Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Wapiga dili wengi sana pia. Dini pia zimedumaza sana akili zetu
 
kwa wale waliowahi kuishi America. ulitakiwa unapojumuisha watu weusi ujumuishe na African Americans. wale jamaa wapo ambao mzungu hata akiwa genius hatii mguu, kina Obama, Kina Condoresa Rise, na wengine wengi, isipokuwa ni wale tu wanaotoka familia yanye kipato, na wengi wao utakuta ni mchanganyiko wa mzungu na mweusi. nimesoma na African Americans, wapo vizuri sana kichwani kwa wale wanaoenda shule na wapambanaji balaa.

kwa utafiti ambao tayari ulishafanywa, ili mtu awe na uwezo wa akili kiwango cha juu pamoja ambavyo pia vinaendana na ustaarabu, ipo determined na aina ya maisha aliyokulia tangu akiwa tumboni mwa mama yake.

kwa kifupi, aina ya vyakula tunavyokula ndivyo vinavyodetermine development ya ubongo. mtoto tangu akiwa tumboni anatakiwa kula vyakula vitakavyoboresha ubongo wake, na vyakula hivyo vingi ni vile vyenye omega3 inayopatikana kwenye ndizi, mafuta ya samaki na parachichi na kiini cha yai. sio hivyo tu, wakati anakua, anatakiwa kula chakula bora, omega3 isipungue pamoja na proteins za kutosha kwasababu ndizo zinamfanya akue.

wakati anaendelea kukua, usimbanie, kila anachotaka kufanya unamchapa, akitaka kucheza michezo fulani unamkataza, etc, kwa watoto wa kibongo, wengi wanalelewa na housegirls na mzazi atamwangalia mtoto akirudi, ukimpatia chakula housegirl anakula chote anampa mauji anashiba, uji usio wa lishe hauna faida na haumfanyi akue wala kudevelop ubongo wake. ubongo ukilishwa vyema kwa vyakula bora ukakua vizuri mtoto IQ inakuwa juu sana.

kwa Africa, wengi tunakula ili tuishi, nilijifunza kitu kimoja, ukiishi na wachina, utajua kuwa wee unakula tu ili uishi lakini hauulishi mwili wako. jamaa wanaweza kula nyama na samaki ambayo wangekula watu wawili, piga maziwa, piga matunda, tandika tandika balaa, na hata akila kidogokidogo anakula mara nyingi. breakfast yao ya ajabu. na vyote hivyo VINATOKANA NA KIPATO, ukiwa na kipato kidogo hautakula vyakula bora na ubongo wako utadorora. wazungu wengi wana uwezo kununua chakula bora kwa watoto everyday na wanawapa nafasi ya kujaribu kufanya mambo mbalimbali, hawachapi watoto na kuwatia hofu kama sisi huku, huku kwetu mtoto anaishi kwa hofu ya kuchapwa tu muda wote na hofu hiyo anakuwa nayo hadi ukubwani. nyumbani, mtaani, shuleni etc anakuwa na hofu tu na kufokewa na kuchapwa hivyo na ubongo wake pia unakuwa hivyohivyo,

vijijini kwetu tulikozaliwa huko unaamka asubuhi unakula viazi au ugali unaenda shamba. kitu pekee utakachofaidika ni mboga za majani ila ugali/viazi ni wanga haujengi mwili, kwahiyo ubongo haulishwi ndio maana vichwa vigumu kuelewa.

tafiti zilifanywa kwenye mikoa ambayo watu wanaishi milimani, uwezo wa kufikiri ni mdogo kwasababu ya weathering ya udogo kwenye mazao wanayolima, madini ya chuma yanachukuliwa na mvua na kupelekwa kwenye mto hadi mabondeni huko, wenyewe kile wanachokilima kule juu hakkina madini ya chuma ambayo pia yanasaidia development ya ubongo. labda kwa siku hizi chumvi wamelazimisha lazima iwekwe madini ya chuma sio kama sisi zamani tulikuwa tunakula ile ya mawe.(wahenga tu wataelewa hapa).

kiujumla, watu weusi kwenye nchu ulizotaja za carrebeans na africa, utaona uchumi wao upo chini sana, hawana kipato cha kuwafanya wale balanced diet, na balanced diet ndio inafanya watu wawe na afya ya akili na ustaarabu.

chukua mfano wa Nigeria, kule kuna vyakula vingi (ni kama tukuyu na bukoba), walipima watu duniani iq, mwaka juzi kuna mtoto mmoja toka nijeria aliibuka kinara. wanachofanya wenzetu wanaiba sana nchi za watu wanatajirika na kurudi kwao. nchini kwao pia kuna matajiri wa kufa mtu kwasababu wanafanya sana kazi, hivyo ukiamua kuchukua sampuli za vipimo, chukua waafrica toka familia mambo safi, waamerica weusi na wanijeria utapata jibu.

on the other side, kuan mambumbumbu ulaya mashariki huo kwenye umasikinini huko, ile former USSR kuna baadhi ya nchi ni maskini kidogo, huko aisee kuna mambumbumbu bora hata waafrica. same applies to Arab countries wale masikini wanajua tu kuswali akili zingine hawana kabisa. tulishe watoto vyakula bora ili wasihangaike baadaye.
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
 
Sorry kwa watakao feel offended

Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.

Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!

Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.

Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.

Jibu kama mtu usie na mihemuko!!
According to Trump tunaendekeza mapenzi
 
Kila mtu akisoma anafikiria kuajiliwa tu huo utajiri utatoka wapi na ukiajiriwa huwezi kuwa tajiri kamwe utaishi kujenga nyumba 1 na kagari kamoja au viwili basi unaistaafu kwishineli
 
Kati ya hizo Race mbili,weusi na weupe,nani alikaa kwenye utumwa kwa miaka 100,ukoloni kwa miaka 100 mingine?hakuna tatizo katika mbongo za weusi,sie na wazungu tupo Sawa,tungekuwa tuna shida vichwani?Patrice Lumumba,Kwameh Nkurumah,Mandela,Nyerere,Luther King,Malcon X,wangetoka wapi?
Je unajua mtu tajiri sana Afrika kusini,anaitwa Patrick Mothepe,Afrika nzima Yupo Alicko Dangote,Je unajua Dokta wa kwanza kufanya operation ya kutenganisha mapacha?alikuwa Bern Carson,mtu mweusi.
waisraeli walikuwa utumwani na waafrica wa misri lakini mbona wamekuwa fresh tuu
 
Kwa hiyo waafrika wana dini ipi inayofanana.?
Mana kila kabila lilikua na dini yake na mila zake.

Na kabla ya dini za leo waafrika walibaguana sana.
Walidhulumiana sana.
Waliibiana sana.Mpaka leo Wafugaji na wakulima hawaelewani . Mpaka leo wafugaji wanaibiana sana.
Wazungu walikua hivyo hivyo kwa karne nyingi lakini waliketi chini na kurafakari juu ya haki wao kwa wao baada ya kutandikana sana.
Waafrika tuna ubinafsi mkubwa sana.

Dini sio tatizo tatizo ni ule ubinafsi tulio nao. Watu wana roho mbaya Mpaka wanatamani waende peke yao huko Mbinguni. Yaani MTU ameshasikia kuwa Mbinguni ni mahali pazuri anaanza kupigania nafasi ya huko kwa kuua wengine wakati hata hajawahi kufika.
Madaraka watu wanauana kuyatafuta kwa ajili ya kupata maisha mazuri.
Kumbuka Alfonce Mawazo aliuawa na makada wa CCM kwa sababu ya Ubunge. Ubunge ungekua hauna chochote watu wasingeua wengine kwa sababu ya Ubunge.

Waafrika karne hii bado wanauana ndugu kwa sababu ya vyama vya siasa ambavyo havina nafsi wala roho. Ni jina tu KANU. MTU unamuua mwenzako au unamfunga gerezani kwa kesi za uongo na kuumiza familia yake kwa sababu ya neno KANU au CCM. Wenzetu walishaondoka kwenye huo ujinga wa imani Kali za kisiasa kwa watawala ndio maana wanawaza maendeleo zaidi.

Dini ni imani na ni asili ya binadam wa kila taifa. Dini zetu hazikujipambanua juu ya kesho ya mwanadam ndio maana hazikuweza kufua dafu mbele ya dini za Mashariki ya Kati.

Warumi na wagiriki na wamisri ni jamii zilizokuwa zimeendelea na kuelimika sana na zilikua na dini zao lakini walizipima dini za mashariki ya Kati na kuzikubali mana zilizungumzia haki.

Huwezi kuendelea kama hauna jamii inayotenda haki.

Haki ni msingi wa maendeleo kwenye jamii.

Ukipita kwenye shule za serikali baada ya Uhuru utaona vichekesho vitupu. Shule imejengwa ina mwaka mmoja ina nyufa kila mahali. Lakini shule iliyojengwa miaka mia moja iliyopita ipo imara. Ina vyoo vya maji ,n.k. Hapo mzungu na mwafrika anajipambanua wazi kuwa mwafrika ana ubinafsi na roho mbaya.
Dini inakatazo hayo yote.

Watawala wanatumia muda mwingi kulimbukiza Mali kwa ajili ya familia zao bila kujali kundi kubwa la waafrika maskini wanaozaliwa na watakaohitaji vitu kama Afya, makazi,elimu na ajira. Ukiwauliza wanakuambia wazungu wanatuibia. Mtu huyo huyo ni kada wa Chama tawala. Alikua meneja wa chama cha ushirika akaiba na kujenga hoteli. Kwa sababu ni mtandao wa kichama ,akaenda akagombea udiwani akawa Meya au Mwenyekiti wa halmashauri ,akawa anashirikiana na Mkurugenzi ambaye ni kada wa chama wakawa wanajipa tenda za kumwaga matope barabarani kwa kutumia kampuni zao za ujenzi wa barabara . Kila Mwaka wanamwaga vifusi na barabara inaharibika mana wamenunua magreda kwa kujua kuwa barabara wataijenga kwa kiwango duni ili kazi ya kuliibia taifa iendelee. Mzunguko unakua hivyo. Diwani anagombea Ubunge anapata kwa sababu ya rushwa na kupendelewa.
Baadae anakua waziri wa Elimu. Anashirikiana na wahindi kuweka mashine za kuchapisha vitabu.
Anabadili mitaala kila mwaka ili auzie serikali vitabu. Matokeo yake wazazi kila mwaka wananunua vitabu mana vya mwaka jana havimsaidii tena mwanafunzi anayeingia darasa hilo. Waziri huyo anasomesha watoto wake nje. Anatumia fedha nyingi kulipoa ada huko ulaya. Fedha za maskini zinapotelea ulaya.
Mtoto wake anamaliza shule ulaya anakuja kuwa Mkurugenzi wa Ewura. Kampuni inayowanyonya waafrika bila kuzalisha chochote.
Tulitegemea afanye kazi huko Ulaya atuibie teknolojia lakini wapi. Anakuja anaandaliwa kuwa mbunge au mkuu wa Wilaya.
Mzunguko wa kundi la watu wanaonufaika na umaskini na elimu duni ya mwafrika linazidi kuwa kubwa.

Wanaonufaika na umaskini na elimu duni ya mwafrika ni watawala wa Wafrika zaidi kuliko wazungu.
Wazungu watabaki kuwa juu kwa sababu ya roho mbaya za waafrika.
Mfano tu miamala kwenye simu. Mzungu amegundua teknolojia ya mawasiliano lakini waafrika wanaitumia kukomoana na kuchaji pesa nyingi kuliko mgunduzi.
Gari Japan ni bei rahisi kuliko kodi wanayokamua waafrika kwa waafrika wenzao.

Dawa zinatoka India kwa bei Rahisi sana. Lakini zikishakanyaga ardhi ya Afrika zinauzwa ghali sana Mara tatu ya bei yake.Asiyeweza kununua afe.
Halafu wanapumbaza watu kwa kusema Mzungu ndiye adui.

Kubadilika ni kuondokana na mawazo ya kijinga ya kumlaumu Mzungu asiyepo kwenye Hazina wala picha ya fedha za mataifa ya Afrika.
Leo Wasomali na Waethiopia wanataka kwenye zao Afrika ya kusini kutafuta maisha ndani ya Afrika lakini wanakamatwa kama wahujumu uchumi na kugungwa na waafrika wenzao.

Mwafrika analima bangi yake kama zao la asili na lina soko ulaya lakini shamba linafyekwa na mwafrika mwenzake.
Unataka Utajiri gani wa asili wakati uliopo kuna sheria kandamizi kila kona na zimewekwa na waafrika wenzetu tuliowapa madaraka wakageuka kuwa wakoloni.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Big like. Bado kuna tatzo kwny mentality ya waaafrica. Hasa hasa viongozi
 
Kiasi fulani upo sahihi kabisa, ila sio kila tatizo letu chanzo ni wazungu , na sisi wenyewe tuna matatizo tu!!miaka zaidi ya 50, toka wametuachia uhuru lakini, mbona matatizo mengi bado ni yale yale tu toka kipindi cha uhuru?!!

Nchi nyingi za ASIA, miaka ya 70's tulikuwa nazo karibu sawa lakini leo hii wako wapi?huyo mchina licha ya viunzi anavyokutana navyo toka kwa wazungu mbona ameweza kuviruka?!!Mfano viongozi wengi wa afrika kubadirisha katiba na kung'ang'ania madarakani eg, M7, kagame, ni wazungu?!!

Wakati makundi ya wanaofaidika nao yanakwambia sisi Afrika tuna demokrasia yetu?!!hadi mwisho wa dunia hatuwezi kujitambua kwa urafi wetu, na ubinafsi tulionao, mfano kinachoendelea huko SA, kiingozi ametuhumiwa kwa kuliibia taifa(hao waandamanaji)sheria inafuata mkondo wake mnaanza kuingiza ukabila, na kujificha kwenye ukabila na kupora mali na uharibufu?

Bi miaka mingapi KABURU, amekaa pembeni licha ya uchumi kuushika yeye, hao wafrika wenzao wamefanya nini hadi leo?!!yaani ukatili tunaofanyiana sisi na viongozi wetu hadi hao wazungu wanaingilia kati!!!

Njaa imekuwa balaa kwa nchi nyingi za kiafrika, kweli tumeshindwa kuweka mikakati ya kuachana na kilimo cha kutegemea mvua?na tatizo wala sio pesa ni vipaumbele tu.SIO KILA TATIZO LETU CHANZO NI WAZUNGU.
The only sababu ni nature,na waliosema huwezi kwenda Against the nature hawajakosea ningependa kuzungumzia ngozi nyeusi kwa ujumla nature ina m grade mtu mweusi km inferior race na ngozi nyeupe superior na ndio hali halisi miaka yote mtu mweusi ameshindwa kujitawala na hata kutawala mazingira yake bila kutegemea wazungu,najua kuna watu watabisha lkn ukweli ndio huo najua mtazungumzia wakina Mkwawa and so forth na kuwapamba sana lkn ukifuatilia maamuzi ya kijinga waliyoyafanya unachoka kabisa
Hakuna hata sehemu moja Black wakaweza kujisimamia wenyewe bila kupigana na wakaachivu maendeleo tarajiwa kwasababu nature imewaweka kwenye kizazi cha low IQ
Kama umebahatika kusoma na jamii ya weupe darasani utagundua tofauti iko wapi kwa Black wanatumia nguvu nyingi kuelewa na ku solve vitu vyepesi lkn wenzetu kuelewa kutatua tatizo ni dk 0 na kwa njia rahisi kabisa
 
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
Lipo wazi mbona chunguza kwann ziwani walao samaki na walimapo ndizi kuna wasomi wengi.Ugali upunguza uwezo wa kufikiri.Mabara mengine awali Ugali mahindi ni kwa ajili ya ng'ombe we uoni ng'ombe akili yake ilivyo nzito.Ukiitwa ng'ombe means thinking yako ipo shallow sana
 
Ahsante umeandika mambo ya maana sana. Nina swali kdogo,,,,,mtu mwenye miaka 24-26 akianza kula kwa wingi hv vyakula vyenye omega3 kuna uwezekano akaongeza thinking capacity yake??
No, kwasababu development ya mwili kwa ujumla inaishia miaka 23 hapo ndio haukui tena bali unatanuka. kuanzia kuzaliwa unakuwa unakua viungo which also includes healthy brain, ila ukifika 23 unakoma kukua ndio mwisho. kama umevuka hapo basi wewe na wa hivyo hivyo tu maisha yote. hata hivyo, ukila vyakula hivyo vitakusaidia tu kuleta ufanisi na kumbukumbu katika kazi kwa kiwango cha ubongo ulicho nacho, lakini sio kuunda kitu kipya.
 
Mkuu umenena vyema sana. Hata Hashimu Rungwe aliona mbali sama kuweka hili katika ilani yake
sisi tuliokua miaka ileee, nakumbuka kulikuwa na njaa sana, lakini binafsi nimekulia pembezoni mwa mbuga ya wanyama, ndani kwetu tulikuwa tunaweza kukosa unga wa ugali au mchele, lakini nyama za porini zimejaa ndani huko, samaki. kuna kipindi Wamarekani wakaleta unga wao ule wa njano na ulikuwa umeongezewa virutubisho, tulikuwa tunakunywa uji kuanzia shuleni hadi home upo kwa muda mrefu tu. siwezi kusema nimeishi nikila balanced diet, lakini nilichokuwa nikiwa nakula sana ni nyama karibia everyday tena nyama nyingi hadi unaichoka (nyati, swala, nguruwe pori, digidigi, sheshe, nyumbu, etc) na wanyama wote hao wanakula majani hivyo vyote vimejichanganya ndani. asali nyumbani ilikuwa haikosekani pia. Mungu alinisaidia nikakua kwa afya bora sana. nilipokuja kujiunga na shule, amini usiamini, sijawahi kusoma tuition ambazo ninyi watoto wa mjini huwa mnasoma, mimi nilikuwa naenda shule bording, nikirudi ile likizo ya mwezi wa sifa mfano, mwezi mzima nafungia madaftari nitakuja kuyachukua wakati wa kufungua shule (watoto wa mjini huko dsm wanashinda tuition mwezi mzima), ila tukirudi tukifanya mtihani nimekuwa nikiongoza tangu sekondary hadi high school, namba moja, nikishuka sana namba mbili. ninachohitaji mimi sio kusoma sanaaa, ni kuelekezwa kidogo tu nimeshakamata, na akili ipo sharp kupambanua vitu. namshukuru Mungu kwa hilo. naamini ningezaliwa ulaya, ningekuwa mbali sana kwasababu kule kuna opportunity nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa akili, tofauti na hapa bongo.

kutokana na hili, nimejifunza namna ya kulea watoto wangu, bora wakose nguo nzuri ila wale vyakula bora na vya kutosha. protein kwa sana, mboga za majani kwa ajili ya madini, maziwa everyday, samaki, parachichi, ndizi. matokeo yake, kila mkoa ninaohama, nikihamishia watoto wangu kwenye izo shule zenu za kisasa, wanawagombania na hawataki hawame kwasababu wanaamini watatangaza shule yao kwa matokeo mazuri. madogo wanashika namba moja namba mbili, na akishika namba mbili akirudi analia na machozi kabisa haelewi imekuwaje. kuna siku hadi alitaka nimpeleke kwa mwalimu nikamuulize kwanini amemkosesha hesabu moja ikafanya mwenzake amzidi.
 
sisi tuliokua miaka ileee, nakumbuka kulikuwa na njaa sana, lakini binafsi nimekulia pembezoni mwa mbuga ya wanyama, ndani kwetu tulikuwa tunaweza kukosa unga wa ugali au mchele, lakini nyama za porini zimejaa ndani huko, samaki. kuna kipindi Wamarekani wakaleta unga wao ule wa njano na ulikuwa umeongezewa virutubisho, tulikuwa tunakunywa uji kuanzia shuleni hadi home upo kwa muda mrefu tu. siwezi kusema nimeishi nikila balanced diet, lakini nilichokuwa nikiwa nakula sana ni nyama karibia everyday tena nyama nyingi hadi unaichoka (nyati, swala, nguruwe pori, digidigi, sheshe, nyumbu, etc) na wanyama wote hao wanakula majani hivyo vyote vimejichanganya ndani. asali nyumbani ilikuwa haikosekani pia. Mungu alinisaidia nikakua kwa afya bora sana. nilipokuja kujiunga na shule, amini usiamini, sijawahi kusoma tuition ambazo ninyi watoto wa mjini huwa mnasoma, mimi nilikuwa naenda shule bording, nikirudi ile likizo ya mwezi wa sifa mfano, mwezi mzima nafungia madaftari nitakuja kuyachukua wakati wa kufungua shule (watoto wa mjini huko dsm wanashinda tuition mwezi mzima), ila tukirudi tukifanya mtihani nimekuwa nikiongoza tangu sekondary hadi high school, namba moja, nikishuka sana namba mbili. ninachohitaji mimi sio kusoma sanaaa, ni kuelekezwa kidogo tu nimeshakamata, na akili ipo sharp kupambanua vitu. namshukuru Mungu kwa hilo. naamini ningezaliwa ulaya, ningekuwa mbali sana kwasababu kule kuna opportunity nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa akili, tofauti na hapa bongo.

kutokana na hili, nimejifunza namna ya kulea watoto wangu, bora wakose nguo nzuri ila wale vyakula bora na vya kutosha. protein kwa sana, mboga za majani kwa ajili ya madini, maziwa everyday, samaki, parachichi, ndizi. matokeo yake, kila mkoa ninaohama, nikihamishia watoto wangu kwenye izo shule zenu za kisasa, wanawagombania na hawataki hawame kwasababu wanaamini watatangaza shule yao kwa matokeo mazuri. madogo wanashika namba moja namba mbili, na akishika namba mbili akirudi analia na machozi kabisa haelewi imekuwaje. kuna siku hadi alitaka nimpeleke kwa mwalimu nikamuulize kwanini amemkosesha hesabu moja ikafanya mwenzake amzidi.
Nakubaliana na ww mkuu. Vyakula vya asili ni so good kwa akili. Pia ukiachana na darasani lakini pia akili ya kufanya vitu vingine inakuwepo. Me pia nmekulia kijijini. Mama alikuwa anatupikia mboga majani za asili zilizojiotea porini kiasili then anakuja kuchanganya na tetere. Nyama asilimia kubwa ni kuku wa kienyeji na mayai yake na pia mayai ya kware tumekula sana. Pia matunda ya asili ya kijijini ya pori nayo tumekula pia
Cha ajabu ni kuwa family yetu yote ni tulikuwa vizuri darasa na pia familia yetu iko tofauti somehow na familia nyingine pale kijijini.
Lishe jamani lishe!!!!
 
Nakubaliana na ww mkuu. Vyakula vya asili ni so good kwa akili. Pia ukiachana na darasani lakini pia akili ya kufanya vitu vingine inakuwepo. Me pia nmekulia kijijini. Mama alikuwa anatupikia mboga majani za asili zilizojiotea porini kiasili then anakuja kuchanganya na tetere. Nyama asilimia kubwa ni kuku wa kienyeji na mayai yake na pia mayai ya kware tumekula sana. Pia matunda ya asili ya kijijini ya pori nayo tumekula pia
Cha ajabu ni kuwa family yetu yote ni tulikuwa vizuri darasa na pia familia yetu iko tofauti somehow na familia nyingine pale kijijini.
Lishe jamani lishe!!!!
Familia nyingine hapo kijijini kwenu zilikuwa zinakula vyakula vya kisasa??
 
Sorry kwa watakao feel offended

Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi
Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas.

Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!!

Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui Africa ya kati ni yale yale na ya Haiti ni yale yale.

Itoe South Africa ambayo waanchi wake weusi hawamiliki asilimia 80 ya uchumi!! Ukiwa umehodhiwa na wazungu.

Jibu kama mtu usie na mihemuko!!
Maarifa yamo kwenye maandiko na vitabu vya kale kama Biblia, Quran etc.

Waafrika hatuna utaratibu na utamaduni wa kusoma, kujisomea, kutafiti na ku-experiment yaliyomo kwenye maandiko ya vitabu hasa vitabu vya kale. Mpaka Kwanza tubadilike tukubali kuwa elimu ni msingi wa mafanikio.
 
Kati ya hizo Race mbili,weusi na weupe,nani alikaa kwenye utumwa kwa miaka 100,ukoloni kwa miaka 100 mingine?hakuna tatizo katika mbongo za weusi,sie na wazungu tupo Sawa,tungekuwa tuna shida vichwani?Patrice Lumumba,Kwameh Nkurumah,Mandela,Nyerere,Luther King,Malcon X,wangetoka wapi?
Je unajua mtu tajiri sana Afrika kusini,anaitwa Patrick Mothepe,Afrika nzima Yupo Alicko Dangote,Je unajua Dokta wa kwanza kufanya operation ya kutenganisha mapacha?alikuwa Bern Carson,mtu mweusi.

kwa mifano hii watu weusi wana akili...lakini kwa uwiano (ratio, percentage etc) Waafrika bado tunasua sua sana.

just imagine how we struggle to tackle covid-19. Je, tunayo mbinu mahiri kupambana na kudhibiti covid-19?
 
Maarifa yamo kwenye maandiko na vitabu vya kale kama Biblia, Quran etc.

Waafrika hatuna utaratibu na utamaduni wa kusoma, kujisomea, kutafiti na ku-experiment yaliyomo kwenye maandiko ya vitabu hasa vitabu vya kale. Mpaka Kwanza tubadilike tukubali kuwa elimu ni msingi wa mafanikio.
waarabu wamejikita sana kusoma quran, imewasaidia nini? kama yasingekuwepo mafuta arabuni wale jamaa wangeshika mkia duniani hapa, kwasababu kwa asili ni wafugaji kama masai na hata majani kulisha mifugo na maji kule kwao hakuna. wangekufa njaa. suala la darasan wao hawalijui ni mambumbumbu balaa hata ukiwa nao class.
 
No, kwasababu development ya mwili kwa ujumla inaishia miaka 23 hapo ndio haukui tena bali unatanuka. kuanzia kuzaliwa unakuwa unakua viungo which also includes healthy brain, ila ukifika 23 unakoma kukua ndio mwisho. kama umevuka hapo basi wewe na wa hivyo hivyo tu maisha yote. hata hivyo, ukila vyakula hivyo vitakusaidia tu kuleta ufanisi na kumbukumbu katika kazi kwa kiwango cha ubongo ulicho nacho, lakini sio kuunda kitu kipya.
Asante,,,,naskitika kuskia kwamba ubongo wangu ushakoma kukua. Mwanangu ntahakikisha anakula samaki,mayai kienyeji,parachichi mpaka kieleweke.

By the way,,,mm kwny maisha/kazi/biashara zangu hua napenda sana kutumia akili kuliko nguvu je npendelee vyakula gan ili kujenga afya nzuri ya ubongo/akili.?

To keep it short:
1.N vyakula gan vizuri kwa afya ya akili/ubongo?
2.N vyakula gan vzuri kwa afya ya mwili, Na kuwa na natural soft skin.
Age 24-26
Regards,
 
waarabu wamejikita sana kusoma quran, imewasaidia nini? kama yasingekuwepo mafuta arabuni wale jamaa wangeshika mkia duniani hapa, kwasababu kwa asili ni wafugaji kama masai na hata majani kulisha mifugo na maji kule kwao hakuna. wangekufa njaa. suala la darasan wao hawalijui ni mambumbumbu balaa hata ukiwa nao class.
Mwamba kuhusu kusoma nimeandika level nne
1. Kusoma
2. Kujisomea
3. Kutafiti
4. Ku-experiment

Waarabu wanafanya hizi level nne?

Vile vile kwenye vitabu vya kale kuna etc...bila shaka umenisoma.
 
Back
Top Bottom