Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

pana hadithi inasema "ukijinasibisha na jamii fulani basi nawe ni miongoni mwa hiyo jamii "kama ukiwa na marafiki walevi au wazinzi au majambazi unategemea nini.Sasa hao kutwa kucha wapo wanajambiwajambiwa na kina dada mwisho wa siku wanaona nao wajaribu ohooo ndo basi tena! Watu mabaradhuli! yaani unamzozea kabisa dume jenzio kama unabonga na manzi?
 
Hata dini zimeanza kulegea kwa hili suala cha kufanya ni kujitahidi kulizuia lisiingie kwa familia na kumuomba mungu
 
Sina uhakika sana kama wengi ni mashoga kuliko wasio mashoga kwa sababu sina takwimu zinazothibitisha upande mmoja au mwingine lakini kuna ukweli kuwa kuna idadi kubwa ya wanamitindo wakubwa na wenye majina hata huko Ulaya na Marekani walio na mwelekeo wa hivyo.

Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. .alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.

Sasa mnaopenda designer products kama mnazo za hao jamaa (au hata wengine) sijui mtazitupa baada ya kugundua kuwa hao wote ni mashoga au mtajishaua na kujifanya mtazitupa kama wale waliojidai watazitupa iPhones na iPads zao kisa CEO wa Apple ni shoga?

Bottom line, mashoga wapo kwenye kila nyanja, tasnia, na sekta!

Unaposema alikuwa unamaanisha kwa sasa ameacha au?
 
This is a culture of an industry. Pia, kuna mashoga wengi bankers lakini inakiwa vigumu kujinasibisha na ushoga ukiwa banker. Kwenye mitindo kuna uhuru zaidi wa creativity na mtu kwa anavyotaka mwenyewe ndio maana tunaona wengi wame come out kama mashoga.
 
sio hao tu, hata cabin crew wanaofanya kazi ndani ya ndege kwa ndege zile za jamuu (hasa wazungu kwani sina uhakika na wabongo) kabiria wote ni mapunga. wale wanaotugawiaga vinywanji na vitafunwa. kwa bongo najua wanaweza kuwa wapiga kazi kama kawaida tu ila ulaya ukiona mtu anapenda kazi za kikekike kama kuwa cabin crew, kuhudumia migahawani na bar, fasheni fasheni hizo zote ujue ni punga.

kwa bongo hapa, wanamitindo wote ni mapunga...mustafa hassanali yule alikuwa mnenee akaenda india kupunguza mafuta ukimwangalia tu hivi unajua punga, ally remtula ni punga, kadinda ni punga, sheria ngowi ni punga hakuna asiye punga wote mapunga tu. ukija kwenye masalon ukiona wanaume wa kikongo wanatengeneza nywele wanajichubua ni mapunga tu.

bahati mbaya sana, nasikia na walevi wa kupindukia wengi ni mapunga. kwasababu wakilewa sana huwa wanapumuliwa. ukija mtaani uswahilini, mateja wote ni mapunga, wakilewa unga huwa wanapumuliwa na wenzao ambao hawajalewa, vilevile wakiishiwa hela ya kununua unga inasemekana huwa wanauza tigo kabisa wapate chochote wanunue unga. kuna jamaa mmoja namfahamu wa ilala alikuwa anaitwa shaban ukimwangalia usoni huwezi amini kama punga ila amepungua kidogo mwili kwasababu ya madawa, akikosa hela anauza tigo kwa mateja wenzao.

kitu kingine, watu wengi ambao wamekaa jela miaka zaidi ya mitano lazima huwa wana adopt upunga wanakuwa mapunga au wanakuwa wanashughulikia mapunga kwasababu jela wanafirana sana sana, uliza askari magereza watakwambia. kuna ufiraji wa ajabu na kuna mashoga wengi sana jela. mwanaume rijani huwezi kukaa mwaka mmoja bila kuona mbunye na hujapiga hata nyeto ukawa sawasawa, wengi wanaoana kimtindo jela. dunia ni chafu sana sijui tukimbilie wapi.

ila jela ukiwa dhaifu unafanywa chakula
 
Back
Top Bottom