Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Mimi mwenyewe ni mmoja wao...
Umasikini tu lakini nilitamani nitupe...

Ila next time sinunui tena hizi products....
Najua haita make a difference...lakini najisikia vibaya kama tokana na imani yangu...

Hata ukiacha kuzinunua na tuseme ukaanza kununua bidhaa za LG, Motorola, au Samsung, huko ndo hakuna mashoga?

Utaacha kununua bidhaa ngapi?

Je, huwa huangalii CNN? Kama huangalii CNN, huwa unaangalia stesheni gani? BBC? BBC hakuna mashoga?

Je, hutumii kompyuta? Kama unatumia, unatumia aina gani? HP? Toshiba?

Wewe ni Mkristo? Kama ni Mkristo ni dhehebu gani? Mkatoliki? Kama ni Mkatoliki, hujui kwamba hilo kanisa lina mashoga wengi tu?

Hao watu hawakwepeki.
 
Hebu wataje wana mitindo wanaume wa kitanzania tuwaime. Naanza Sheria Ngowi, Hassan Ally na wengine wengi. Kwani niliowataja ni mashoga?
 
Hata ukiacha kuzinunua na tuseme ukaanza kununua bidhaa za LG, Motorola, au Samsung, huko ndo hakuna mashoga?

Utaacha kununua bidhaa ngapi?

Je, huwa huangalii CNN? Kama huangalii CNN, huwa unaangalia stesheni gani? BBC? BBC hakuna mashoga?

Je, hutumii kompyuta? Kama unatumia, unatumia aina gani? HP? Toshiba?

Wewe ni Mkristo? Kama ni Mkristo ni dhehebu gani? Mkatoliki? Kama ni Mkatoliki, hujui kwamba hilo kanisa lina mashoga wengi tu?

Hao watu hawakwepeki.

Huko kwingine sijali wala sielewi...
Nimejikuta tu nachukia hii product sababu nadhani niliipenda sana...
Si unajua ukikipenda kitu au hata mtu afu kikakuangusha....
 
Hebu wataje wana mitindo wanaume wa kitanzania tuwaime. Naanza Sheria Ngowi, Hassan Ally na wengine wengi. Kwani niliowataja ni mashoga?

sheria ngowi vinguo vyake mweeew
anabana kalioo mashallah
 
unakuta wapo humu humu au maboy wao tena si ajabu wanaupinga ushoga kwa nguvu zote

Kuna ushahidi wa kuridhisha kabisa kuwa waupingao ushoga kwa nguvu nao kumbe huwa ndo mashoga tena waliokubuhu kabisa.

 
Last edited by a moderator:
unakuta wapo humu humu au maboy wao tena si ajabu wanaupinga ushoga kwa nguvu zote
Tatizo naloliona ni kuwa hawa mashoga zetu wanatembea na wanaume hawa hawa ambao wanachukua wanawake...

te te te ...the so called pedegeee....
si ndo wenye fedha mjini bana...wanachanganya wanawake na wanaume wenzao...
 
Tatizo naloliona ni kuwa hawa mashoga zetu wanatembea na wanaume hawa hawa ambao wanachukua wanawake...

te te te ...the so called pedegeee....
si ndo wenye fedha mjini bana...wanachanganya wanawake na wanaume wenzao...

kuna mwanamuziki wa konho wa zamani kidogo alikujaga tanzania SIMKUMBUKI JINA alikua maarufu ila shoga alipewa ngoma na pedeshee mmoja amabe sasa ni marehem
stor ndefu kidogo

lakini ndo hivuo hao mashoga wanamixiwa na wanawake

alafu unakuta wanajuana

wema &martin
 
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hao models wao si mashoga kwa sababu wanafira na siyo kufirwa?

Manake huwa sielewi kwa nini mwanaume anayemfira mwanaume mwenzie yeye asiwe shoga!

Mkuu Nyani Ngabu kwa lugha ya kingereza mfiraji na mfirwaji wote wanaitwa 'gay' , kwa Kiswahili mfirwaji ni 'shoga' mfiraji ni 'basha', na wote wamelaaniwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom