Kwanini waafrika siyo wabaguzi?

Kwanini waafrika siyo wabaguzi?

Hao wengine waliteka ma mababu zako wakawafanya watumwa na kuwapiga mijeledi, wakatawala nchi zetu na kutesa na kubagua raia, copy that

Wakina nani hao waliteka mababu babu, wakawafanya watumwa, na kuwapiga mijeledi?
 
Mwanadamu nae ni mnyama kama wanyama wengine , Kiasili ni mbaguzi .. Mwoga wa asichokijua ...

Nenda huko mwituni ujionee ubaguzi , Races zingine tunazibagua ila KWA weupe Tunakuwa na inferiority complex , .

Kama ambavyo mnatuogopa sisi wachaga ..


Nimeamua kuchafua maji
 
Lakini ndicho ninachomaanisha, hakuna Ubaguzi dhidi ya watu waliotofauti kimuonekano na sisi wakati jamii nyingine karibia zote ukiwa una muonekano tofauti utabaguliwa au hata tu utajisikia mwenyewe kwamba wewe siyo sehemu ya hiyo jamii lkn Tanzania na Afrika ni kinyume chake!
Kubagua mtu ni nafsi ya mtu mwenyewe, Kwa sisi waislamu hatukufundishwa huu ujinga wa kubaguana na kuchukiana, tena waislamu wenye imani haswaa huwezi kukuta huu ujinga wakifanya, ukiona muislamu anamchukia mwarabu, mzungu au mhindi huyo ni muislamu jina tu, hata humu wapo baadhi.

Swali👇🏽 naomba unijibu!
Kwanini mwarabu anachukiwa sana kuliko race yoyote ile duniani? Mara utasikia waarabu ni mashetani, waarabu ni watu wabaya sana, waarabu ni wanyanyasaji, waarabu walitesa mababu enzi za utumwa, waarabu wanaroho mbaya afadhali ya mzungu n.k, je, kuna ukweli wowote hapo?

Karibu
 
Sababu ya umasikini tu, ukiwa huna power wala pesa hauwezi kumbagua yoyote bali wewe ndio utakuwa unajipendekeza kwa matajiri. waafrika wana ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe sasa maana yake kama africa ingekuwa tajiri basi race nyingine zingebaguliwa kupita maelezo.

Waafrika ni wabaguzi sana ila ubaguzi hauonekani sababu ni masikini.
 
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa siyo Mwarabu watakutenga vivyo hivyo Wazungu.

Mfano inakuwaje Afrika Muhindi, Mzungu au hata Mwarabu anagombea nafasi na anachaguliwa tena kwa kura nyingi wakati hiyo sehemu hakuna watu wa aina yake ni Waafrika watupu?

Msinielewe vibaya najaribu tu kuelewa kwa nini sisi siyo Wabaguzi dhidi ya wageni? Jamii nyingine inachukuwa karibia kila jitihada ili uweze kushinda uchaguzi kama wewe uko tofauti nao mfano Obama na wengineo ilipigwa Kampeni ya kufa mtu kumshawishi Mzungu kumpigia kura Obama, na kila sehemu ni hivyo hivyo, lakini Afrika ni tofauti, why?

Wagombea (pichani) Ugavana wa Mombasa Kenya, wote wawili ni Waarabu, mmoja wao kashinda
View attachment 2340662
Sababu kubwa ni dini za kigeni. Mtu tangu akiwa mdogo anampigia magoti mungu mzungu, yesu mzungu, mama wa yesu mzungu, watakatifu, malaika, pope wote wazungu., mtu tangu akiwa mtoto mdogo akili inatengenezwa kumwona mzungu ni mkombozi wake mzungu ni superior race kwake sasa mtu huyu akiwa mkubwa shauku yake inakua ni kumfurahisha mzungu yaani ile kitendo tu cha kuwa na ukaribu au ushirikiano na mzungu kwako ni furaha bila kujali huo ushirikiano anakandamazwa au hafaidiki na chochote the same to dini nyingine mtume wa mungu ni muarabu, kitabu cha mungu kiameandikwa kiarabu, unaambiwa, uko uarabuni saudi arabia ndo ardhi takatifu.. ndipo hapo tunaanza kutukuza races zingine na kujichukia na kuchukiana sisi wenyewe
 
Nawasihi wote mkitaka kujua namna mnachukiwa huko duniani pitieni hii forum😂

chimpout.com/

Unaweza ghairi safari ya ughaibuni😂

Si ndiyo maana akina Nyerere, Muhammad Ali, Angela Davis, na wengine wengi wakaanzisha The Black Panthers (BP). Maana waliona kokote waliko duniani ni mwendo wa kwenzi tu.
 
Kubagua mtu ni nafsi ya mtu mwenyewe, Kwa sisi waislamu hatukufundishwa huu ujinga wa kubaguana na kuchukiana, tena waislamu wenye imani haswaa huwezi kukuta huu ujinga wakifanya, ukiona muislamu anamchukia mwarabu, mzungu au mhindi huyo ni muislamu jina tu, hata humu wapo baadhi.

Swali👇🏽 naomba unijibu!
Kwanini mwarabu anachukiwa sana kuliko race yoyote ile duniani? Mara utasikia waarabu ni mashetani, waarabu ni watu wabaya sana, waarabu ni wanyanyasaji, waarabu walitesa mababu enzi za utumwa, waarabu wanaroho mbaya afadhali ya mzungu n.k, je, kuna ukweli wowote hapo?

Karibu
Kuna hata diwani mtanzania huko uarabuni? huku ni wabunge wamejazana
 
Kuna hata diwani mtanzania huko uarabuni? huku ni wabunge wamejazana

Na ndio wanakubalika na kuleta maendeleo, shabibi wanagairo wanampenda, wanamkubali na anawasemea watu wake na watanzania kwa ujumla malalamiko yao, meatu wakati mwarabu mbunge enzi za kikwete aliwafanyia wana meatu mazuri, leo hii wanamkubuka.

Huko uarabuni kama hawajitokezi kugombea!! Unataka watafutwe!! Basi raha sana.

Just think be4 u post
 
Na ndio wanakubalika na kuleta maendeleo, shabibi wanagairo wanampenda, wanamkubali na anawasemea watu wake na watanzania kwa ujumla malalamiko yao, meatu wakati mwarabu mbunge enzi za kikwete aliwafanyia wana meatu mazuri, leo hii wanamkubuka.

Huko uarabuni kama hawajitokezi kugombea!! Unataka watafutwe!! Basi raha sana.

Just think be4 u post
Jinga kweli, Meatu na Ngairo kuna maendeleo gani nyumba za tembe ndiyo maendeleo? mbona Moshi haijawahi kuongozwa na Mhindi wala Mwarabu na ndiyo inaongoza kwa maendeleo? pia ni ujinga kudhani Mbunge pekee analeta maendeleo na wakati kuna DC, DAS, DED, Mwenyekiti wa halmashauri na wakuu wa idara.
 
Jinga kweli, Meatu na Ngairo kuna maendeleo gani nyumba za tembe ndiyo maendeleo? mbona Moshi haijawahi kuongozwa na Mhindi wala Mwarabu na ndiyo inaongoza kwa maendeleo? pia ni ujinga kudhani Mbunge pekee analeta maendeleo na wakati kuna DC, DAS, DED, Mwenyekiti wa halmashauri na wakuu wa idara.

Ila wee mchagga sijui kama umefika hata gairo, meatu na kanda ya ziwa kwa ujumla. Sasa hicho kijiji chenu cha moshi kina maendeleo gani!! Isijekua naongea na mtu ambae maisha yake yote ni hapo hapo kijiji cha moshi.

Kuhusu mbunge kuleta maendeleo, unatakiwa ujiongeze, sasa hizi bara bara, masokoni n.k n.k ni nani anawatatulia matatizo yao!! Hilo bunge lina maana gani kuwepo sasa!!

Hebu jaribu kumkosoa shabibi uone vile wanagairo watakavyokushambulia.
 
Petty. Kuna mkenya mbunge england, USA kuna mwanadada anaitwa Ilhan Omar wa asili ya Kenya na Somali
Wajakoya ashagombea ubunge England ila hakushinda. Kuna mifano mingi sana wa tz hamuwezi elewa
 
Back
Top Bottom