Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Aisee huyo dogo mara ya kwanza namuona dah nilijua ni mwanamke kumbe kidume bwana kilikuwa kinasoma Ud dah nilisikitika sana ila ndo hivyo ana msambwanda,guu la [emoji482],nywele ndo usiseme,sura ya kike,shape yaani nilihisi mwanamke ila dah ndo hivyo ana kichururu kwa mbele. Mi mwenyewe sijui kwa nn yuko hivyo kwa kweli ila ni mashallah hatareee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee huyo dogo mara ya kwanza namuona dah nilijua ni mwanamke kumbe kidume bwana kilikuwa kinasoma Ud dah nilisikitika sana ila ndo hivyo ana msambwanda,guu la [emoji482],nywele ndo usiseme,sura ya kike,shape yaani nilihisi mwanamke ila dah ndo hivyo ana kichururu kwa mbele. Mi mwenyewe sijui kwa nn yuko hivyo kwa kweli ila ni mashallah hatareee

Sent using Jamii Forums mobile app
So far naona kuna issue mbili. Moja kuwa na sura na mwonekano wa like na pili kujiweka like like tena baada ya kufungua una sura ya kike.
Kwa Huyu naona kapanda kuwa we kike kwa hio kaamua kukomaa kabisa awe mwanamke. Kama asingekusudia bado angeweza kuwa na mwonekano tofauti tofauti huu na akajulikana ni mwanaume japo ana umbo la kike. Kifupi kachagua kuwa shoga
 
HUYO JAMAA NAMJUA SANA very ambitious japo ana swag za kike japo hajathibitika kua shoga alimaliza pale tusiime

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Yaani mtu unaswag za kike na mavazi ya kike kisha unasema sio uthibitisho kiwa yeye shoga? Dah.... we me au ke kwani!
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
duuh,kwa uzuri huo unaweza tongoza ukijua demu wallah
 
Hurumua kweli! angekua kwa wenzetu nahisi angebadili jinsia kabisa awe wa kike kamili
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
Duuu!! Toto lavutia hili walah. mpaka latia hamu ya kula.
 
kuna siku nilikutana nae pale UDSM kituo cha utawala nikatoa salamu mambo dada , Kuja kushtuka mijidevu ipo
Ila anatamanisha huyu pust... naiska saaana no. Yake nipige kimba

Sent from "La -Vista"
 
Back
Top Bottom