eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwa taarifa yako rais ni muajiriwa wa wananchi na sio boss wa wananchi. Kwa bahati mbaya kwa katiba ya nchi hii na vimelea vya ujamaa vilivyopo, rais amegeuka mungu mtu hawezi kuhojiwa. Kwenye nchi za wenzetu kiongozi anaagizwa na anaweza kuhojiwa hadi kuondolewa madarakani ikibidi. Huku rais ndio anaamua nani awe kiongozi, hata viti kama ubunge na udiwani ambao huchaguliwa na wananchi kikatiba, siku hizi yeye ndio anaamua nani akalie kiti, kisa cha yote haya ni chawa wa aina yenu mnaomtukuza rais.
Sikiliza kijana, kwa sisi wabobezi wa comparative and philosophy of law, democracy is imbedded in culture. You will never have a democracy which is not going along with the culture. If you have one, that is a fake democracy. Sasa ninyi mnataka muige western democracy which is according to their culture. Unataka eti watu wawe huru kumtukana rais, halafu unaiita hiyo ni democracy. Kulingana na mila zetu hiyo ni laana. Au kutengeneza lisanamu kama walivyo fanya kwa Trump na kulivuta matiti. Kwa upande wetu hiyo haipatani na akili. Kwa kuhitimisha, demokrasia haiigwi, haigezwi, bali inajengwa kwa misingi ya mila, desturi na amali za jamii husika. Hakuna universal democracy. Kila watu wana demokrasia ya kwao.