VVD Alison Becker na Salah wameshinda taji moja tu msimu uliopita,wameshinda UEFA Champions League wakiwa na klabu ya Liverpool.
Bernardo Silva ameshinda mataji yafuatayo akiwa na Man City pamoja na timu ya taifa ya Ureno:
1) F.A Cup
2) Carabao Cup
3) Ngao ya Hisani
4) EPL
5) European Nations League. Kombe hili ameshinda akiwa na timu ya taifa ya Ureno,pia yeye ndio mchezaji bora wa mashindano.
Kwahiyo Bernardo Silva amekuwa na msimu wenye mafanikio akiwa na klabu pamoja na timu ya taifa.
Naomba kuuliza,sababu zipi zinawafanya VVD,Alison Becker na Salah kupewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon D'or?
Kwanini Bernardo Silva azungumziwi kabisa?
Bernardo Silva ameshinda mataji yafuatayo akiwa na Man City pamoja na timu ya taifa ya Ureno:
1) F.A Cup
2) Carabao Cup
3) Ngao ya Hisani
4) EPL
5) European Nations League. Kombe hili ameshinda akiwa na timu ya taifa ya Ureno,pia yeye ndio mchezaji bora wa mashindano.
Kwahiyo Bernardo Silva amekuwa na msimu wenye mafanikio akiwa na klabu pamoja na timu ya taifa.
Naomba kuuliza,sababu zipi zinawafanya VVD,Alison Becker na Salah kupewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon D'or?
Kwanini Bernardo Silva azungumziwi kabisa?