iko juu na mbegu. Mwenye kununua mzao lazima uwe na mashine za TRA,
Vipi huko kwenu Hali Ipo Kama huku?
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg.
Cement ndo usiseme elfu kumi na nane na kuendelea. Sabuni mche family 1,200tsh na huku hela ni Kilimo mahindi, karanga, maharage.
Bei za mazao ziko chini hazipandi mfano mahindi debe 7,300 toka mwaka Jana ndo yamepanda sasa msimu wa kupanda Bei ya mbolea iko juu na mbegu. Mwenye kununua mzao lazima uwe na mashine za TRA,
Vipi huko kwenu Hali Ipo Kama huku?