Kwanini Waafrika wakiona Wanaijeria wanapiga hatua wanalalamika kuibiwa fursa ila hawalalamiki kuhusu Wahindi, Waarabu, Wachina, n.k?

Kwanini Waafrika wakiona Wanaijeria wanapiga hatua wanalalamika kuibiwa fursa ila hawalalamiki kuhusu Wahindi, Waarabu, Wachina, n.k?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hii ipo sehemu nyingi sana, nimepigwa na butwaa imefika mpaka marekani kwa sasa ambako wamarekani weusi wanalalamika wanaijeria wanaiba kazi zao, cha kushangaza wamarekani weusi wengi hata elimu za kuajiriwa kwenye kazi wanazoomba wanaijeria hawana.

Unakuta mtu analalamika mnaijeria anaiba kazi, hio kazi ya mnaijeria ni kuwa profesa wa chuoni ila mmarekani mweusi hata chuo hajasoma analalamika.

Pia kwa nchi kama marekani kundi la wanajeria ndilo linaongozea kwa kuwa kundi lililoelimika kuzidi makundi ya nchi zingine, yani hapa hakuna cha muhindi, mu israel, mfaransa, muingereza, mchina, n.k. wote hawajafikia levo za mnaijeria unaambiwa familia za kinaijeria kwa marekani ni kawaida sana kukuta kila mtu ana masters.

Nashangaa sana hivi vitu, familia ya wanaijeria mtoto anakaziwa vibaya mno kwenye elimu yake, wazazi wanajitoa sana, mtoto ataambiwa achague kuwa Engineer, Daktari, Mwanasheria ama kwa mbali sana Mhasibu, imeisha hio!

Kwa upande wa wamarekani weusi hata mtoto akiamua kuacha shule wazazi wanaona fresh tu, matokeo yake anakosa hata kazi inabidi aingie kwenye muziki, makundi, uhalifu, n.k.
 
Mkuu Waafrica wamelaanika, Acha kuumiza kichwa chako kwao.
 
Hii ipo sehemu nyingi sana, nimepigwa na butwaa imefika mpaka marekani kwa sasa ambako wamarekani weusi wanalalamika wanaijeria wanaiba kazi zao, cha kushangaza wamarekani weusi wengi hata elimu za kuajiriwa kwenye kazi wanazoomba wanaijeria hawana.

Unakuta mtu analalamika mnaijeria anaiba kazi, hio kazi ya mnaijeria ni kuwa profesa wa chuoni ila mmarekani mweusi hata chuo hajasoma analalamika.

Pia kwa nchi kama marekani kundi la wanajeria ndilo linaongozea kwa kuwa kundi lililoelimika kuzidi makundi ya nchi zingine, yani hapa hakuna cha muhindi, mu israel, mfaransa, muingereza, mchina, n.k. wote hawajafikia levo za mnaijeria unaambiwa familia za kinaijeria kwa marekani ni kawaida sana kukuta kila mtu ana masters.

Nashangaa sana hivi vitu, familia ya wanaijeria mtoto anakaziwa vibaya mno kwenye elimu yake, wazazi wanajitoa sana, mtoto ataambiwa achague kuwa Engineer, Daktari, Mwanasheria ama kwa mbali sana Mhasibu, imeisha hio!

Kwa upande wa wamarekani weusi hata mtoto akiamua kuacha shule wazazi wanaona fresh tu, matokeo yake anakosa hata kazi inabidi aingie kwenye muziki, makundi, uhalifu, n.k.
We ni mnaija.??
 
Sasa kama mtu anapata hela anaoa wake watatu huku anashindwa hata kununua mashine ndogo tu ya kutengeneza peanut butter.
Kiufupi wenye malengo wachache
 
Dah! Namshukuru mungu kuchelewa kuowa kumenifanya niwe mtu ambae nilitamani kuwa...
 
Popo mnapenda sana kijikweza nani awaonee wivu,mnachukiwa kwa tabia zenu za kijinga ,wizi,utapeli,ujuaji mwingi
 
Back
Top Bottom