Kwanini Waafrica wengi waliokua brainwashed wanaamini Kupunguza Idadi ya watu ndio suluhisho la umasikini??

Kwanini Waafrica wengi waliokua brainwashed wanaamini Kupunguza Idadi ya watu ndio suluhisho la umasikini??

Wingi ama uchache wa watu si kigezo cha umasikini ama utajiri, bali uwezo wa akili ndo huleta utajiri ama umasikini,Umasikini husababishwa na matumizi ya akili ndogo.Mfano kuna watu wana mtoto mmoja hawawezi kumlea lakini kuna watu wana watoto kumi wanawalea vizuri na level ya taifa ni hivohivo.
 
Wingi ama uchache wa watu si kigezo cha umasikini ama utajiri, bali uwezo wa akili ndo huleta utajiri ama umasikini,Umasikini husababishwa na matumizi ya akili ndogo.Mfano kuna watu wana mtoto mmoja hawawezi kumlea lakini kuna watu wana watoto kumi wanawalea vizuri na level ya taifa ni hivohivo.

Sasa utapataje vipaji na talent kwenye population kubwa au utapataje productivity kwene population ndogo!!
Ebu niambie kama kuna siku Mauritius wanaweza wakawazidi GDP Nigeria???

Au rwanda ikaizidi GDP Tanzania

Yaan wao watacheza na hizo kumi kumi sisi tunayoyoma kwenye mia moja naaa
 
GDP inatengenezwa na watu kwa kuwepo kwa Labour force,,,
Watu wakiwa wachache GDP inakuwa kubwa ambapo inasaidia huduma za jamii kuwa nzuri sana. Mfano Luxembourg usafiri wa umma ni bure(1). Ukiangalia GDP ya Luxembourg na idadi ya wananchi wake unapata jibu kamili jinsi nchi yao ilivyo. India ina uchumi mzuri lakini ina watu wengi sana, hii imepelekea huduma zao za jamii kuwa mbaya sana mpaka wahindi wanakimbilia Ulaya na Marekani. Kila mtu akibeba majukumu yake katika familia yake nchi itafika sehemu nzuri sana. Unakuta huku tanzania mtu anamweka binti Mimba wakati kula yake mwenyewe ni ya tabu. Inabidi tuamke watanzania.

(1) Does free public transport make people drive less?.
 
Watu wakiwa wachache GDP inakuwa kubwa ambapo inasaidia huduma za jamii kuwa nzuri sana. Mfano Luxembourg usafiri wa umma ni bure(1). Ukiangalia GDP ya Luxembourg na idadi ya wananchi wake unapata jibu kamili jinsi nchi yao ilivyo. India ina uchumi mzuri lakini ina watu wengi sana, hii imepelekea huduma zao za jamii kuwa mbaya sana mpaka wahindi wanakimbilia Ulaya na Marekani. Kila mtu akibeba majukumu yake katika familia yake nchi itafika sehemu nzuri sana. Unakuta huku tanzania mtu anamweka binti Mimba wakati kula yake mwenyewe ni ya tabu. Inabidi tuamke watanzania.

(1) Does free public transport make people drive less?.

Mkuu unaongelea GDP gan kuna nominal na growth
 
Ngoja waje falasha shauri zako

Kuna mkenya alilalamika na kusema baada ya miaka 30 wasomali wataitawala Kenya kwa nguvu watakazokua nazo kifedha na kuelimu pia ingawa nao ni wakenya

Akasema wakenya wanaambiwa na wanasiasa wasizae sana watakosa chakula cha kuwalisha, huku wasomali wanazaana kumi kumi
Hoja yako ina ukweli isikilizwe
Uingereza inatawaliwa na wahindi...Marekani kuna mhindi anataka kugombea uraisi kupitia Republicans...wazungu weupe hawataki foreigners lakini hawana jinsi sababu nchi zao zina uhaba wa wafanyakazi hasa kwenye kazi za vibarua yaani zile blue colar jobs.

Wachina wameshtuka na sasa wanahimiza watu kuzaa....
 
Uingereza inatawaliwa na wahindi...Marekani kuna mhindi anataka kugombea uraisi kupitia Republicans...wazungu weupe hawataki foreigners lakini hawana jinsi sababu nchi zao zina uhaba wa wafanyakazi hasa kwenye kazi za vibarua yaani zile blue colar jobs.

Wachina wameshtuka na sasa wanahimiza watu kuzaa....
Uingereza ukiwa na Elimu yako haijalishi wewe ni wa njano au mweusi, Bank zimeshikwa na wadosi, na sasa wameingia sana kwenye Siasa
Biashara wao tangu zamani na ndio wa kwanza kufungua maduka siku 7

Tajiri wa kwanza 🇬🇧 ni mhindi na wapo kibao wenye hela
Kuzaa sana bila kuzalisha hela na kuwa na maendeleo hakuna faida mkuu
Ila wazungu wanafaidika na Kodi na ukikwepa utafilisiwa na kampuni itakufa
Kwa hili la kodi serikali iko serious sana
 
Nitajie nchi mmoja ambayo ni super power yenye watu wachache?? Nchi itoke kwene top 20 za nchi zenye watu wachache??

Nitajie nchi moja yenye nguvu zaidi kijeshi yenye watu wachache??
Nitajie nchi yenye ushawishi mkubwa yenye watu wachache??


NB:Idadi ya watu Inauhusiano na Maendeleo na Kuwa taifa kubwa duniani

Zaeni zaeni zaeni ila muweze kuwalisha na kuwahudumia

Akili mtu wangu,nchi inatakiwa iwe na wenye akili wengi kuliko kuwa na wajinga wengi,UK ilitawala dunia nzima niambie population yake ilikuaje?
 
Nitajie nchi mmoja ambayo ni super power yenye watu wachache?? Nchi itoke kwene top 20 za nchi zenye watu wachache??

Nitajie nchi moja yenye nguvu zaidi kijeshi yenye watu wachache??
Nitajie nchi yenye ushawishi mkubwa yenye watu wachache??


NB:Idadi ya watu Inauhusiano na Maendeleo na Kuwa taifa kubwa duniani

Zaeni zaeni zaeni ila muweze kuwalisha na kuwahudumia

Unajuaje wamekuwa brainwashed na hawajasema hivyo kwa kuelewa mambo?

Hii hoja yako ina logical fallacy inayoitwa non sequitur. Umeunganisha mambo yasiyo na muungano wa moja kwa moja.

Logic yake ni sawa na hii hapa chini.

1. Rais wa Tanzania ni mwanamke Mzanzibari. Hii ni fact inayojulikana.

2. Fatma Karume ni mwanamke Mzanzibari. Hii ni fact inayojulikana.

3. Hivyo, kwa vile rais wa Tanzania ni mwanamke Mzanzibari, na Fatma Karume ni mwanamke Mzanzibari, basi, Fatma Karume ni rais wa Tanzania.

Umefanya logical non sequitur hiyo hiyo.

1. Kuna nchi zina watu wengi.

2. Kuna nchi tajiri zenye watu wengi.

3. Hivyo, ili tuwe tajiri, tuongeze watu.

Hujaangalia factors nyingi sana, kama vile, kuna nchi zenye watu wengi ambazo si tajiri, kuna nchi zenye watu wachache tajiri, hujaangalia uwezo wa nchi kutumia watu wake, hujaangalia population and resources, technology etc.

Hujaangalla "correlation is not causation".

Hujaangalia economic sustainability.

Hujaangalia the probkem of induction. Inawezekana katika dunia ambayo hizo nchi zikiendelea, dunia ya ujima na mercantilism, ilikuwa kweli ukiongeza watu unaongeza ufanisi wa uchumi, lakini je, kika kilichokuwa kweli jana ni lazima kiwe kweli leo?

Katika dunia ambayo ardhi na resources haziongezeki, utaongeza watu mpaka wapi ili usije kuleta madhara?

Kama tatizo lako si watu -watu unao wengi ambao huwatumii vizuri, hawana kazi, au wako underemployed- hujui kutumia hawa watu waliopo na wanaishia kukisa huduma za jamii, elimu na lishe bora, ukiongeza watu bila kujua kuwatumia utataua vipi matatizo yako? Utahakikisha vipi huongezi tatizo?
 
Ni kweli inabidi Africa tuzaane sana, 70% ya ardhi yetu ni misitu - inatakiwa ijae hiyo. Kwa kuanza kampeni Serikali yetu ya TZ ifanye promostion ukipata watoto zaidi ya 3, wale waliozidi wote wanakuwa mali ya Serikali kuanzia kuwasomesha, kuwalisha nk.

Hima himaaa Afiricaa ...
 
Akasema wakenya wanaambiwa na wanasiasa wasizae sana watakosa chakula cha kuwalisha, huku wasomali wanazaana kumi kumi
Hoja yako ina ukweli isikilizwe
Hata ukienda kule uarabuni jamaa wanazalia kama panya, Palestine kwa mfano sehemu yao ni ndogo ila idadi balaa - wingi wao unawapa nguvu katika mambo mengi saana.
 
GDP inatengenezwa na watu kwa kuwepo kwa Labour force,,,
Tumia akili kidogo. Watu wakiwa wengi bila uzalishaji ni umaskini. Anza na mfano wa familia yako. Jaribu kuzaa watoto 10 uone kama utakuwa tajiri au maskini. Hili jambo linahitaji logic ndogo sana lakini watu wengine sijui mlienda shule kufanya nini! Chukuwa hata mfano wa ng'ombe. Mfugaji akiwa na ng'ombe wengi kushinda uwezo wake wa kuwatunza ni majanga. Hivyo kwenye kuzaa akili inatakiwa kutumika .i.e zaa watoto mabo unaweza kuwahudumia.
 
Nitajie nchi mmoja ambayo ni super power yenye watu wachache?? Nchi itoke kwene top 20 za nchi zenye watu wachache??

Nitajie nchi moja yenye nguvu zaidi kijeshi yenye watu wachache??
Nitajie nchi yenye ushawishi mkubwa yenye watu wachache??


NB:Idadi ya watu Inauhusiano na Maendeleo na Kuwa taifa kubwa duniani

Zaeni zaeni zaeni ila muweze kuwalisha na kuwahudumia
Kuna mtu humu aliandika kwamba suala la kupunguza population ni mbinu tu ya wageni ili kupunguza urefu wa muda wa wao kurudi tena Africa, akimaanisha kwamba in years to come black skin inaweza kutokomezwa kabisa, mwingine akasema hivi sasa madawa mengi na bidhaa nyingi zina distort life style ya watu weusi ili kuwapunguza kwa kasi na baadaye wageni ndiyo watakuwa dominants
 
Kuna mtu humu aliandika kwamba suala la kupunguza population ni mbinu tu ya wageni ili kupunguza urefu wa muda wa wao kurudi tena Africa, akimaanisha kwamba in years to come black skin inaweza kutokomezwa kabisa, mwingine akasema hivi sasa madawa mengi na bidhaa nyingi zina distort life style ya watu weusi ili kuwapunguza kwa kasi na baadaye wageni ndiyo watakuwa dominants

Naamini hivo mkuu
 
Tumia akili kidogo. Watu wakiwa wengi bila uzalishaji ni umaskini. Anza na mfano wa familia yako. Jaribu kuzaa watoto 10 uone kama utakuwa tajiri au maskini. Hili jambo linahitaji logic ndogo sana lakini watu wengine sijui mlienda shule kufanya nini! Chukuwa hata mfano wa ng'ombe. Mfugaji akiwa na ng'ombe wengi kushinda uwezo wake wa kuwatunza ni majanga. Hivyo kwenye kuzaa akili inatakiwa kutumika .i.e zaa watoto mabo unaweza kuwahudumia.

kwaiyo hapo uongeze uwezo au upunguze watoto???

marekani ilikua super power si kwa watu milion 2 au tano??

You need atleast 100million to start making some noise!!

Unaweza kutuambia kwann nigeria ni tajiri africa nzima??? ongea kwa mifano basi
 
Back
Top Bottom