Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Nyani ngsbu, mie naelewa hizi haki za binadamu. Na huwa napenda Sana usawa bila kujali mtu anaishije, ili mradi haingilii maisha yangu, awe shoga awe vipi as long as hatuchanganyiki mimi sina tatizo.

Nataka kujua wewe binafsi, coz umekuwa ambassador mzuri sana wa kutetea usawa na haki za makundi mbalimbali, at least humu mmu. Je, hili likitokea kwa mtu wako wa karibu sana kama mtoto au ndugu, how would you feel, utakuwa na maamuzi gani kwake? #hypotheticallySpeaking .
 
Last edited by a moderator:
Nyani ngsbu, mie naelewa hizi haki za binadamu. Na huwa napenda Sana usawa bila kujali mtu anaishije, ili mradi haingilii maisha yangu, awe shoga awe vipi as long as hatuchanganyiki mimi sina tatizo.

Nataka kujua wewe binafsi, coz umekuwa ambassador mzuri sana wa kutetea usawa na haki za makundi mbalimbali, at least humu mmu. Je, hili likitokea kwa mtu wako wa karibu sana kama mtoto au ndugu, how would you feel, utakuwa na maamuzi gani kwake? #hypotheticallySpeaking .

Ikitokea mtu wangu wa karibu akawa shoga sitachukua panga na kumkata kata wala sitachukua bunduki na kumtandika risasi.

Ni wazi kuwa nitasikitika lakini masikitiko yangu hayatahalalisha mimi kumdhuru yeye kwa namna yoyote ile.

Zaidi nitakachoomba kutoka kwake ni yeye kuwa raia mzuri tu, basi. Mengine yatakuwa ya kwake .

Na kama ni mtoto sitamkataa. Uhusiano unaweza kupatwa na mushkeli lakini bado atakuwa mtoto wangu.

Ikikutokea wewe je, utafanyaje?
 
Hivi na yule jamaa mwanamitindo aliyekua shemeji yake Diamond nae ni s/he?

ki ukweli sina udhibigisho binafsi ila kutoka kwa wagu wa karib yake

jamaa alifukuzwaga sec maana alikuwa anagawa kama mama huruma
pia ananuka kinyesi
binafs sijaproove labda tusubir aibiwe sim picha zivuje
 
ki ukweli sina udhibigisho binafsi ila kutoka kwa wagu wa karib yake

jamaa alifukuzwaga sec maana alikuwa anagawa kama mama huruma
pia ananuka kinyesi
binafs sijaproove labda tusubir aibiwe sim picha zivuje

Kuna clip ya kipindi cha wema iko YouTube, wema alikua anamwambia martin waende kwenye kibao kata, niliuliza kibao kata ni nini nikaambiwa ni party flani zinazoandaliwa na wanawake kwa ajili yao wanawake. Ndio nilipoanza kupata wasiwasi martin atakua labda ni s/he.
 
Kuna jamaa mmoja wa South Africa nilikutana nae kwenye conference fulani yani aliponyanyuka alikuwa kalowa usawa wa mstari wa ikweta...

Kila mtu alikuwa ana pretend kama hajamuona...

Na alivyo sasa kama Defao afu ni mrembo fulani hivi...

Simjui lakini nili conclude ni shoga na hivi South ni ruksa...

Watakuwa na tabu sana kutumia tundu la haja kubwa kufanya mambo yao si kazi ndogo...

Afu kijana mwenyewe kichwa kweli maana alikuwa anatema cheche tu kila mtu akipresent yeye ana cha kuongea tena cha maana

alisahau kuvaa pantliners
 
Kuhusu martin kadinda leo nimeshuudia na nimeamin rasmi baada ya kuona sms na kusikia akipiga simu kwa jamaa akimseduce ila martin ni mjanja sana aisee sms anazotuma ni flash sms tu

haweki ushaidi eeeh???
boyfriend wake wa kudum ni nani vile
 
Ukiona Mwanao Wa Kiume Anapenda Mambo Ya Modelling Jua Huo Ni Msiba.
 
Ukiona Mwanao Wa Kiume Anapenda Mambo Ya Modelling Jua Huo Ni Msiba.

msiba mzito
binafsi namkubali lotta mollel

he is my friend ila ki ukweli SIO SHOGA maana ana mtoto na ana girlfriend kabisa
 
Back
Top Bottom