Kwanini waandishi na wachambuzi wa michezo wanamuogopa Haji Manara?

Kitenge yupo so biased, anaonyesha chuki yake dhidi ya Simba wazi wazi, watu wa aina ile inabidi uwe mbabe ili uondane nao.
Mbona ulaya waandishi wa habari wanawea waz timu wanazoshangalia na hamna Cha ajabu, kitenge ana Uhuru wa kushabikia timu hawezi pangiwa na kikundi Cha watu flani na Hana chuki na Simba
 
Duuuh ebu tupe maelezo kidogo ina maana Maulid Kitenge ni mchicha mwiba na vp kuhusu kusafiri mara kwa mara nje ya nchi.
 
Diamond hawezi kumfukuza mtangazaji bora wa michezo Tanzania kwaajili ya manara. Wise up! Wachambuzi wengi wamemjua manara ni mjinga,Hivyo huwezi kushindana na mjinga. Manara ana matatizo ya kisaikolojia... mwenye akili anaweza kuona hilo wazi
 
Unawezaje kusema Kitenge ni mchicha mwiba wakati alikuwa anamiliki wake wawili na watoto. wabongo bana wasipojua dili zako kwa undani wanaishia kukuchafua tu.
 
Ni vigumu sana kuanzisha vita na haji kwa hali aliyo nayo.

Msijaribu imani za watu jamani.
 
Kama Kitenge anaogopa ajira ya Wasafi hapo basi hana akili..yeye ni brand kubwa kwenye michezo,sio mfagiaji hapo wasafi hadi amuogope diamond kiasi hicho..yeye anamuingizia pesa na kumfukuza ni hasara tu.
Issue siyo ukubwa wa brand. Ukiachwa unaenda wapi ?

Watu wenye brand kubwa ni kama kina Millard.

Kitenge bado anategemea ajira kuishi, kusikika na kupata michongo.
 
Manara ni wa kumuacha tu,waliokosea ni hao tangu mwanzo kumuachia ile nafasi.
 
Manara ukimuweka kwenye kona utaambiwa na jamii wewe mbaguzi hata jamhuri inaweza kukucheki...
 
Ukijibishana au ukigombana na mwehu na wewe utaonekana mwehu bwashee
 
Jamaa manara anajua kila kitu anachosema. We unaembishia hujui kitu, kwanza mshamba wewe.
 
Kwa hiyo jamaa ni kijogoo??.
 
jamaa una chuki za wazi wazi dhidi ya manara na simba yake huna lolote wewe ni pisi kali tu. [emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ulishawahi kujiuliza kwa nini Machawa wengi asili yao ni kigoma mf.Manara,Baba levo,Mwijaku,Issa Azam,H.Baba,Japo wengi wanadhani h.baba ni msukuma kwa vile anaishi mwanza mabatini.
 
True
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…