Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?

Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?

Unga kilo 600,nyama kilo 6000 ungekuwa wewe ungefanyaje? watu wanazunguruuka kama jibu hawalioni
Hakika hilo ndio jibu

Kwa mfano nyama ingekua inauzwa 600 na unga 6000 watu wengi tungehamia kujaza mabakuli ya nyama na kibakuli kidogo cha ugali wakusindikizia
 
kwasababu wanakula ugali kuliko mboga, in the contrary, wazungu wanakula zaidi majanimajani, minyamya, samaki etc kuliko mawanga. kitu kingine, ujue wanga unanenepesha kuliko mboga, na kwa wabogo kunenepa ni afya wakati kwa wazungu kunenepa ni ugonjwa.
Fact sana hii
 
Kwamba gharama! Sidhani...mbona maji tele tuu bongo lkn wadau wanakunywa kiduchu etii
 
Back
Top Bottom