Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Watu wengi ni wadau wa D & G ila sikujua kama ni mashoga!Na logo yao inakick!

Hahahaaa ndo hivyo.

Hata movie nyingi za Hollywood mashoga hushiriki kuzitengeneza.

Kwa hiyo kama unapenda kuangalia movie za Hollywood jua kuwa unaburudishwa na kazi walizoshiriki mashoga kuzitengeneza.

Na kama unatumia kompyuta jua kwamba kuna mashoga pia walishiriki katika kuzivumbua.

Ushawahi kumsikia Alan Turing?
 

ila mkuu embu nipe ukweli anayeliwa ANASIMAMISHA SOSEJI YAKE
 
prison break lol
 

Duh!Sasa kila tasnia imejamaa washoga,hata humu JF watakuwepo!
 
Ushaiona spartakas?yaan

ndio ila sikuiangalia kwa kujiachia maana nilikua bado naishi na wazaz kipindi inatoka hivyo sikuifaid vyema

na yenyewe ina mashoga mle ndani?

mmh hata za kichina frozen flower
 
ndio ila sikuiangalia kwa kujiachia maana nilikua bado naishi na wazaz kipindi inatoka hivyo sikuifaid vyema

na yenyewe ina mashoga mle ndani?

mmh hata za kichina frozen flower

Yaan mdada wa kufinyana,,,janaume lenyewe linaenda kufinywa na mwanaume mmh
 
Aisee huko ni kujitafutia kipigo tu. Ndo mambo gani sasa hayo ya kutiana vidole?

Usinambie ushamfanyia hivyo Msukuma wako.

Sijawahii na sitajaribu lakini kumchunguza huko si mpaka uone dalili za upunga kama anazo au anachafua boxer
Ukiona hivyo lazima uchunguzeee
Mbona kuna wanaofanywa madole wanasimulia kua wanafurahia
 
ila mkuu embu nipe ukweli anayeliwa ANASIMAMISHA SOSEJI YAKE

Dudu linabaki na kazi ya kutoa kojo tu!Ukiona soseji inasimama,huyo anakuwa JUNIOR MEMBER,hawajamuingizia mara nyingi.Ila kadri wanavyoendelea kumuwekea pipe,nae anaendelea kutoka meno kwenye joka lake.Mwisho wa siku linaacha kung'ata papuchi
 
Duh!Sasa kila tasnia imejamaa washoga,hata humu JF watakuwepo!

Ushoga upo tokea enzi na enzi na upo kwenye kila jamii.

Ila tunapenda kujitoa fahamu na kujifanya kana kwamba kwenye jamii zetu za Kiafrika ni jambo geni.

Na huwa siwaelewi wale wanaojifanya kuupinga kwa nguvu zote.

Wanaupinga halafu wanatumia vitu vilivyotengenezwa na hao hao mashoga.

Hahahaaaa bantu logic at its best!
 
Dolce&Gabbana wana product nzuri ila sikujuaga ni mashoga
 
ni shidaa sana

Dina umtie kidole mwanaume si anaweza akakurestisha in peace

Ukimtia ukiona anafurahia jua analiwa,lakini mwanaume kamili hawezi kukubali kabisaa ni kujitafutia kipigo
 
Sijawahii na sitajaribu lakini kumchunguza huko si mpaka uone dalili za upunga kama anazo au anachafua boxer
Ukiona hivyo lazima uchunguzeee
Mbona kuna wanaofanywa madole wanasimulia kua wanafurahia

Hahahaaa duuuh!

Kuna ambaye keshawahi kukusimulia kuwa alifurahia?
 

masai dada mi nimeiona yaani nimejiskia vbaya mpaka naogopa ht kua na mtoto wa kiume
 
Naanza kukubsliana na wewe. Hata mimi nlishawahi jiuluza hilo swali. Kwa mfano, yule mtangazaji wa kiume kipindi cha Nirvana Eatv,simuelewi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…