Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Mkuu ungejikita kwenye content.
Kwa nini unaona sijajikita kwenye content?

Content ni nini? Unajuaje huyu kajikita kwenye content na huyu hajajikita kwenye content.
 
Wapiga dili wengi sana pia. Dini pia zimedumaza sana akili zetu
 
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
 
According to Trump tunaendekeza mapenzi
 
Kila mtu akisoma anafikiria kuajiliwa tu huo utajiri utatoka wapi na ukiajiriwa huwezi kuwa tajiri kamwe utaishi kujenga nyumba 1 na kagari kamoja au viwili basi unaistaafu kwishineli
 
waisraeli walikuwa utumwani na waafrica wa misri lakini mbona wamekuwa fresh tuu
 
Big like. Bado kuna tatzo kwny mentality ya waaafrica. Hasa hasa viongozi
 
The only sababu ni nature,na waliosema huwezi kwenda Against the nature hawajakosea ningependa kuzungumzia ngozi nyeusi kwa ujumla nature ina m grade mtu mweusi km inferior race na ngozi nyeupe superior na ndio hali halisi miaka yote mtu mweusi ameshindwa kujitawala na hata kutawala mazingira yake bila kutegemea wazungu,najua kuna watu watabisha lkn ukweli ndio huo najua mtazungumzia wakina Mkwawa and so forth na kuwapamba sana lkn ukifuatilia maamuzi ya kijinga waliyoyafanya unachoka kabisa
Hakuna hata sehemu moja Black wakaweza kujisimamia wenyewe bila kupigana na wakaachivu maendeleo tarajiwa kwasababu nature imewaweka kwenye kizazi cha low IQ
Kama umebahatika kusoma na jamii ya weupe darasani utagundua tofauti iko wapi kwa Black wanatumia nguvu nyingi kuelewa na ku solve vitu vyepesi lkn wenzetu kuelewa kutatua tatizo ni dk 0 na kwa njia rahisi kabisa
 
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
Lipo wazi mbona chunguza kwann ziwani walao samaki na walimapo ndizi kuna wasomi wengi.Ugali upunguza uwezo wa kufikiri.Mabara mengine awali Ugali mahindi ni kwa ajili ya ng'ombe we uoni ng'ombe akili yake ilivyo nzito.Ukiitwa ng'ombe means thinking yako ipo shallow sana
 
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
No, kwasababu development ya mwili kwa ujumla inaishia miaka 23 hapo ndio haukui tena bali unatanuka. kuanzia kuzaliwa unakuwa unakua viungo which also includes healthy brain, ila ukifika 23 unakoma kukua ndio mwisho. kama umevuka hapo basi wewe na wa hivyo hivyo tu maisha yote. hata hivyo, ukila vyakula hivyo vitakusaidia tu kuleta ufanisi na kumbukumbu katika kazi kwa kiwango cha ubongo ulicho nacho, lakini sio kuunda kitu kipya.
 
Mkuu umenena vyema sana. Hata Hashimu Rungwe aliona mbali sama kuweka hili katika ilani yake
sisi tuliokua miaka ileee, nakumbuka kulikuwa na njaa sana, lakini binafsi nimekulia pembezoni mwa mbuga ya wanyama, ndani kwetu tulikuwa tunaweza kukosa unga wa ugali au mchele, lakini nyama za porini zimejaa ndani huko, samaki. kuna kipindi Wamarekani wakaleta unga wao ule wa njano na ulikuwa umeongezewa virutubisho, tulikuwa tunakunywa uji kuanzia shuleni hadi home upo kwa muda mrefu tu. siwezi kusema nimeishi nikila balanced diet, lakini nilichokuwa nikiwa nakula sana ni nyama karibia everyday tena nyama nyingi hadi unaichoka (nyati, swala, nguruwe pori, digidigi, sheshe, nyumbu, etc) na wanyama wote hao wanakula majani hivyo vyote vimejichanganya ndani. asali nyumbani ilikuwa haikosekani pia. Mungu alinisaidia nikakua kwa afya bora sana. nilipokuja kujiunga na shule, amini usiamini, sijawahi kusoma tuition ambazo ninyi watoto wa mjini huwa mnasoma, mimi nilikuwa naenda shule bording, nikirudi ile likizo ya mwezi wa sifa mfano, mwezi mzima nafungia madaftari nitakuja kuyachukua wakati wa kufungua shule (watoto wa mjini huko dsm wanashinda tuition mwezi mzima), ila tukirudi tukifanya mtihani nimekuwa nikiongoza tangu sekondary hadi high school, namba moja, nikishuka sana namba mbili. ninachohitaji mimi sio kusoma sanaaa, ni kuelekezwa kidogo tu nimeshakamata, na akili ipo sharp kupambanua vitu. namshukuru Mungu kwa hilo. naamini ningezaliwa ulaya, ningekuwa mbali sana kwasababu kule kuna opportunity nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa akili, tofauti na hapa bongo.

kutokana na hili, nimejifunza namna ya kulea watoto wangu, bora wakose nguo nzuri ila wale vyakula bora na vya kutosha. protein kwa sana, mboga za majani kwa ajili ya madini, maziwa everyday, samaki, parachichi, ndizi. matokeo yake, kila mkoa ninaohama, nikihamishia watoto wangu kwenye izo shule zenu za kisasa, wanawagombania na hawataki hawame kwasababu wanaamini watatangaza shule yao kwa matokeo mazuri. madogo wanashika namba moja namba mbili, na akishika namba mbili akirudi analia na machozi kabisa haelewi imekuwaje. kuna siku hadi alitaka nimpeleke kwa mwalimu nikamuulize kwanini amemkosesha hesabu moja ikafanya mwenzake amzidi.
 
Nakubaliana na ww mkuu. Vyakula vya asili ni so good kwa akili. Pia ukiachana na darasani lakini pia akili ya kufanya vitu vingine inakuwepo. Me pia nmekulia kijijini. Mama alikuwa anatupikia mboga majani za asili zilizojiotea porini kiasili then anakuja kuchanganya na tetere. Nyama asilimia kubwa ni kuku wa kienyeji na mayai yake na pia mayai ya kware tumekula sana. Pia matunda ya asili ya kijijini ya pori nayo tumekula pia
Cha ajabu ni kuwa family yetu yote ni tulikuwa vizuri darasa na pia familia yetu iko tofauti somehow na familia nyingine pale kijijini.
Lishe jamani lishe!!!!
 
Familia nyingine hapo kijijini kwenu zilikuwa zinakula vyakula vya kisasa??
 
Maarifa yamo kwenye maandiko na vitabu vya kale kama Biblia, Quran etc.

Waafrika hatuna utaratibu na utamaduni wa kusoma, kujisomea, kutafiti na ku-experiment yaliyomo kwenye maandiko ya vitabu hasa vitabu vya kale. Mpaka Kwanza tubadilike tukubali kuwa elimu ni msingi wa mafanikio.
 

kwa mifano hii watu weusi wana akili...lakini kwa uwiano (ratio, percentage etc) Waafrika bado tunasua sua sana.

just imagine how we struggle to tackle covid-19. Je, tunayo mbinu mahiri kupambana na kudhibiti covid-19?
 
waarabu wamejikita sana kusoma quran, imewasaidia nini? kama yasingekuwepo mafuta arabuni wale jamaa wangeshika mkia duniani hapa, kwasababu kwa asili ni wafugaji kama masai na hata majani kulisha mifugo na maji kule kwao hakuna. wangekufa njaa. suala la darasan wao hawalijui ni mambumbumbu balaa hata ukiwa nao class.
 
Asante,,,,naskitika kuskia kwamba ubongo wangu ushakoma kukua. Mwanangu ntahakikisha anakula samaki,mayai kienyeji,parachichi mpaka kieleweke.

By the way,,,mm kwny maisha/kazi/biashara zangu hua napenda sana kutumia akili kuliko nguvu je npendelee vyakula gan ili kujenga afya nzuri ya ubongo/akili.?

To keep it short:
1.N vyakula gan vizuri kwa afya ya akili/ubongo?
2.N vyakula gan vzuri kwa afya ya mwili, Na kuwa na natural soft skin.
Age 24-26
Regards,
 
Mwamba kuhusu kusoma nimeandika level nne
1. Kusoma
2. Kujisomea
3. Kutafiti
4. Ku-experiment

Waarabu wanafanya hizi level nne?

Vile vile kwenye vitabu vya kale kuna etc...bila shaka umenisoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…