Kwanini Waafrica wengi waliokua brainwashed wanaamini Kupunguza Idadi ya watu ndio suluhisho la umasikini??

kwaiyo hapo uongeze uwezo au upunguze watoto???

marekani ilikua super power si kwa watu milion 2 au tano??

You need atleast 100million to start making some noise!!

Unaweza kutuambia kwann nigeria ni tajiri africa nzima??? ongea kwa mifano basi
Ila wanijeria ndio wanaongoza kukimbia nchi yao. Ukienda kule watu wanaoteka watu kwa ajili ya kupata pesa. Ukiona nchi imefika hatua watuwanafanya utekaji kupata hela ujue hali imefikia pabaya. Tusiongee kwa kusoma tu article za internet safiri uone. Zaa kulingana na uwezo wako usizae ukasubiri serikali ikulelee watoto. Kila mtu anapambania ugali wake hakuna mtu atakuja kusolve shida zako. Pambania ugali wako.
 
Rafiki yangu kila mtu anapambania ugali wake hakuna mtu atakuja kukusaidia kulea familia yako. Zaa kadri ya uwezo wako hakuna Serikali ya Afrika inaweza kusomesha na kuwalisha watoto wa wananchi.
 
Mpaka sasa Super power ni mmoja tu duniani, halafu sio kuangalia tu idadi jumla ya watu bali pamoja na "population density na demographic dividend'' pia.
 
Ajifunze kitu kinaitwa demographic dividend
 
Sweden imeizidi Nigeria na Tanzania GDP
 
Shida huku kwetu GDP iko kwa walioko madarakani na wanaweka nje ya nchi. Ndiyo maana wanatuhimiza kuzaa kidogo ili wasipate mzigo kutoa huduma.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
North Korea chini ya Kim Jong Un Jr


Ina watu milion 25 ila ni moto wa kuotea mbali kijeshi Marekani mwenyewe anamgwaya!


Nyie endeleeni kuzaana kama Panya na wanaozaliwa wanakuja kuendesha bodaboda!

Wenzenu wanazaana ila sehemu kubwa ya wanaozaliwa wanakuwa rasilimali kwenye mikakati ya nchi!


Nyie mnazaa wakina Mwijaku, babalevo, Haji Manara ,
 
Shida huku kwetu GDP iko kwa walioko madarakani na wanaweka nje ya nchi. Ndiyo maana wanatuhimiza kuzaa kidogo ili wasipate mzigo kutoa huduma.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Sio kwamba wasipate mzigo wa kutoa huduma angalia nchi zetu ni wasomi wangapi wanaweza kutumia taaluma yao kisawa sawa. Kuna wakugurugenzi wa wilaya hawawezi hata kuchambua Balance sheet na projections. Sasa huyu mtu yupo hapo anafanya nini.Bora muwe wachache smart kama Singapore na Japan.
 
Vijana wamezagaa mtaani hawana kazi na ajira halafu mnashauri watu wazae. Mtazasha vibaka tu. Nchi kama Finland ina watu milioni tano lakini wana maisha bora na ni nchi ya watu wenye furaha. Na wanatupa misaada ya mabilioni.
 
Nakurudia 😂
 
Vijana wamezagaa mtaani hawana kazi na ajira halafu mnashauri watu wazae. Mtazasha vibaka tu. Nchi kama Finland ina watu milioni tano lakini wana maisha bora na ni nchi ya watu wenye furaha. Na wanatupa misaada ya mabilioni.
Ukifunga uzazi ndio ajira zitapatikana!
hawana kazi kwasababu nchi inaongozwa na wajinga! mmeshindwa kulima hata tikit mtengeneze juice ya tikiti kiwanda kinaajiri watu wangap, kilimo kinaajiri watu wangap na wafanyabiashara wa matunda na wauza juice??
 
Nchi hizo zimecreate ajira Ili ziwe land of opportunities sasa mtu Yuko na financial instability alafu aendelee kufyatua watoto nn kitatokea . Cheki nchi kama Australia ilivyopitiaga kipindi kigumu miaka ya themanini watu wakaanza kujiuwa kutokana na mental stress baada ya kupitiwa na redudunce. Waka rephrase a situation now they are good mtu ana miaka ishirini ameoa na ana maisha mazuri, nitafutie bongo mtu wa umri huo kama ana watoto amezalishwa na kutelekezwa watoto wanakuwa chokoraa wa mitaan kwann watu wa hivyo wasijizuie kuzaa? Ad wakati ukiwa sawa .
 
Mkuu hiyo ni poor thinking ! umasikin unasababishwa na poor distribution of wealth!
Sasa mbona bado katika uchache bado ni masikini??
CHINA na inawatu wengi kama bara lote la africa lakin matajir sisi masikini wakat tupo kwene bara lenye ukubwa 10 times ya china
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…