Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafika Arusha mkuu , kwahiyo sina cha kusema .Ww unaonaje mkuu
Arusha mjini na arumeru kidogo viwanja ni bei nje ya hapo nimambuga na mapori na mashamba unaweza pata ata plot kwa lakiMji wa arushaa viwanja kwasasa vimepanda bei sanaa.. Hasa maeneo ya kiseriani na moshono loswirai.. Vipi ndugu zetu wa mkonoo kuna shida gani bei za viwanja zipo chini sana na maendeleo yako down sana shida nini maeneo hayo.... Nawasilisha
Rudi tena,Hata hayo mapori hupati bei cheeArusha mjini na arumeru kidogo viwanja ni bei nje ya hapo nimambuga na mapori na mashamba unaweza pata ata plot kwa laki
Kwetu kijijin nilipojenga kibosho ukipata heka kwa milion 80 ukashukuruMji wa Arusha viwanja kwasasa vimepanda bei sana hasa maeneo ya Kiseriani na Moshono, Loswirai. Vipi ndugu zetu wa mkonoo kuna shida gani bei za viwanja zipo chini sana na maendeleo yako down sana shida nini maeneo hayo?
Nawasilisha