Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

pana hadithi inasema "ukijinasibisha na jamii fulani basi nawe ni miongoni mwa hiyo jamii "kama ukiwa na marafiki walevi au wazinzi au majambazi unategemea nini.Sasa hao kutwa kucha wapo wanajambiwajambiwa na kina dada mwisho wa siku wanaona nao wajaribu ohooo ndo basi tena! Watu mabaradhuli! yaani unamzozea kabisa dume jenzio kama unabonga na manzi?
 
Hata dini zimeanza kulegea kwa hili suala cha kufanya ni kujitahidi kulizuia lisiingie kwa familia na kumuomba mungu
 

Unaposema alikuwa unamaanisha kwa sasa ameacha au?
 
This is a culture of an industry. Pia, kuna mashoga wengi bankers lakini inakiwa vigumu kujinasibisha na ushoga ukiwa banker. Kwenye mitindo kuna uhuru zaidi wa creativity na mtu kwa anavyotaka mwenyewe ndio maana tunaona wengi wame come out kama mashoga.
 

ila jela ukiwa dhaifu unafanywa chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…