Kwanini Waarabu na Wahindi wao huwa hawapendi kuwa na mahusiano na Wafanyakazi wao Dukani au Ofisini, ila kwa Waafrika ni jambo la kawaida sana?

Kwanini Waarabu na Wahindi wao huwa hawapendi kuwa na mahusiano na Wafanyakazi wao Dukani au Ofisini, ila kwa Waafrika ni jambo la kawaida sana?

Aisee siwez ajiri katoto kazuri na nisikatumie,ukila mfanyakaz wako unapunguza gharama za kimaisha,mfano kwa sasa ukitangaza kazi ya mshahara wa laki kwa mwezi utanasa pisi Kali nyingi tu tena vibichi bichi,kwahyo kimahesabu mshahara utakuwa 60,000 afu 40,000 ya mgegedo,sasa imagine unakula katoto kabichi kazuri kwa mwezi kwa gharama ya 40,000,hii kitu nzur sana
Unahatarisha ndoa yako. "ONCE IN" huchomoki na huo mwanamke atataka kuwa sehemu ya hiyo biashara na pengine kwa kuwa yeye ndio yuko kwenye hiyo biashara kujiona kuwa yeye ndio anazalisha ili mkeo na watoto waishi. Acha zinaa
 
Unahatarisha ndoa yako. "ONCE IN" huchomoki na huo mwanamke atataka kuwa sehemu ya hiyo biashara na pengine kwa kuwa yeye ndio yuko kwenye hiyo biashara kujiona kuwa yeye ndio anazalisha ili mkeo na watoto waishi. Acha zinaa
Mkuu zinaa haikwepeki, kumbuka kula mbunye moja tu kila siku wakati pesa unayo pia ni mtihani, kuwa na hako kamoja nje inabalance matamanio, nakula lakini simpi nafasi ya kujiona yeye ndio kila kitu kwangu na kwenye biashara
 
Ngono ipo kila kwa kila rangi mkuu, kuna kibabu kimoja cha kibaniani kilikuwa kinamla shangazi yangu(mfanyakazi) ila sema hawa wenzetu wanafanya kwa umakini sana tofauti na sisi ambao tumejawa na papara na sifa tu
 
Mwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama Dukani au Ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa ( siku hizi mnawaita Pisi Kali ) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi Kali' halafu 'humbandui' utachekwa na kuonekana ni bonge la 'Popoma' lililotukuka.

Tofauti hii inatokana na nini kati ya Waarabu na Wahindi dhidi ya sisi Weusi? Na nimetonywa hakuna 'Nuksi' mbaya kama 'Kutiana' Sehemu ya Kazi.
Mkuu tembea uone, katika watu wanaofanana tabia na waafrica ni wahindi na waarabu, tatizo wao wametuzidi waafrica ubaguzi tu. Lakini mambo yote ya mwafrica, roho mbaya, kutembea na house girl, majungu, vyote wanavyo.

Mimi niliwahi kufanya kazi sehemu kwa muhindi hapa Tanzania. Alikuwa anatoka na sales manager wake wa company na secretary wake kwa pamoja. Tena anawala humo humo ofisini kwa muda tofauti.

Sales ni muhindi mwenzie, Secretary ni dada yetu mweusi mtanzania.

Mbaya zaidi yule dada yetu mtanzania ni mchumba wa mtu.

Jamaa anamleta na kumrudisha ofisini kwa gari private kila siku.

Lakini yule boss bado anamla humo humo ofisini,,,

Sometimes anamlia home kwake Upanga street,,

Kulikuwa kuna godown fulani la company maeneo ya Chang'ombe. Anatoka asubuhi na yule sales kwenda kufanya stock taking kumbe yupo nae Upanga anamla siku nzima.

Au atatoka na yule secretary kufanya stock taking, kumbe anakwenda kumla kwake Upanga str.

Na siku ya kumla basi tutatolewa mapema ofisi nzima, wanasema kuna mahesabu wanapiga, demu analiwa humo ndani store.

Huku jamaa yake akimsubiri kwenye gari amrudishe nyumbani. Mimi nikiwaangalia wanaume wenye wanawake wafanyakazi maofisini, nawaonea huruma.

Mkuu usimchukulie dhamana mwanamke na mwanaume yeyote yule duniani. Tabia haina jinsia wala rangi au utaifa wa mtu.

Huo ni ushuhuda wangu mimi na sio hadithi fikirishi.
 
Mwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama Dukani au Ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa ( siku hizi mnawaita Pisi Kali ) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi Kali' halafu 'humbandui' utachekwa na kuonekana ni bonge la 'Popoma' lililotukuka.

Tofauti hii inatokana na nini kati ya Waarabu na Wahindi dhidi ya sisi Weusi? Na nimetonywa hakuna 'Nuksi' mbaya kama 'Kutiana' Sehemu ya Kazi.
We unawajua wahindi ama unapewa story kijiweni
 
Wahindi wako "under strict time table" inajulikana muda wa kufungua duka, kufunga kwa ajili ya chakula cha mchana, kulala kidogo baada ya chakula cha mchana, muda wa kufungua duka baada ya chakula cha mchana, muda wa kufunga duka jioni na kwa ratiba hiyo hata muda wa kutoka na kurudi nyumbani unajulikana na haubadiliki.

Nje ya ofisi au dukani, wahindi wako zaidi kifamilia na siyo kuzururazurua mtaani na vijiweni.
Mkuu umefanyaa nikitafakari tena
 
Aisee siwez ajiri katoto kazuri na nisikatumie,ukila mfanyakaz wako unapunguza gharama za kimaisha,mfano kwa sasa ukitangaza kazi ya mshahara wa laki kwa mwezi utanasa pisi Kali nyingi tu tena vibichi bichi,kwahyo kimahesabu mshahara utakuwa 60,000 afu 40,000 ya mgegedo,sasa imagine unakula katoto kabichi kazuri kwa mwezi kwa gharama ya 40,000,hii kitu nzur sana
Uzinzi sio poa mkuu, utaishia pabaya mwana
 
Mi nilitegemea utauliza kwanini waarab na wahindi hawapendi kuajiri kwa mikataba?

Ok ngoja turudi kwenye mada
Jibu ni kuwa wanaogopa kutengwa na wenzao baada ya kugundulika ana uhusiano na mtu mweusi
 
Waafrika weusi, watu wanaoishi chini ya jangwa la Sahara, bado hawajatimia kama Binaadamu, ni sub human..

Akili ya mtu mweusi bado haijawae matured, bado haijawa kamili..

Mwafrika mweusi, mwafrika kutoka chini ya jangwa la Sahara, zuri analiona BAYA na BAYA analiona ZURI..

Kuna theory nyingi Kwanini hawa watu wako hivyo, theory moja ni malezi wanayopata wakiwa wadogo...

Malezi ya Vichapo na adhabu inamfanya mtoto asiweze kujiamini,asiweze kuamua,asione lipi zuri lipi Baya..

Mwisho asiweze kuwa kiongozi,na hata akiwa kiongozi,ataongoza Kwa vitisho na adhabu kwa wale anaowaongoza..

Wazungu, Warabu, Wahindi wanadekeza Watoto wao,wanawapa maarifa Watoto wao..

Waafrika Tuache kupiga Watoto wetu,tuwalee Kwa busara na hekima..

Tutafika,We are the choose people..

Quran:-sura ya 15 aya ya 16,suratil hijri Mungu anasema "hakika nimemumba Binaadamu kwa udongo mweusi wa Ufinyazi"..

Mtu mweusi ni mtu bora,katika viumbe alivyoumba Mungu
 
Mkuu tembea uone,,
Ktk watu wanaofanana tabia na waafrica ni wahindi na waarabu,,tatizo wao wametuzidi waafrica ubaguzi tu ,,
Lakini mambo yote ya mwafrica,,roho mbaya,,kutembea na house girl,,majungu,,vyote wanavyo.

mm niliwahi kufanya kazi sehem kwa muhindi,,hapa Tanzania.

Alikuwa anatoka na sales manager wake wa company,,na secretary wake kwa pamoja..

Tena anawala humo humo ofisini,,kwa muda tofauti,

Sales ni muhindi mwenzie,
Secretary ni dada yetu mweusi mtanzania.

Mbaya zaidi yule dada yetu mtanzania ni mchumba wa mtu,,

Jamaa anamleta na kumrudisha ofisini kwa gari private,,kila siku.

lakini yule boss badi anamla humo humo,,,na sometimes anamlia home kwake upanga street,,

Kulikuwa kuna godown la company maeneo ya Chang'ombe ,,

Anatoka na yule sales kwenda kufanya stock taking kumbe yupo nae upanga anamla siku nzima,,

Au atatoka na yule secretary kufanya stock taking,,
kumbe anakwenda kumla upanga.

Na siku ya kumla ofisini basi tutatolewa mapema ofisi nzima,,wanasema kuna mahesabu wanapiga,,
demu analiwa humo ndani store.
Huku jamaa yake akimsubiri nje ofisini amrudishe nyumbani.

Mkuu usimchukulie dhamana mwanamke na mwanaume yeyote yule duniani..
Tabia haina jinsia wala rangi au utaifa wa mtu..

huo ni ushuhuda wangu mimi,,na sio hadithi fikirishi.
Najijua nilivyo na 'Wivu' wa kutukuka Mkuu hivyo nadhani kwa hiki ulichokiweka tu hapa leo nasema rasmi kuwa sitakuja 'Kuoa' tena potelea mbali!
 
Kwasababu heshima inapungua, na pia yule mfanyakazi kiutendaji haitokuwa kama ilivyokuwa hapo mwanzo, anakuwa na ile akili kuwa yeye anatoka na aliyemuajiri.

Na kingine kinachofuata, hatoweza kudumu tena, mara nyingi mfanyakazi akipishapitiwa na aliyemuajiri kudumu kazini inakuwa ngumu, lazima abadilishwe aletwe mfanyakazi mwingine, akipata bahati ataamishwa Duka hilo, kama kuna Duka zaidi ya moja
 
Najijua nilivyo na 'Wivu' wa Kutukuka Mkuu hivyo nadhani kwa hiki ulichokiweka tu hapa leo nasema rasmi kuwa sitakuja 'Kuoa' tena potelea mbali!
Mkuu kuoa hakukwepeki,,
ila kupigiwa ndiyo tatizo..

Kama mabosi ndiyo wanavishawishi kwa wake zetu.
Sasa itakuwaje?
 
Mi nilitegemea utauliza kwann waarab na wahindi hawapend kuajir kwa mikataba?

Ok ngoja turudi kwenye mada
jibu nikuwa wanaogopa kutengwa na wenzao baada ya kugundurika ana uhusiano na mtu mweusi
Mkuu muarabu na muhindi anayetengwa na wenzie ni wa jinsia ya kike,
Wanapogundua mwanamke wa kiarabu au muhindi ana mahusiano na mweusi hapo wanakutenga, tena watakufanyia kila fitna muachane..

Lakini mwanaume mwarabu au muhindi kuwafumua Dada zetu weusi wao kwao ndiyo sifa..

Na mbaya zaidi wao sio waoaji..ni kuwafumua tu marinda na kuwatosa.

Akimpa mimba msichana mweusi wanakana ujauzito.

Tena wengi wanawafanya kinyume na maumbile.
Hiyo ni proved 90%,,,
Fanya research kwa wadada waliopitia kwenye mahusiano hayo.
Hao ni watu wabaya kabisa tena ndio wanaotuharibia Dada zetu weusi.

Wakitaka kuoa, wanaoa dada zao wa kihindi au kiarabu.

Ben choot..
 
Back
Top Bottom