Kwanini waafrika siyo wabaguzi?

Kwanini waafrika siyo wabaguzi?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa siyo Mwarabu watakutenga vivyo hivyo Wazungu.

Mfano inakuwaje Afrika Muhindi, Mzungu au hata Mwarabu anagombea nafasi na anachaguliwa tena kwa kura nyingi wakati hiyo sehemu hakuna watu wa aina yake ni Waafrika watupu?

Msinielewe vibaya najaribu tu kuelewa kwanini sisi siyo Wabaguzi dhidi ya wageni? Jamii nyingine inachukuwa karibia kila jitihada ili uweze kushinda uchaguzi kama wewe uko tofauti nao mfano Obama na wengineo ilipigwa Kampeni ya kufa mtu kumshawishi Mzungu kumpigia kura Obama, na kila sehemu ni hivyo hivyo, lakini Afrika ni tofauti, why?

Wagombea (pichani) Ugavana wa Mombasa Kenya, wote wawili ni Waarabu, mmoja wao kashinda
1661931296687.jpeg
 
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa siyo Mwarabu watakutenga vivyo hivyo Wazungu.

Mfano inakuwaje Afrika Muhindi, Mzungu au hata Mwarabu anagombea nafasi na anachaguliwa tena kwa kura nyingi wakati hiyo sehemu hakuna watu wa aina yake ni Waafrika watupu?

Msinielewe vibaya najaribu tu kuelewa kwa nini sisi siyo Wabaguzi dhidi ya wageni?
Ubaguzi wetu ni mbaya sana maana ni wa wenyewe kwa wenyewe
 
Eti sio wabaguzi nani kakudanga sisi nyoko kwa hiyo kitu cheki tu Mzungu wa Simba alivoandamwa kisa Uzungu wake tu.

Sasa inakuwaje Muhindi, Mwarabu au hata Mzungu anashinda Uchaguzi Afrika? Mfano unafikiri Mwafrika anaweza kugombea Ubunge India au China na akashinda ?
 
Ubaguzi wetu ni mbaya sana maana ni wa wenyewe kwa wenyewe

Hilo nalifhamu na ndicho ninachojaribu kukielewa haswa, kwa maana Wageni wote wanapeta Afrika isipokuwa Waafrika wenyewe wakati culture nyingine ni kinyume chake, …
 
Mwafrika akiwa na uchumi mzuri ndiyo utamjua vizuri.Ni hatari kuliko hatari.

Lakini Waafrika matajiri ndiyo hupenda kuwa karibu na Wazungu au Waarabu kuliko yoyote yule, Mwafrika tajiri hupenda kuwa karibu zaidi na wageni, hivyo bado siyo mbaguzi, …
 
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa siyo Mwarabu watakutenga vivyo hivyo Wazungu.

Mfano inakuwaje Afrika Muhindi, Mzungu au hata Mwarabu anagombea nafasi na anachaguliwa tena kwa kura nyingi wakati hiyo sehemu hakuna watu wa aina yake ni Waafrika watupu?

Msinielewe vibaya najaribu tu kuelewa kwa nini sisi siyo Wabaguzi dhidi ya wageni? Jamii nyingine inachukuwa karibia kila jitihada ili uweze kushinda uchaguzi kama wewe uko tofauti nao mfano Obama na wengineo ilipigwa Kampeni ya kufa mtu kumshawishi Mzungu kumpigia kura Obama, na kila sehemu ni hivyo hivyo, lkn Afrika ni tofauti, why?
UK mbona Waafrica Kibao wanagombea ubunge na wanashinda? Kuna dada Mnigeria nye alitaka kuwa PM wa UK kumrithi Boris na alifika hatua za mwisho kabisa za mchujo...na wakati huo huo ni Waziri


Lakini cheki Waafrica walivyo wabaguzi soma hii ya jana toka Nigeria wamepiga marufuku wanawake weupe kwenye matangazo nchini mwao. Huo kama siyo ubaguzi ni kitu gani?

 
UK mbona Waafrica Kibao wanagombea ubunge na wanashinda? Kuna dada Mnigeria nye alitaka kuwa PM wa UK kumrithi Boris na alifika hatua za mwisho kabisa za mchujo...na wakati huo huo ni Waziri

Lakini cheki Waafrica walivyo wabaguzi soma hii ya jana toka Nigeria wamepiga marufuku wanawake weupe kwenye matangazo nchini mwao. Huo kama siyo ubaguzi ni kitu gani?


Ndicho nilichomanisha ukiona mtu ambaye hafanani na Wazungu anagombea na kushinda mara nyingi kuna kazi kubwa sana inafanyika ili kumshawishi Mzungu kuchagua mtu asiye Mzungu na ndiyo maana hata inandikwa, lkn Afrika mtu yoyote tofauti anagombea na anachaguliwa bila ya shida, sasa kwa nini? Kumbuka Wazungu mpaka wana anti discrimination laws ili kusaidia minority wa wakubalike sasa kwa nini Afrika wageni mfano Wahindi au Waarabu na Wazungu hawana shida hata kama ni minority kwanza ndiyo hata wako privileged kuliko Waafrika wenyewe?
 
Ndicho nilichomanisha ukiona mtu ambaye hafanani na Wazungu anagombea na kushinda mara nyingi kuna kazi kubwa sana inafanyika ili kumshawishi Mzungu kuchagua mtu asiye Mzungu na ndiyo maana hata inandikwa, lkn Afrika mtu yoyote tofauti anagombea na anachaguliwa bila ya shida, sasa kwa nini? Kumbuka Wazungu mpaka wana anti discrimination laws ili kusaidia minority wa wakubalike sasa kwa nini Afrika wageni mfano Wahindi au Waarabu na Wazungu hawana shida hata kama ni minority kwanza ndiyo hata wako privileged kuliko Waafrika wenyewe?
Wakati Zambia walipokuwa na Rais Mzungu miaka michache iliyopita haikuandikwa?

 
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa siyo Mwarabu watakutenga vivyo hivyo Wazungu.

Mfano inakuwaje Afrika Muhindi, Mzungu au hata Mwarabu anagombea nafasi na anachaguliwa tena kwa kura nyingi wakati hiyo sehemu hakuna watu wa aina yake ni Waafrika watupu?

Msinielewe vibaya najaribu tu kuelewa kwa nini sisi siyo Wabaguzi dhidi ya wageni? Jamii nyingine inachukuwa karibia kila jitihada ili uweze kushinda uchaguzi kama wewe uko tofauti nao mfano Obama na wengineo ilipigwa Kampeni ya kufa mtu kumshawishi Mzungu kumpigia kura Obama, na kila sehemu ni hivyo hivyo, lkn Afrika ni tofauti, why?
Watu weusi tuna shida nyinyi sana. Moja wapo ni internalized inferiority complex ambapo huwa tunawaona watu wa nje kama wako juu kutushinda. Mtu mwuesi anamdhamini Mchina/Mzungu/Mwanarabu kuliko mtu weusi mwenzake. Ndio maana mtu mweusi akiwa na mwanamke mzungu/mwarabu atajiona bwingwa na pia sisi tunamshabikia nakumpa heshima fulani. Ukitembea hoteli zetu za 5-star alafu mzungu aje nyuma yako, atashughulikawa mbele yako na nyote pengine mtalipa bei sawa. Ni kama laana!
 
Wakati Zambia walipokuwa na Rais Mzungu miaka michache iliyopita haikuandikwa?

Makamu wa raisi nafikiri, na alipata kura nyingi tu ingawaje hakuna Wazungu Zambia na bila ya ishu yoyote, hakuhitaji anti discrimination law wala nini, Waafrika tu wakachagua Mzungu, …
 
Makamu wa raisi nafikiri, na alipata kura nyingi tu ingawaje hakuna Wazungu Zambia na bila ya ishu yoyote, hakuhitaji anti discrimination law wala nini, Waafrika tu wakachagua Mzungu, …
Unakumbuka umeandika kuwa huko ulaya mwafrica akichaguliwa inakuwa habari na inaandikwa? Nimekupa huo mfano wa Zambia kukuonesha hata huku Africa huwa ni news na inaandikwa sana tu
 
Labda haujaelewa nilichomaanisha, labda nikuulize vingine, unafikiri Warwanda wangeweza kuwafanyia unyama Wazungu, Wahindi, Waarabu au hata Wachina kama walivyouwana wenyewe kwa wenyewe?

Iddy amini aliwafanya nini wahindi, Nyerere hakutaifisha mali za wageni, Mugabe na mashamba ya wazungu?
 
Sasa inakuwaje Muhindi, Mwarabu au hata Mzungu anashinda Uchaguzi Afrika? Mfano unafikiri Mwafrika anaweza kugombea Ubunge India au China na akashinda ?
Mayor wa London unajua asili yake?
 
Back
Top Bottom