Unahatarisha ndoa yako. "ONCE IN" huchomoki na huo mwanamke atataka kuwa sehemu ya hiyo biashara na pengine kwa kuwa yeye ndio yuko kwenye hiyo biashara kujiona kuwa yeye ndio anazalisha ili mkeo na watoto waishi. Acha zinaaAisee siwez ajiri katoto kazuri na nisikatumie,ukila mfanyakaz wako unapunguza gharama za kimaisha,mfano kwa sasa ukitangaza kazi ya mshahara wa laki kwa mwezi utanasa pisi Kali nyingi tu tena vibichi bichi,kwahyo kimahesabu mshahara utakuwa 60,000 afu 40,000 ya mgegedo,sasa imagine unakula katoto kabichi kazuri kwa mwezi kwa gharama ya 40,000,hii kitu nzur sana
Mkuu zinaa haikwepeki, kumbuka kula mbunye moja tu kila siku wakati pesa unayo pia ni mtihani, kuwa na hako kamoja nje inabalance matamanio, nakula lakini simpi nafasi ya kujiona yeye ndio kila kitu kwangu na kwenye biasharaUnahatarisha ndoa yako. "ONCE IN" huchomoki na huo mwanamke atataka kuwa sehemu ya hiyo biashara na pengine kwa kuwa yeye ndio yuko kwenye hiyo biashara kujiona kuwa yeye ndio anazalisha ili mkeo na watoto waishi. Acha zinaa
Mkuu tembea uone, katika watu wanaofanana tabia na waafrica ni wahindi na waarabu, tatizo wao wametuzidi waafrica ubaguzi tu. Lakini mambo yote ya mwafrica, roho mbaya, kutembea na house girl, majungu, vyote wanavyo.Mwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama Dukani au Ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa ( siku hizi mnawaita Pisi Kali ) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi Kali' halafu 'humbandui' utachekwa na kuonekana ni bonge la 'Popoma' lililotukuka.
Tofauti hii inatokana na nini kati ya Waarabu na Wahindi dhidi ya sisi Weusi? Na nimetonywa hakuna 'Nuksi' mbaya kama 'Kutiana' Sehemu ya Kazi.
Huko mbali, prof. Shivji, Mo, je hao sio waafrika kisa weupe?Ntakuuliza swali, makaburu Ni weusi? Tunisia, Egypt, Morocco je ni weusi. Endelea na matusi yako, lakini ukiona mbwa ana jiuma mkia ujue ana kichaa
We unawajua wahindi ama unapewa story kijiweniMwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama Dukani au Ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa ( siku hizi mnawaita Pisi Kali ) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi Kali' halafu 'humbandui' utachekwa na kuonekana ni bonge la 'Popoma' lililotukuka.
Tofauti hii inatokana na nini kati ya Waarabu na Wahindi dhidi ya sisi Weusi? Na nimetonywa hakuna 'Nuksi' mbaya kama 'Kutiana' Sehemu ya Kazi.
Mkuu umefanyaa nikitafakari tenaWahindi wako "under strict time table" inajulikana muda wa kufungua duka, kufunga kwa ajili ya chakula cha mchana, kulala kidogo baada ya chakula cha mchana, muda wa kufungua duka baada ya chakula cha mchana, muda wa kufunga duka jioni na kwa ratiba hiyo hata muda wa kutoka na kurudi nyumbani unajulikana na haubadiliki.
Nje ya ofisi au dukani, wahindi wako zaidi kifamilia na siyo kuzururazurua mtaani na vijiweni.
Uzinzi sio poa mkuu, utaishia pabaya mwanaAisee siwez ajiri katoto kazuri na nisikatumie,ukila mfanyakaz wako unapunguza gharama za kimaisha,mfano kwa sasa ukitangaza kazi ya mshahara wa laki kwa mwezi utanasa pisi Kali nyingi tu tena vibichi bichi,kwahyo kimahesabu mshahara utakuwa 60,000 afu 40,000 ya mgegedo,sasa imagine unakula katoto kabichi kazuri kwa mwezi kwa gharama ya 40,000,hii kitu nzur sana
HaswaaaNgono kazini ni kitomvu cha uzembe hata Clinton ilimuaibisha sana akiwa rais.
Najijua nilivyo na 'Wivu' wa kutukuka Mkuu hivyo nadhani kwa hiki ulichokiweka tu hapa leo nasema rasmi kuwa sitakuja 'Kuoa' tena potelea mbali!Mkuu tembea uone,,
Ktk watu wanaofanana tabia na waafrica ni wahindi na waarabu,,tatizo wao wametuzidi waafrica ubaguzi tu ,,
Lakini mambo yote ya mwafrica,,roho mbaya,,kutembea na house girl,,majungu,,vyote wanavyo.
mm niliwahi kufanya kazi sehem kwa muhindi,,hapa Tanzania.
Alikuwa anatoka na sales manager wake wa company,,na secretary wake kwa pamoja..
Tena anawala humo humo ofisini,,kwa muda tofauti,
Sales ni muhindi mwenzie,
Secretary ni dada yetu mweusi mtanzania.
Mbaya zaidi yule dada yetu mtanzania ni mchumba wa mtu,,
Jamaa anamleta na kumrudisha ofisini kwa gari private,,kila siku.
lakini yule boss badi anamla humo humo,,,na sometimes anamlia home kwake upanga street,,
Kulikuwa kuna godown la company maeneo ya Chang'ombe ,,
Anatoka na yule sales kwenda kufanya stock taking kumbe yupo nae upanga anamla siku nzima,,
Au atatoka na yule secretary kufanya stock taking,,
kumbe anakwenda kumla upanga.
Na siku ya kumla ofisini basi tutatolewa mapema ofisi nzima,,wanasema kuna mahesabu wanapiga,,
demu analiwa humo ndani store.
Huku jamaa yake akimsubiri nje ofisini amrudishe nyumbani.
Mkuu usimchukulie dhamana mwanamke na mwanaume yeyote yule duniani..
Tabia haina jinsia wala rangi au utaifa wa mtu..
huo ni ushuhuda wangu mimi,,na sio hadithi fikirishi.
Hata siamini maneno yako labda tutest kwanza huenda nikaoneka mzembeNgono kazini ni kitomvu cha uzembe hata Clinton ilimuaibisha sana akiwa rais.
Mkuu kuoa hakukwepeki,,Najijua nilivyo na 'Wivu' wa Kutukuka Mkuu hivyo nadhani kwa hiki ulichokiweka tu hapa leo nasema rasmi kuwa sitakuja 'Kuoa' tena potelea mbali!
Mkuu muarabu na muhindi anayetengwa na wenzie ni wa jinsia ya kike,Mi nilitegemea utauliza kwann waarab na wahindi hawapend kuajir kwa mikataba?
Ok ngoja turudi kwenye mada
jibu nikuwa wanaogopa kutengwa na wenzao baada ya kugundurika ana uhusiano na mtu mweusi
Hii ndio formula yangu, siwezi kutembea na mtu wa ofisi moja, nyumba moja au mtaa mmoja. My nearby surrounding environment is my everything, I cherish my inner peaceThey don't shit where they eat coz the smell is bad